Mhe. Mbowe, hongera sana. You are the best; ila acha uongo, uzushi na uchochezi. Kati yako na serikali nani mkweli? Vifo ni 16 tu

Mhe. Mbowe, hongera sana. You are the best; ila acha uongo, uzushi na uchochezi. Kati yako na serikali nani mkweli? Vifo ni 16 tu

Tena katika kusisitiza uzalendo, nitawaomba kuanzia saa 1:30 asubuhi nitakuwa live Star TV mgeni wangu akiwa ni Deodatus Balile wa gazeti la Jamhuri, tutasisitiza uzalendo na kuiaminia serikali na sio kuwaaminia wazushi.
Nyote ni vibaraka, waimba mapambio, wa Jiwe, mwenye akili timamu hawezi kukusikiliza! Balile naye alikengeuka baada ya kuona kuna mwanya wa cheo kwa kujikomba! Huna uhuru wa kusema kilicho moyoni mwako, short of that unafuatwa kabla ya kutoka mlangoni, UTASEMA UKWELI WAKO TOKA ROHONI HAPO Star Tv?
NB: Tutapata data za kweli za vifo kwa utaratibu aliouweka Mbowe.
 
Paskali imani yangu ni kuwa lengo lako halikuwa kumsifia Mbowe km ulivyozungumza ktk moja ya aya za bandiko lako bali umelenga kumchongea tu kwa mamlaka zenu juu ya ukweli mchungu alioueleza kwa taarifa zinazofichwa..

Tangu awamu hii ishike kijiti umejitahidi kuiwakilisha vyema na kuipambania kwa hali na mali yako sema imekusahau na kutokuthamini mchango wako.

Amini vifo vya Corona ni vingi km alivyosema Hon Mbowe binafsi nimeshashashuhudia vifo 3 ambavyo havimo ktk idadi yenu ya 16 ndani ya wiki hii moja halafu ss naona mmeamua hadi kutumia idara yetu nyeti ya usalama kuendesha hilo zoezi la usiri..

Anyway tunaishukuru Corona kwa kweli maana imekuwa VERY FAIR yaani ingekuwa mchezaji wa mpira ingepewa sifa za CR7 maana inapiga miguu yote sio km Messi anayetumia shoto tu na mbaya zaidi mpaka sasa upande wenu mnapoteza game na mtapoteza zaidi maana mna wagonjwa wengi ktk nyumba yenu ya Kijani basi mdudu akiingia anabonyeza tu kidoooogo kitu waya...

TUTAELEWANA TU SIKU MOJA

Sent using Jamii Forums mobile app
Akina Gaudious Ishengoma et al hawamo... eti 16!
 
PASKALI LEO UKIPATA FURSA,BILA SHAKA UNAYO ...ULIZA,/MJADILI HIZI CLIP ZA MAZISHI YA USIKU DAR NA ARUSHA ILI MAMLAKA WATUAMBIE NI UONGO !
MBONA KILA KONA WATU WANARIPOTI VIFO KAMA SIO KORONA BADI TUAMBIWE KUNA NINI.
 
Wanabodi,

Miongoni mwa udhaifu mkubwa kabisa wa mainstream media zetu zote za Tanzania, si TV, Redio, wala Magazeti, hatuna kitu kinachoitwa "News Analysis", yaani uchambuzi wa habari, viongozi wetu wakihutubia, media inaripoti wamesema nini, the story ends there! Hakuna any news analysis ya kuchambua alichokisema kiongozi huyo wala what does it mean, the impact ya kilichozungumzwa, na the consequences. Kazi za media zetu ni kuripoti tu kama kasuku. Angalau sisi JF, ndio angalau tunafanya uchambuzi, alichofanya Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe, ni a very good piece of news analysis ya hotuba ya Rais Magufuli aliyoitoa Ikulu ya Chato na update ya Corona iliyotolewa na Waziri Mkuu.




Mnyonge, mnyongeni, haki yake mpeni. Tangu kuingia kwa janga hili la Corona, sio tu hakuna kiongozi yoyote amewahi kuizungumzia Corona vizuri na kwa ufasaha kama Mhe. Freeman Mbowe, bali pia tangu nimemfahamu Mbowe na kumsikia, hajawahi kuzungumza vizuri hivi hata mara moja. Freeman, you are the best, hongera sana!

Ila sehemu moja tu ndiyo Mbowe ameharibu, kwenye idadi ya vifo vya Corona. Serikali ilishatoa waraka kuwa wasemaji wa update ya Corona kwa Tanzania ni watu 5 tu. Rais, Makamo, Waziri Mkuu na Waziri wa Afya -- then update ya Corona itatolewa na serikali tu. Sasa kama Waziri Mkuu kasema vifo vya Corona ni 16 tu, then huu ndiyo ukweli. Tanzania watu waliokufa kwa Corona mpaka sasa ninapoandika hapa, ni watu 16 tu na huu ndio ukweli wenyewe.

Kitendo cha kumuita Waziri Mkuu wa JMT kuwa ni muongo na serikali inaficha data za vifo vya Corona, huu ni uongo na uchochezi.

Kati ya Mhe. Mbowe na Waziri Mkuu wa JMT, nani ni mkweli na nani ni muongo? Watanzania wamwamini nani kati ya Waziri Mkuu wa JMT na Waziri Mkuu kivuli?

Kama serikali imesema vifo ni 16 tu, then vifo ni 16, hata kama umeshuhudia watu 100 wakizikwa na serikali kwa mazishi ya kuhudhuriwa na watu kumi tu. Ukweli wa idadi ya vifo vya Corona ni vifo 16 tu kwasababu sio kila anayekufa amekufa kwa Corona. Hata kama hao wengine wote nao pia walionesha dalili kama za Corona, mamlaka pekee inayojua mgonjwa kafa na nini, ni madaktari tu. Na kwenye case ya Corona, waliokufa kwa Corona ni watu 16 tu, hawa wengine wote wanaokufa kwa matatizo ya kupumua, hayo ni matatizo yao tu, na pia wagonjwa wa magonjwa mengine pia wanaendelea kufa, ili kuzuia mikusanyiko katika misiba, serikali imeamua kuwakinga watu wake kwa kujitolea kuwasaidia Watanzania wengine wote kwa upendo kwa kuwazikia ndugu na wapendwa wao.

Hivyo Mhe. Mbowe, asante kwa kuongea vizuri ila uache uongo na uchochezi kuisingizia serikali yetu inaficha kitu, serikali yetu ni wakweli, hawafichi kitu, waliokufa kwa Corona mpaka sasa ni hao 16 tu, na huo ndio ukweli wetu, tena ni afadhali ya sisi tumetangaza ukweli wa wote waliokufa kwa Corona nchini kwetu ni hao 16 tu; je, ungekuwa unaishi Rwanda na Uganda, kule hakuna hata mmoja aliyekufa, ungesemaje?

Watanzania wenzangu ambao ni wazalendo, naombeni tuendelee kuiaminia serikali yetu kuwa inasema ukweli wote kuhusu Corona, tusiwasikilize, waongo, wazushi, wachochezi na wachonganishi wanaotaka kuichonganisha serikali na wananchi, kwa kuwadanganya kila anayekufa, amekufa kwa Corona, japo ni kweli vifo vya ghafla vimeongezeka, ila siyo vifo vyote ni Corona. Vifo vingine ni magonjwa mengine ukiwemo matatizo ya kupumua.

Tena katika kusisitiza uzalendo, nitawaomba kuanzia saa 1:30 asubuhi nitakuwa live Star TV mgeni wangu akiwa ni Deodatus Balile wa gazeti la Jamhuri, tutasisitiza uzalendo na kuiaminia serikali na sio kuwaaminia wazushi.

Paskali

Ok thanks
 
Kwa kuwa mleta mada anapenda sana kuinukuu "theory ya "Karma"...


Is COVID-19 "karma" at it's best?

You reap what you sow...

Sometime back these were top 5 countries which had the highest death toll in the world:

1. Syria
2. Iraq
3. Yemen
4. Afghanistan
5. Libya

Whereas now the top 5 list has drastically changed to:

1. USA
2. Italy
3. Spain
4. France
5. UK

All the countries that took part in killing those innocents from the previous list are the countries from the 2nd list and their allies.

Yesterday’s most powerful nation are in a mess. Their livelihood, their plannings have failed.

Their financial system are at verge of collapsing.

All the games they played are hitting them back.

In This are lessons for these so called powerful nations.

I"karma" at its best?
 
Mbowe na wabunge wa CHADEMA wamekimbia vita, na kwenda kujifungia ndani, hawa sio viongozi, badala ya kuongoza vita vya corona, wamekimbia, october tutawapiga chini wote
Kujifungia ndani si ndo maelekezo ya wataalamu au. Na hata muheshimiwa Jiwe ndo mtanzania wa kwanza kujifungia ndani huko maporini
 
Paskali imani yangu ni kuwa lengo lako halikuwa kumsifia Mbowe km ulivyozungumza ktk moja ya aya za bandiko lako bali umelenga kumchongea tu kwa mamlaka zenu juu ya ukweli mchungu alioueleza kwa taarifa zinazofichwa..

