Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,951
- 9,977
Watanzania ni watu wa matukio sana baada ya hapo uwa wanayasahau yote.
Katika orodha ya Slaa aliyoitaja pale Mwembe Yanga Temeke Nimrod Mkono alikuwemo.
Leo baada ya kusaini amekuwa shujaa na kwenye kundi la ufisadi hayumo tena.
Mkuu ritz unajua JF ni tajiri wa kumbukumbu. Tukifukua thread zinazomhusu huyu mzee mtashangaa alivyokuwa akibezwa na kutukanwa kama fisadi wa lile kundi la thenashara lakini leo ni shujaa ambaye halilii bunduki! Watz huwa tunadanganywa kwa khanga, kofia, vitenge, shaba (pilau) na vitu vingine vidogo vidogo. Hii ya Mkono kusaini ni sawa na pilau tu kwa wale waliokuwa wakimuita fisadi ila leo wanamuita shujaa!
Last edited by a moderator: