Unajua mapaka sasa watu hawajaifahamu zaidi CDM. Wanaikurupukia tu. Tuna mikakati ya kuanika all about CDM. Stay tunned!
Don't you think it is a bit too late. The ship has left the shore and whatever you guys throw at CDM will do no harm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua mapaka sasa watu hawajaifahamu zaidi CDM. Wanaikurupukia tu. Tuna mikakati ya kuanika all about CDM. Stay tunned!
Mkono hana "gravitas" wala "power brokering swashbuckle" yeyote!
Amewahi kum power broker nani????
Wewe mwenyewe umesema Mkono ana madhambi "yasiyokomboleka"! Kwenye jamii mtu mwenye madhambi yasiyokomboleka hana "gravitas"! Unajua maana ya gravitas we mja wa Kilwa Pande wewe? Ni mtu aliye na utukuka, heshima kwenye jamii, umakini, umuhimu, taadhima, sio mtu mtu tu almuradi tajiri na mali zake! Mfano, Salim Ahmed Salim, Ally Hassan Mwinyi, Waziri Mwandosya n.k. Mkono yuko kwenye buku jeusi la Mwembeyanga Kumi na Moja, hana gravitas!
Mwana CCM hapa mwenye bellwether influence and deserving of applause ni aliyeanzisha noma lote hili, Deo Filikunjombe. Bila Filikunjombe Zitto asingepata wherewithal wala inclination ya kukusanya saini!
lengo la kikwete ni kumuondoa pinda hapo kitini..
lengo la kikwete ni kumuondoa pinda hapo kitini..
Mkuu Kimbunga nakubaliana kwa kiasi fulani na maoni yako lakini pili natofautiana nawe kidogo,tukiwa tunaelekea mwisho wa enzi ya CCM kuna mambo mengi yatasikika ktk hali ya kawaida wengi hawataamini,lakini ni lazima yatokee! Kutakua na mikataba ya siri ambayo itafanyika kulinda baadhi ya watu,hiyo yote itakua kuiepusha nchi na umwagaji wa damu!
Mkuu Dawa ya Mjinga tatizo ni yeye kuonekana shujaa kwa kuwapa pilau waliokuwa wakimuita fisadi. Fisadi ni fisadi tu hata kama atapiga kura ya wazi ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu acha kusaini peke yake.Si kweli na wala si sahihi kwamba Mkono kuweka mkono wake kwenye orodha ya wabunge wanaotaka Waziri Mkuu akimbizwe kunamuondolea cheo cha ufisadi. Wanachothamini wachangiaji, ni dhamira yake ya kushughulikia tatizo lililopo sasa. Waswahili wanasema "Kafiri akufaaye si islam asiyekufaa." Tena wakaongeza kuwa "Baniani m-baya kiatu chake dawa" Hivyo hata kama wako watakatifu miongoni mwa CCM na vyama vingine (UDP) ambao hawawezi kuangusha saini zao kwenye waraka hao ni islam wasiotufaa katika hili na kafiri Mkono ni heri kuliko wao. Japo kiatu chake ni dawa baniani huyu hageuki kuwa mzuri bado anaitwa baniani m-baya (aka fisadi).
Ni dhahiri kuwa islam yeyote atashangaa sana kusaidiwa na kafiri wakati islam mwenzake (mwenye uwezo wa kufanya hivyo)akimkodolea macho. Si ajabu basi ukamwona islam huyu akimsifu kafiri kwa kumfaa siku ya dhiki yake. Hilo ndilo linalotokea; wako wapi islam wa CCM katika hili. Kwa vile hawakufaa heri kafiri anayefaa (na ukafiri wake) yaani Mkono.
Unajua mapaka sasa watu hawajaifahamu zaidi CDM. Wanaikurupukia tu. Tuna mikakati ya kuanika all about CDM. Stay tunned!
Where is Rejao, Ritz & Co? Sijawaona tangu hili vuguvugu la kura 70 zianze!
Hawa ndiyo wafaao kuwa MAWAZIRI
Wote ni maslahi binafsi, kupata nafasi ya kutafuna nchi.Kumbe Ole Sendeka na Anna Kilango-Malecela wanaunga mkono ufisadi. Siwaamini tena!
Gravita ni umuhimu, hata character ya shetani ina gravita, as in umuhimu. Kwa kuwa inawavuta watu kwenye mabaya. Gravita = gravity, sasa usitake ku limit gravita kwa definition ya kwanza tu ya integrity.
Katika chama kilichojaa ufisadi, fisadi mkubwa kabisa ndiye mwenye gravita kuliko hao kina Filikunjombe, Salim na Mwandosya ambao nao si mali kitu. Wamejaa rushwa na woga wote tu.
Ukijua kusoma utaona sijatoa applause popote, nimestate.
lengo la kikwete ni kumuondoa pinda hapo kitini..