Tangu awamu hii ishike kijiti umejitahidi kuiwakilisha vyema na kuipambania kwa hali na mali yako sema imekusahau na kutokuthamini mchango wako.

Amini vifo vya Corona ni vingi km alivyosema Hon Mbowe binafsi nimeshashashuhudia vifo 3 ambavyo havimo ktk idadi yenu ya 16 ndani ya wiki hii moja halafu ss naona mmeamua hadi kutumia idara yetu nyeti ya usalama kuendesha hilo zoezi la usiri..

Anyway tunaishukuru Corona kwa kweli maana imekuwa VERY FAIR yaani ingekuwa mchezaji wa mpira ingepewa sifa za CR7 maana inapiga miguu yote sio km Messi anayetumia shoto tu na mbaya zaidi mpaka sasa upande wenu mnapoteza game na mtapoteza zaidi maana mna wagonjwa wengi ktk nyumba yenu ya Kijani basi mdudu akiingia anabonyeza tu kidoooogo kitu waya...

TUTAELEWANA TU SIKU MOJA

Sent using Jamii Forums mobile app
Pascal ni mchambuzi wa habari na mwana fasilihi. Ukisoma utangalizi hadi alipoishia na maneno "you are the best" ndipo lugha ya moja kwa.moja ilipotumia. Yaliyiuendelea ndiyo fasihi yenyewe. Kama umemwelewa Paskali kama mchonganishi, mtetezi wa takwimu za PM na anaemnanga KUB/Mbowe, utafanana na waandisha aliowasema wasio analaise taarifa waipokeayo.
 
Kwa kuwa mleta mada anapenda sana kuinukuu "theory ya "Karma"...


Is COVID-19 "karma" at it's best?

You reap what you sow...

Sometime back these were top 5 countries which had the highest death toll in the world:

1. Syria
2. Iraq
3. Yemen
4. Afghanistan
5. Libya

Whereas now the top 5 list has drastically changed to:

1. USA
2. Italy
3. Spain
4. France
5. UK

All the countries that took part in killing those innocents from the previous list are the countries from the 2nd list and their allies.

Yesterday’s most powerful nation are in a mess. Their livelihood, their plannings have failed.

Their financial system are at verge of collapsing.

All the games they played are hitting them back.

In This are lessons for these so called powerful nations.

I"karma" at its best?
Basi theory yako kama unaiamini inakuja kwa Jiwe kama ukiua unalipwa na Mungu, basi inakuja kwa Jiwe! Azory, Ben ,Mawazo, coco bech, persecutions etc,etc,
 
Wanabodi,

Miongoni mwa udhaifu mkubwa kabisa wa mainstream media zetu zote za Tanzania, si TV, Redio, wala Magazeti, hatuna kitu kinachoitwa "News Analysis", yaani uchambuzi wa habari, viongozi wetu wakihutubia, media inaripoti wamesema nini, the story ends there! Hakuna any news analysis ya kuchambua alichokisema kiongozi huyo wala what does it mean, the impact ya kilichozungumzwa, na the consequences. Kazi za media zetu ni kuripoti tu kama kasuku. Angalau sisi JF, ndio angalau tunafanya uchambuzi, alichofanya Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe, ni a very good piece of news analysis ya hotuba ya Rais Magufuli aliyoitoa Ikulu ya Chato na update ya Corona iliyotolewa na Waziri Mkuu.




Mnyonge, mnyongeni, haki yake mpeni. Tangu kuingia kwa janga hili la Corona, sio tu hakuna kiongozi yoyote amewahi kuizungumzia Corona vizuri na kwa ufasaha kama Mhe. Freeman Mbowe, bali pia tangu nimemfahamu Mbowe na kumsikia, hajawahi kuzungumza vizuri hivi hata mara moja. Freeman, you are the best, hongera sana!

Ila sehemu moja tu ndiyo Mbowe ameharibu, kwenye idadi ya vifo vya Corona. Serikali ilishatoa waraka kuwa wasemaji wa update ya Corona kwa Tanzania ni watu 5 tu. Rais, Makamo, Waziri Mkuu na Waziri wa Afya -- then update ya Corona itatolewa na serikali tu. Sasa kama Waziri Mkuu kasema vifo vya Corona ni 16 tu, then huu ndiyo ukweli. Tanzania watu waliokufa kwa Corona mpaka sasa ninapoandika hapa, ni watu 16 tu na huu ndio ukweli wenyewe.

