Mhe. Nimrod Mkono asaini kumwondoa waziri Mkuu!

Mhe. Nimrod Mkono asaini kumwondoa waziri Mkuu!

Regardless ya kwamba yaweza kua gutter politics... Walau inatoa facts na si assumption ya hasa situation iko vipi. Inaweza isijalishe wangapi wata sign ila it matters who signs... Hasa ukizingatia aliesimamia kidete ni Zitto.
Politically hii ina maana sana. Imeweka mstari ulio wazi (sharp contrast) miongoni mwa wabunge wanaosimamia umma na wale wanaosimamia matumbo yao na ufisadi.

Karatasi hiyo inawajengea 'moral authority' wale waliosaini kujenga hoja, kuhoji na kuomba tena uwakilishi.
Tena, kwa bahati nzuri imekuja katika wakati pesa zilizotafunwa ni za walipa kodi moja kwa moja. Hakuna ubabaishaji wa maneno kama ule wa akaunti za BoT, Marubeni n.k ambao kwa average Tanzanian ni jambo gumu kulielewa.

Bila kujali matokeo ya karatasi hii, wabunge waliokaa kimya wamepoteza 'moral authority' ya kusema, kuuliza au kuhoji chochote kile juu ya serikali, maendeleo ya wananchi wao n.k. Wanachotakiwa ni kukaa kimya kwa miaka 4 ijayo(kama ipo) wakijiandaa na maisha ya ajira mpya.

Karatasi itatumika kama reference ya hukumu.
Inaweza kumjenga mtu au kumbomoa kutegemea yupo upande gani.
Pande zilizopo ni mbili.
1. Je upo na umma wa Watanzani waliochoka kulipa kodi bila kuona faida
2. Upo na mafisadi wanotumia chama kujificha na kuficha madhambi yao.
 
Nimefurahishwa sana na kitendo cha huyu Mzee.
Ameamua kujiunga na Upande sahihi, kwa wakati muafaka. Hakika historia itamkumbuka kwa kuvuka mstari wa unafiki.
Bila shaka atawatoa uoga wabunge wengi sana.
Ninaimani kuna wabunge wa CCM wataongezeka kabla hoja hii haijawa tabled kwa Speaker

Msijali sita waangusha mkijipanga vizuri.:israel:
 
amesoma alama za nyakati....simwamini sana.....amekemea mara ngapi?ila namkubali kwa maendeleo ya watu wake...anajitahidi kama mbunge japo hazungumzi sana<BR>
 
Mkono is nothing than a very smart guy. Kwa kutiani saini anajua kuwa jina lake litasafishika. lakini on the other hand anajua kuwa Magamba hawataafiki kupiga kura ya no confidence kwa Mtoto Fake wa Mkulima kwa maana wote ni Wachumia tumbo and they dont know what will be the next course of action.

As you can see, mmeshaanza kumuona Mkono shujaa while in fact ni one of Top Fisadiz. The guy knows mathematics.

Kilichopo hapa ni Kugangamaa na hoja na kama Bi Kiroboto akiizima, the next stage iwe ni Mkakati wa Kumwondoa yeye Bi. Kiroboto kwa kutumia Kanuni.
 
Watanzania ni watu wa matukio sana baada ya hapo uwa wanayasahau yote.

Katika orodha ya Slaa aliyoitaja pale Mwembe Yanga Temeke Nimrod Mkono alikuwemo.

Leo baada ya kusaini amekuwa shujaa na kwenye kundi la ufisadi hayumo tena.
 
Mjumbe wa NEC CCM ndugu Nimrod Elirehema Mkono, Mbunge wa Musoma Vijijini amesaini waraka wa kupiga kura ya kutokuwa na imani na Serikali. Amekuwa Mbunge wa 74 kufanya hivyo na Mbunge wa 6 kutoka CCM. #OperesheniUwajibikaji

SOURCE: Zitto Kabwe Facebook (Just minutes ago..posted)
 
Watanzania ni watu wa matukio sana baada ya hapo uwa wanayasahau yote.

Katika orodha ya Slaa aliyoitaja pale Mwembe Yanga Temeke Nimrod Mkono alikuwemo.

Leo baada ya kusaini amekuwa shujaa na kwenye kundi la ufisadi hayumo tena.

Mkuu once a Fisadi always a Fisadi...

Hii ni means to a end kama signature yake itatumika kumuondoa a Bigger Fisadi.., Who Cares...

