Mhe. Mbowe, hongera sana. You are the best; ila acha uongo, uzushi na uchochezi. Kati yako na serikali nani mkweli? Vifo ni 16 tu

Rwanda eti hamna vifo, chini ya utawala wa Paul kuna mtu atasema tofauti?

Nashangaa watanzania ambao awajawahi kufika au kuishi Rwanda,Watanzania tuna uhuru hata wa kumuita PM muongo na usifanywe chochote, jaribu kufanya huu upuuzi ndani ya Rwanda huoni kilicho mtoa Khanga manyoa.
 
MAISHA BILA UNAFKI HAYAWEZI ENDA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majority ya walio wanachama wa siasa ni WA chama gani?

Kama hilo hupendi basi sema, mara ya mwisho kufanyika uchaguzi Kitaifa, kura nyingi walipata chama gani?

Huchomoki.
Acheni siasa,
Si munajua kua walijiandikisha 20 milioni
CC walipata 8 milioni,
Upinzani walipata 6 ,milioni
Hawa 6 milioni walipotelea wapi? Mujue basi!
CCM huwa aghalab hawategemei kushinda,bali kuchakachua,
Tazama kule Zenji waliposhindwa wakafuta matokeo na kulazimisha gemu lirudiwe.

Corona ipo na inasmbaa kwa kasi sana Tanzania chukueni tahadhari
 
Mimi nabashiri Mwisho wa Utawla huu wa CCM ikiwa Corona itasambaa zaidi nchini Tz. na kuangamiza watu wengi.

Lakini kam itatoweka kwa madawa haya ya kufusha na Dua pekee,Hali itakuwa kinyume, chati ya Mh.Magu inaweza Kupanda na kuwagalgaza upinzani ''miserably''.hapo October 2020.
TIME WILL TELL
 
Mmmh Mimi nasisitiza Sina uwezo huo...Ila nakushauri achana na uzushi kuwa Rais wa nchi eti kakimbilia kijijini..jiepushe kabisa kuleta mijadala ya Aina hiyo...Rais hajifichi kwenye nchi yake ....anafanya kazi mahali popote akiwa katika nchi yake...Rais ni mtu mkubwa mwenye mamlaka makubwa ndani ya nchi...ni Amiri Jeshi Mkuu na Head of State ...Rais Ana washauri na wataalamu wengi wanaompatia ushauri wa mambo mbalimbali ya kufanya kwa manufaa ya nchi...
 
 

Ulianza kuongea vizuri lakini mwisho mwisho tena na wewe kama umeanza kulishwa matango pori. Sugu aliongea vizuri bungeni alisema kama wabunge 2 wamekufa kwenye 300, itakuwa ni watu wangapi wamekufa kwenye milioni 55?

Kama issue ni kuamini tu kila unachoambiwa sawa ni kitu chengine. Lakini uhalisia je ukoje?
 
SAWA
sawa
 
You are right, but a social event is at times manipulable. It is not like a chemical compound. Copper Sulphate will remain Copper Sulphate whethe is in Europe or Tzn. laboratories. Reservations on social issues are healthy and inevitable. It is unfair to loudly call someone a liar because of one's reservations on official information given.
 
You are right, but a social event is at times manipulable. It is not like a chemical compound. Copper Sulphate will remain Copper Sulphate whethe is in Europe or Tzn. laboratories. Reservations on social issues are healthy and inevitable. It is unfair to loudly call someone a liar because of one's reservations on official information given.
 
Nyie ndio majuha mnaokimbilia kushangilia bila hata kuelewa.
Juha toka lini akaelewa maana ya kushangilia?

Kuna chereko ipi Tanzania au dunia hii kipindi hiki hata kipatikane cha kushangilia?
 
Rais ni mtu mkubwa mwenye mamlaka makubwa ndani ya nchi...ni Amiri Jeshi Mkuu na Head of State .
Hapana, not at all! Rais ni mtu mkubwa lakini anaongozwa na Katiba na Sheria! Ikulu ni DDM na DSM kwenye jengo maalum! Anyway tuache maana haya mambo unayaelewa.....kuna mtu anasema Ikulu ni popote-Pascal! Nasikitika, unanitishia .... It is very sad mtu kama wewe umesoma UDSM in the 80s enzi hizo .. unajua uhuru in the real sense...sasa unatishia wenzako. Very sad!
 

Asante pascal kwa ujumbe huo, wapumbavu watakuzodoa, tuwaulize mbowe na wenzake, huko Uganda na Rwanda toka imeingia corona kwa sasa hata mareria ma magonjwa mengine yamesimama watu hawafi? Mbona wapinzani wao wametulia hawasemi uongo, kwa hiyo huko vifo vimesimama? Je wapinzani wamebanwa pamoja na vyombo vya habali au wameheshimu mamlaka za serikari? Huko kenya walitangaza vifo kidogo, je huko hakuna vifo vya magonjwa mengine, mbona wao hawalalamiki idadi ni ndogo? Upinzani tz mjitathimini muwe wakweli. Ukimuuliza mbowe hizo taarifa kazitoa wapi ataanza kuuliza sijui mange na kigogo mara JF au FB.
 
Kila siku makaburi 50 yanachimbwa halafu mnatuambia waliokufa ni 16 tu , hata kama tungekuwa wajinga kuliko sisimizi hatuwezi kukubali huo upuuzi .

Ila endeleeni kuandika upambe , nafasi ya Mahiga iko wazi na tayari kuna watu waishaanza kulogana
 
NDUGU MAYALA KWA KIKEREWE UNAITWA WANJALA. MAANA YAKE MTOTO ALIYEZALIWA WAKATI WA NJAA, nakuomba kama ndugu NA rafiki, jina lako lisiwe çhanzo cha maisha yako, kama unautafuta UKUU WA WILAYA HIVYO UMEKWAMA. NAOMBA NIKUPE MBINU MPYA, ingia chadema uipinge ccm NA serikali uenda ukatafutwa na NASIKIA eti wanafika hadi bei.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…