Kitendo cha kumuita Waziri Mkuu wa JMT kuwa ni muongo na serikali inaficha data za vifo vya Corona, huu ni uongo na uchochezi.

Kati ya Mhe. Mbowe na Waziri Mkuu wa JMT, nani ni mkweli na nani ni muongo? Watanzania wamwamini nani kati ya Waziri Mkuu wa JMT na Waziri Mkuu kivuli?

Kama serikali imesema vifo ni 16 tu, then vifo ni 16, hata kama umeshuhudia watu 100 wakizikwa na serikali kwa mazishi ya kuhudhuriwa na watu kumi tu. Ukweli wa idadi ya vifo vya Corona ni vifo 16 tu kwasababu sio kila anayekufa amekufa kwa Corona. Hata kama hao wengine wote nao pia walionesha dalili kama za Corona, mamlaka pekee inayojua mgonjwa kafa na nini, ni madaktari tu. Na kwenye case ya Corona, waliokufa kwa Corona ni watu 16 tu, hawa wengine wote wanaokufa kwa matatizo ya kupumua, hayo ni matatizo yao tu, na pia wagonjwa wa magonjwa mengine pia wanaendelea kufa, ili kuzuia mikusanyiko katika misiba, serikali imeamua kuwakinga watu wake kwa kujitolea kuwasaidia Watanzania wengine wote kwa upendo kwa kuwazikia ndugu na wapendwa wao.

Hivyo Mhe. Mbowe, asante kwa kuongea vizuri ila uache uongo na uchochezi kuisingizia serikali yetu inaficha kitu, serikali yetu ni wakweli, hawafichi kitu, waliokufa kwa Corona mpaka sasa ni hao 16 tu, na huo ndio ukweli wetu, tena ni afadhali ya sisi tumetangaza ukweli wa wote waliokufa kwa Corona nchini kwetu ni hao 16 tu; je, ungekuwa unaishi Rwanda na Uganda, kule hakuna hata mmoja aliyekufa, ungesemaje?

Watanzania wenzangu ambao ni wazalendo, naombeni tuendelee kuiaminia serikali yetu kuwa inasema ukweli wote kuhusu Corona, tusiwasikilize, waongo, wazushi, wachochezi na wachonganishi wanaotaka kuichonganisha serikali na wananchi, kwa kuwadanganya kila anayekufa, amekufa kwa Corona, japo ni kweli vifo vya ghafla vimeongezeka, ila siyo vifo vyote ni Corona. Vifo vingine ni magonjwa mengine ukiwemo matatizo ya kupumua.

Tena katika kusisitiza uzalendo, nitawaomba kuanzia saa 1:30 asubuhi nitakuwa live Star TV mgeni wangu akiwa ni Deodatus Balile wa gazeti la Jamhuri, tutasisitiza uzalendo na kuiaminia serikali na sio kuwaaminia wazushi.

Paskali
Najaribu kufanya "thread/post analysis"........naelewa vizuri sana ujumbe wako, umejaribu kuuficha lakini umeshindwa!😎😎
 
Wanabodi,

Miongoni mwa udhaifu mkubwa kabisa wa mainstream media zetu zote za Tanzania, si TV, Redio, wala Magazeti, hatuna kitu kinachoitwa "News Analysis", yaani uchambuzi wa habari, viongozi wetu wakihutubia, media inaripoti wamesema nini, the story ends there! Hakuna any news analysis ya kuchambua alichokisema kiongozi huyo wala what does it mean, the impact ya kilichozungumzwa, na the consequences. Kazi za media zetu ni kuripoti tu kama kasuku. Angalau sisi JF, ndio angalau tunafanya uchambuzi, alichofanya Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe, ni a very good piece of news analysis ya hotuba ya Rais Magufuli aliyoitoa Ikulu ya Chato na update ya Corona iliyotolewa na Waziri Mkuu.




Mnyonge, mnyongeni, haki yake mpeni. Tangu kuingia kwa janga hili la Corona, sio tu hakuna kiongozi yoyote amewahi kuizungumzia Corona vizuri na kwa ufasaha kama Mhe. Freeman Mbowe, bali pia tangu nimemfahamu Mbowe na kumsikia, hajawahi kuzungumza vizuri hivi hata mara moja. Freeman, you are the best, hongera sana!