Brick by Brick..., Brick by Brick my friend, Rome was not built in one day...
 
Mjumbe wa NEC CCM na mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini Ndugu Nimrodi Mkono muda huu amesaini waraka ambao utapelekwa Bungeni kesho kuhusu kura ya kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu.

Huyu amekuwa Mbunge mwingine miongoni mwa wabunge wa CCM ambao wameamua kuusaini waraka huo kabla ya kuwasilishwa Bungeni kesho siku ya jumatatu.

Huyu ni mjumbe wa NEC ya CCM , tafsiri ya jambo hili nini maana yake .....

UPDATE:

Amesema kuwa yeye ni mbunge wa NEC (ya CCM) wa kuchaguliwa na wabunge na wabunge ndio wanalalamika hivyo hawezi kukaa kimya nchi ikiwa inapotea!

NM nakupa pongezi kutetea Watanzania kama kufa, kufa kwa ajili ya Watanzania na si mafisadi na wenye uchu wa madaraka wanaodhani walizaliwa nayo - Big up NM
 
Watanzania ni watu wa matukio sana baada ya hapo uwa wanayasahau yote.

Katika orodha ya Slaa aliyoitaja pale Mwembe Yanga Temeke Nimrod Mkono alikuwemo.

Leo baada ya kusaini amekuwa shujaa na kwenye kundi la ufisadi hayumo tena.

si kila kilchoandikwa wakati huo kilikuwa sahihi na haikuwa biblia au quran sometimes tumia aili utuambie ufisadi wake ni nini?

Great thinker humjui tu! kama una ushahidi mpeleke mahakamani!
 
Mkono is nothing than a very smart guy. Kwa kutiani saini anajua kuwa jina lake litasafishika. lakini on the other hand anajua kuwa Magamba hawataafiki kupiga kura ya no confidence kwa Mtoto Fake wa Mkulima kwa maana wote ni Wachumia tumbo and they dont know what will be the next course of action.

As you can see, mmeshaanza kumuona Mkono shujaa while in fact ni one of Top Fisadiz. The guy knows mathematics.

Kilichopo hapa ni Kugangamaa na hoja na kama Bi Kiroboto akiizima, the next stage iwe ni Mkakati wa Kumwondoa yeye Bi. Kiroboto kwa kutumia Kanuni.

Allien I completely conquer with the plan regarding Kiroboto ..because indeed that is where is the foundation and crux of the matter ... Lakini hapo kwa Nimrod ... Unafikiri Kweli huyo Mzee could dare to toy with this kama hajui exactly the outcome ...!!
 
Mimi kwa kumbukumbu zangu finyu, Mkono ni mmoja wa watu waliofanya ufisaidi mkubwa nchini, hivyo kusaini ni kujikosha tu. yeye ni mmoja wao.
 
JK akimwondoa Pinda serikali yake itapinda mara dufu. Suluhisho la kisiasa na kisayansi ni kuwajiuzurisha mawaziri waliotajwa. Kama ataendelea kuwalinda hata kama wanakataa kwamba hawalindi, hivi TZ tungekuwa tumevamiwa angesubiri hadi J3 ndo atoe tamko???? Nchi ipo katika utata naye ana-mute tu si kukosa dira alikokwisha kukusema Kolimba?
 
WAPO WENGI SANA AMBAO WANATAKA KUSAINI ILA NI ZAMU YA UOGA NA KUJIPENDEKEZA VINAWAPONZA!Swali na Ameshika Rungu kati ya Pinda na Wapiga kura?
Chezea wapiga kura wewe.......
 
Who is Mkono anyway? Does he even talk?

I can swear I don't remember when I last heard him talk in parliament let alone sponsor any kind of significant piece of legislation.

ur right Bwa'Nchuchu, he rarely talk, but I can assure that Mkono's influence and acts talks more than word itself. He is very strong inside CCM and his signature means a lot!! Just wait and see!!
 
si kila kilchoandikwa wakati huo kilikuwa sahihi na haikuwa biblia au quran sometimes tumia aili utuambie ufisadi wake ni nini?

Great thinker humjui tu! kama una ushahidi mpeleke mahakamani!

Eeeeh,mamaaaaa!
Yamekuwa hayo leo?
Salaaaaaaale.

Nipeni namba ya Lowasa nimpe ujanja
ili asi hangaike kupita makanisani.
 
Back
Top Bottom