Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjumbe wa NEC CCM na mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini Ndugu Nimrodi Mkono muda huu amesaini waraka ambao utapelekwa Bungeni kesho kuhusu kura ya kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu.
Huyu amekuwa Mbunge mwingine miongoni mwa wabunge wa CCM ambao wameamua kuusaini waraka huo kabla ya kuwasilishwa Bungeni kesho siku ya jumatatu.
Huyu ni mjumbe wa NEC ya CCM , tafsiri ya jambo hili nini maana yake .....
UPDATE:
Amesema kuwa yeye ni mbunge wa NEC (ya CCM) wa kuchaguliwa na wabunge na wabunge ndio wanalalamika hivyo hawezi kukaa kimya nchi ikiwa inapotea!
Mkuu sijasema ni fisadi mdogo (nimesema kama signature itasaidia kupata bigger fisadis) maana yake ni kwamba either wakubwa kuliko yeye au genge kubwa zaidi...Mkuu hivi hunajua kiasi alichokuwa analipwa Mkono na Daudi Balali.
Mkono and Company Advocates walilipwa dola 998,000 (Sh 1.3 bilioni) halafu bado unamuona ni fisadi mdogo kisa kasaini.
vp january anasaini saa ngapi au ni kesho asubuhi?
Jamani jamani Jamani, ni heri uandike kimatumbi ulichozowea kuliko kuivamia Lugha ya Malkia.Hongera Mhe Nimrod Mkono kwa kusahini Chadema wamekusafisha rasmi na wamekutoa kwenye orodha yao ya List of shime.
Mjumbe wa NEC CCM na mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini Ndugu Nimrodi Mkono muda huu amesaini waraka ambao utapelekwa Bungeni kesho kuhusu kura ya kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu.
Huyu amekuwa Mbunge mwingine miongoni mwa wabunge wa CCM ambao wameamua kuusaini waraka huo kabla ya kuwasilishwa Bungeni kesho siku ya jumatatu.
Huyu ni mjumbe wa NEC ya CCM , tafsiri ya jambo hili nini maana yake .....
UPDATE:
Amesema kuwa yeye ni mbunge wa NEC (ya CCM) wa kuchaguliwa na wabunge na wabunge ndio wanalalamika hivyo hawezi kukaa kimya nchi ikiwa inapotea!
sahihi yake inawakilisha wananchi/wapiga kura wake wa Musoma Vijijini!kwaio wana cdm Mkono kawa mpambanaji!!?
Mbunge gani unaemjua wewe amewahi ku "sponsor any piece of legislation" in modern history?Who is Mkono anyway? Does he even talk?
I can swear I don't remember when I last heard him talk in parliament let alone sponsor any kind of significant piece of legislation.
Mkono sio CCM wa kwanza ku saini huu waraka! Na CCM ambao wameshasaini wana "uzoefu na connections tofauti" vile vile. Sasa kwa nini yeye akisaini ndio iwe nongwa ya "hii ametuonyesha kwamba hii movement inakubalika" ?? Usimweke Mkono kwenye pedestal bila sababu.Mkono kwa kutia sahihi list hii ametuonyesha kwamba hii movement inakubalika na wabunge wa upinzani na wa CCM,wenye uzoefu na connections tofauti.
Mbunge gani unaemjua wewe amewahi ku "sponsor any piece of legislation" in modern history?
Mnatumia vi concept vya kigeni ambavyo havipo kwenye bunge la Tanzania!
Mkono sio CCM wa kwanza ku saini huu waraka! Na CCM ambao wameshasaini wana "uzoefu na connections tofauti" vile vile. Sasa kwa nini yeye akisaini ndio iwe nongwa ya "hii ametuonyesha kwamba hii movement inakubalika" ?? Usimweke Mkono kwenye pedestal bila sababu.
sema badae mkuu hujui kama leo ni J3 au tutapata jumanne?
Mkuu ritz unajua JF ni tajiri wa kumbukumbu. Tukifukua thread zinazomhusu huyu mzee mtashangaa alivyokuwa akibezwa na kutukanwa kama fisadi wa lile kundi la thenashara lakini leo ni shujaa ambaye halilii bunduki! Watz huwa tunadanganywa kwa khanga, kofia, vitenge, shaba (pilau) na vitu vingine vidogo vidogo. Hii ya Mkono kusaini ni sawa na pilau tu kwa wale waliokuwa wakimuita fisadi ila leo wanamuita shujaa!
Mkono hana "gravitas" wala "power brokering swashbuckle" yeyote!CCM wengine waliosaini kabla ya Mkono wenye gravita na powerbrokering swashbuckle of a Mkono ni kina nani?
Unajua mapaka sasa watu hawajaifahamu zaidi CDM. Wanaikurupukia tu. Tuna mikakati ya kuanika all about CDM. Stay tunned!