Ila sehemu moja tu ndiyo Mbowe ameharibu, kwenye idadi ya vifo vya Corona. Serikali ilishatoa waraka kuwa wasemaji wa update ya Corona kwa Tanzania ni watu 5 tu. Rais, Makamo, Waziri Mkuu na Waziri wa Afya -- then update ya Corona itatolewa na serikali tu. Sasa kama Waziri Mkuu kasema vifo vya Corona ni 16 tu, then huu ndiyo ukweli. Tanzania watu waliokufa kwa Corona mpaka sasa ninapoandika hapa, ni watu 16 tu na huu ndio ukweli wenyewe.

Kitendo cha kumuita Waziri Mkuu wa JMT kuwa ni muongo na serikali inaficha data za vifo vya Corona, huu ni uongo na uchochezi.

Kati ya Mhe. Mbowe na Waziri Mkuu wa JMT, nani ni mkweli na nani ni muongo? Watanzania wamwamini nani kati ya Waziri Mkuu wa JMT na Waziri Mkuu kivuli?

Kama serikali imesema vifo ni 16 tu, then vifo ni 16, hata kama umeshuhudia watu 100 wakizikwa na serikali kwa mazishi ya kuhudhuriwa na watu kumi tu. Ukweli wa idadi ya vifo vya Corona ni vifo 16 tu kwasababu sio kila anayekufa amekufa kwa Corona. Hata kama hao wengine wote nao pia walionesha dalili kama za Corona, mamlaka pekee inayojua mgonjwa kafa na nini, ni madaktari tu. Na kwenye case ya Corona, waliokufa kwa Corona ni watu 16 tu, hawa wengine wote wanaokufa kwa matatizo ya kupumua, hayo ni matatizo yao tu, na pia wagonjwa wa magonjwa mengine pia wanaendelea kufa, ili kuzuia mikusanyiko katika misiba, serikali imeamua kuwakinga watu wake kwa kujitolea kuwasaidia Watanzania wengine wote kwa upendo kwa kuwazikia ndugu na wapendwa wao.

Hivyo Mhe. Mbowe, asante kwa kuongea vizuri ila uache uongo na uchochezi kuisingizia serikali yetu inaficha kitu, serikali yetu ni wakweli, hawafichi kitu, waliokufa kwa Corona mpaka sasa ni hao 16 tu, na huo ndio ukweli wetu, tena ni afadhali ya sisi tumetangaza ukweli wa wote waliokufa kwa Corona nchini kwetu ni hao 16 tu; je, ungekuwa unaishi Rwanda na Uganda, kule hakuna hata mmoja aliyekufa, ungesemaje?

Watanzania wenzangu ambao ni wazalendo, naombeni tuendelee kuiaminia serikali yetu kuwa inasema ukweli wote kuhusu Corona, tusiwasikilize, waongo, wazushi, wachochezi na wachonganishi wanaotaka kuichonganisha serikali na wananchi, kwa kuwadanganya kila anayekufa, amekufa kwa Corona, japo ni kweli vifo vya ghafla vimeongezeka, ila siyo vifo vyote ni Corona. Vifo vingine ni magonjwa mengine ukiwemo matatizo ya kupumua.

Tena katika kusisitiza uzalendo, nitawaomba kuanzia saa 1:30 asubuhi nitakuwa live Star TV mgeni wangu akiwa ni Deodatus Balile wa gazeti la Jamhuri, tutasisitiza uzalendo na kuiaminia serikali na sio kuwaaminia wazushi.

Paskali


Umesema kweli kiongozi. Kuwa na mawazo hasi na mtu ama itikadi yake na kukataa kila anachosema ama kufanya kwa misingi ya misimamo bila kujali kina ukweli na maslahi kiasi gani ni dhana potofu na ni chanzo cha kudumaza mafanikio katikajamii na kuendeleza umaskini. Tunahitaji kuwa na elimu sahihi na kuchambua hoja kwa misingi yake na kuyachukua mazuri yenye manufaa haijalishi yanatoka kwa nani.

Vivyo hivyo kumkubalia mtu kila anachokiskiema na kukifanya hata kama ni vitu dhaifu kwa sababu ya mifungamano fulani, ni umaskini, ujinga na anguko la jamii na vizazi vyake.

