Mhe. Mbowe, hongera sana. You are the best; ila acha uongo, uzushi na uchochezi. Kati yako na serikali nani mkweli? Vifo ni 16 tu

Paskali nakubaliana na wewe 110% kwamba media za Tanzania hazina news analysis. Wana-report kama kasuku tu. Kwa hio bado unataka ware-port kama kasuku hata pale ambapo dalili zote zinaonyesha kuwa waliokufa ni zaidi 16?
 
andiko la ovyo kabisa , Mbowe ni mkuu wa kambi Rasmi ya upinzani Bungeni anaongea ana data na ana audience yake yule, waziri mkuu pia ana audience yake wewe msikilize unae mtaka sio lazima umsikilize mbowe.

unafikwa ukifikwa utabadili upepo. nasubili alie kuombea corona ikupate aone andiko la namna hii ili kieleweke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe liongo sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paskali ni kweli KOLONA imezidiwa na UGONJWA WA MATATIZO YA KUPUMUA ambao mpaka sasa hauna jina! Na ni kweli huu ni ugonjwa wa ajabu sana.....UNATEMBEA HALAFU GHAFLA UNAANGUKA CHINI! Halafu Ambulance ikija inakuja na watu wenye suti nyeupe, waliovaa gloves, na N95 respirator masks huku wakichukua tahadhari ya hali ya juu.
Kaka Paskali, Unajua UKIMWI si ugonjwa ndiyo maana hadi leo pamoja na kuambiwa kuwa kuna watanzania 1.4 Millions wanaougua sijasikia hata mtu mmoja akisemwa amekufa kwa ugonjwa wa UKIMWI.....Kenya wanasema amekufa kutokana na complications zilizotokana na ukosefu wa kinga mwilini. Ooh Uganda ndiyo wanasema kabisa bila kumung'unya maneno wala kupepesa macho ( kwa maneno ya mzee wa Jalalani) wanaisema kwa Ki-inglishi, inawezekana wanasema kwa ki-Luganda pia (Nitachunguza). Inawezekana kabisa KOLONA si ugonjwa bali ni wale wajameni wanaoruka ruka kwenye damu na mapafu.
 
Noted
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama huyo pasco anataka kuwaelewesha watu waelewe hotuba ya mbowe si aweke uwazi wa kuelwa vizuri tu anafichaficha nn maandiko yake huyo pasco nae ni mpuuzi tu kama walivyowapuzi hao anaojipendekeza kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia Corona kupata uteuzi, SHETANI MKUBWA WEWE!.

Hata Jennny Muro alikuwa kama wewe akapewa ukuu wa wilaya. Jiandae kwenda mtwara ukachukue nafasivya aliyekufa kwa Corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama huyo pasco anataka kuwaelewesha watu waelewe hotuba ya mbowe si aweke uwazi wa kuelwa vizuri tu anafichaficha nn maandiko yake huyo pasco nae ni mpuuzi tu kama walivyowapuzi hao anaojipendekeza kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi sina jibu bhana, Pascal Mayalla, unaulizwa huku... sasa unaficha ficha nini?!

Au labda na mimi niseme; but wait wait... sio kwamba nakupangia nikisema labda use sarcasm ONLY when necessary manake, mosi, hueleweki ni wakati gani upo real with some concern kama hapa:-
Na pia hatuelewi ni wakati gani unamaanisha kwa ambacho ungependa ieleweke hujamaanisha!

Sema hapo nilipo-highlight with RED nilitamani nikukumbushe ile thread yako ambayo baada ya kusakamwa sana kuhusu Eric, hatimae ukaja na thread kuonesha walikuwa wanakuonea bure "...si mnaona, kakiri" bila kujua inawezekana kakiri kutokana na hapo kwenye RED!
 
pascal unahangaika sana kupewa nafasi ila hadi leo huja[ewa kitu! labda hii ya mtwara huenda ILA SIDHANI. Wanaozikwa kwa corona ni ndugu, jamaa na majirani zetu! binafsi waliozikwa na serikali nawajua sio chini ya 7! hebu tuongee kama watu tunaoishi uraiani na tunaona yanaendelea tuache ubishi wa KIJUHA.
 
Pasco hivi ulitegemea mtu aliyepata zero shuleni aongee nini cha maana tena kwa ishu ya kisayansi kama hii

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama alipata zero lakini anaweza kuongea maneno yenye hekima,ukweli na busara ni bora kuongozwa na watu kama hawa kuliko kuongozwa na watu waliopata div.1 lkn hekima busara na maelekezo yao ni aibu tupu.
 
Pasco nimekuelewa unachomaanisha na umekuwa na aina hii ya uandishi wa tafsida kwa muda mrefu sasa.
Nikushauri jambo,kuna mazingira ambayo si busara wala hekima kutumia tafsida kama hizi.
Tuna janga ambalo kila mtu anapaswa straight forward kuonyesha anapambana nalo.
Wewe ni nguli humu,ni Mwandishi maarufu,ni public figure.
Kwa situation tuliyofikia,unapaswa kuweka tafsida zote kando and be straight kile unachosimamia ukielezee kwa uwazi na lugha iliyonyooka.
Imagine kwa status yako kwenye jamii,ukiamua kufuata ushauri huu ukakemea kwa nguvu na kunyoosha lugha kama lile swali ulilouliza siku ile pale Ikulu,impact gani utaleta kwenye jamii?Bila shaka ni kubwa mno.Usiogope vikao vya kuitwa kule naniliu.Watakuita mwisho watachoka.
Na hata kama watakufanya chochote kibaya,basi lile watalokufanyia kitakuwa ni ulimi uzungumzao a thousand times kuliko hata maneno yako.Utakuwa ufa unaobomoa nyumba yao wenyewe watakaokufanyia ubaya.
Be straight Pasco.
Watu wanakufa Pasco.
Hapa tumuambie serikali kwa uwazi tuu bila kuogopa ili atikisike na kuona watanzania wamekunja sura,wanaumia,asipostuka asitulaumu baadae.
 

Safi

Hata bila corona

Kwa siku kawaida tanzania nzima hufa average ya watu 100- 1000

Huzaliwa average ya watu 1000-3500

Yaani hii ipo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…