Mawenzi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,251
- 347
imeanza bendi chalii..pamoja na mbwembwe za kuchukua mpka wakongoman, alitegemea nini kumuachia yule mwanae wa kiume mlevi mbwa uongozi wa wanataaluma kama walimu. Alitegemea nini kumuachia mlevi na mpenda mabaamedi kama yule anayekunywa mpaka anajisahau baa. Sijui hata huko shuleni alikuwa anawasimamia vipi watu werevu kama walimu.
Walimu wa siku hizi wanaweza kuingia darasani wasifanye kitu, sasa kama mtu mwenyewe elimu yenyewew aliunga unga fk schools unategemea nini hapo?
Baa zote huku mbezi beach zinamtambua, stela matutina yote anafahamika!
like father like son!!!