Tetesi: Mhe. Lissu kukamatwa airport pindi atapowasili

Status
Not open for further replies.
Lissu waachane nae kama kweli wamekomaa kisiasa.Ni gharama kwa serikali ya Magufuli kuingia mgogoro na Lissu ,huku tukijua wazungu watatuadhibu bila huruma.
Lakini kuna vigogo lobbyist serikalini wapo standby kusafiri London, Washington, Hague,Stockholm, Oslo,Berlin, Paris,Pretoria, Addis Ababa,kwa pesa zetu walipa kodi watakao kwenda kutuliza hasira za wafadhili na wadau wa haki za binadamu.
Mchezo huu hauhitaji hasira,achana na Lissu,piga kazi.
 
Aje tu alimalize ,akibaki huko ni kuvundika matatizo
 
Hiyo Ni mahakama gani hakuna popote wamesema aliruka dhamana
 
Namwomba sana Jpm asidanganywe na wapambe, ujio Wa lissu umewekwa mtego mkubwa sana kimataifa
Pambavu sana..mtego wa kuwekea nchi huru hii unaanzia wapi Jomba. Nchi gani hiyo ipo juu ya Sheria zetu za ndani Jomba. .Hivi wewe na mke wako ndani kuna mtu wa nje anaweza kuja kuwawekea sheria na taratibu...Jomba angalia
 
Ulimbukeni mwingine! Unaanzaje kumfananisha TL na Mandera! Hebu tumieni viakuli vidogo mlivyonavyo kusoma historia vizuri!
 
Sasa kama ana kesi ya msingi ya kujibu Mahakamani, kwa nini asikamatwe? Na kwa kipindi chote hicho alichokuwa huko Ubeberuni ameonyesha kiburi dhidi Mahakama, mpaka Wadhamini wake walikuwa kwenye wakati mgumu.

Na akamatwe tu shen* type.
 
...Kwa amri ya Mahakama. Hapo Serikali Kuu itajifanya kujiweka kando. Afterall we are a "very democratic kantree" with 3 inter-dependent pillars 🙂

Well, ni tetesi!
 
Lissu ameshajitengenezea mazingira ya kutorudi na wala hana mpango wowote wa kurudi anawachezesha ngoma manyumbu tu.
 
Wakifika huko wataambiwa tunataka kuzungumza na mkuu mwenyewe na sio wawakilishi wake! Sasa sijui atasafiri kwa meli?
 
Wakati kesho wakiendelea na kumuaga rafiki wa wapemba. Tujikinge na CORONA, hili tatizo la upumuaji litatumaliza.

Lissu njoo hiyo kesho saa 7: 20 mchana.

Nahisi vita ile iliyomfanya Gadaff afie kwenye caravati kama mbwa koko itakuwa ndogo kuliko itakayolipuka hapa kutokana na sababu nyingi.
Kubwa kabisa ikiwa ni ukosefu wa ajira, hili ni jeshi kubwa sana yaani unaweza kupata mgambo zaidi ya laki mbili within a day na kuwapa siraha ambazo watu wamezitengeneza miaka mingi na hazina soko. Sasa mkitaka kuleta soko la silaha fanyeni huo uhuni.
 
Subira the master's slave!Kwa nini una negativities sana?Unaongozwa na hofu kuliko akili.
 
GOOD POINT
 
Kazike huko mfwa mwenzio, Kwani itakuwa mara ya Kwanza Lissu kukamatwa? Na akikamatwa wewe kitu gani kinakuwasha?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…