Ni vizuri kama Mh. Mbowe angea ongelea na mazuri ya Serikali inayoyafanya kuhusu Corona ili watu wajue mitazamo wake, juu ya kipi kiendelezwe katika juhudi zilizopo, na kwa nini ni vizuri kiendelezwe, na ni kipi katika juhudi za Serikali hakina tija kiachwe na kwa vipi anaona hakisaidii.

Badala ya kulalamika, naona anazunguka mbuyu kiasi kwamba hawezi kueleweka moja kwa moja anataka nini "SPECIFICALLY".
Anatakiwa baada ya kuainisha mazuri yaliyofanywa na Serikali so far na udhaifu wake, mabaya yanayofanywa na serikali yanayostahili kutofanywa, apendekeze "NI HATUA ZIPI ZA NYONGEZA ZICHUKULIWE ILI KUBORESHA KILICHOPO".
Sina imani kwamba Serikali haijafanya lolote zuri dhidi ya Corona. NAOMBA BADALA YA KULALAMIKA ATOE SOLUTIONS.

Mbowe hana taarifa za undani za watendaji wa Wizara ya Afya waliobadilishwa. Hivyo hana scientific and administrative grounds za kuwatetea ama kutokuwatetea. Asichukulie kila kitu ni siasa. Wale hawapigiwi kura ni wataalam na ufanyaji kazi wao wakila siku anaujua mamlaka anayewasimamia. Hakupashwa kuingilia mamlaka katika hili.

Tatu ninapata shida kuelewa hoja ya kusema "Mataifa Mengine". Katika viata hii, sijaona taifa ambao limekuwa Ruler ya kupambana na Korona ambayo tunahitaji kuifuta wote. Kila mahala kumekuwa na ubunifu wake wa maboresho juu ya miongozo ya WHO. Na hii haitufanyi sisi tupeleke likizo fahamu zote, tusahau mahitaji yetu, mazingira yetu na mifumo yetu ya kijamii na kiuchumi, tuseme tukacopy na kupaste practices za jamii za Marekani ambazo ziko tofauti za za kwetu, kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni na kitechnolojia.

NILITAMANI SANA NISIKIE MHESHIMIWA AKIOGELEA SUALA LA KUTAFUTA SOLUTIONS FROM INSIDE. KWA YANAYOTOKEA DUNIANI AMBAYO YAMEAMBATANA NA HILI JANGA, SIDHUANI NI JAMBO SAHIHI KUENDELEA KUHIMIZA JAMII ZETU ZIENDELEE KUEGEMEA SUPPORT KUTOKA UGHAIBUNI. NI WAKATI MUAFAKA WA AFRICA, NA TANZANIA AMBAYO INA KILA AINA YA UOTO UNAOHITAJIKA KWA MADAWA KUWEKEZA KATIKA UTENGENEZAJI WA DAWA HAPA NYUMBANI.

PENGINE KAMA KUNA MABADILIKO MAKUBWA KATIKA MONITORY PLANS ZETU NI KUWEKEZA KUKUBWA KATIKA KUIMARISHA MIUNDOMBINU YA AFYA. (Najuua hii inaweza kwa long and medium plan, lakini ianze kufanyiwa kazi huku tukitafuta njia za muda mfupi za kuokoa maisha yetu kwa sasa).

UTEGEMEZI UTATUMALIZA.MBOWE ACHANA NA SERA ZA MISAADA NA UTEGEMEZI HAZINA TIJA. HIMIZA TUJENGE UWEZO WETU WENYEWE, TUNA WANA SAYANSI NA KILA KITU, TUNAWEZA!.

Lakini pia nampongeza sana kwa hotuba inayoonyesha uelewa na hitaji na kuliunganisha taifa. Ninaomba kilia mtu apokee hii spirit ya umoja, chuki na ubaguzi wa kiasa viishe hata baada ya Corona tujenge nchi yetu pamoja. Ikiwezekana iwekwe sheria dhidi ya ubaguzi wa kisiasa.

Naomba sana tuache kuiattack serikali na kuilaumu bila hata kutambua mazuri inayofanya, badala yake tukosoe na kuonyesha njia pasipo hila chuki wala majungu. Serikali inahitaji support ya wananchi wake ili izidi kufanya mema zaidi. Na Serkali ikubali kupokea positive criticisms kwa kujua kwamba ni njia za kutusukuma mbele zaidi. KIKUBWA TUKOSOANE BILA KUKOSANA, TUPINGANE BILA KUPIGANA, TUSHIRIKIANE BILA HILA.

Ahsante Pascal Mayalla
 
Back
Top Bottom