MHE. RAIS KWA HILI LA KARIAKOO ANZA NA WAZIRI WA FEDHA

MHE. RAIS KWA HILI LA KARIAKOO ANZA NA WAZIRI WA FEDHA

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Kumekuwa na malalamiko lukuki kuhusu kodi na ushuru mbalimbali kwa Wafanyabiashara wa hapa nchini. Mshauri wako mkuu ni Waziri wa Fedha ambaye kwa ushauri wake anawaumiza wafanyabiashara na hii imefanya wafanyabiashara kugoma hasa pale Kariakoo. Ninavyoona mgomo huu utaenea nchi nzima kama hatua za haraka hazitachukuliwa kurekebisha kodi mbalimbali. Mhe. Rais anayekuangusha ni Waziri wa Fedha ni vema ukaanza naye kwa kumuajibisha.
 
Kumekuwa na malalamiko lukuki kuhusu kodi na ushuru mbalimbali kwa Wafanyabiashara wa hapa nchini. Mshauri wako mkuu ni Waziri wa Fedha ambaye kwa ushauri wake anawaumiza wafanyabiashara na hii imefanya wafanyabiashara kugoma hasa pale Kariakoo. Ninavyoona mgomo huu utaenea nchi nzima kama hatua za haraka hazitachukuliwa kurekebisha kodi mbalimbali. Mhe. Rais anayekuangusha ni Waziri wa Fedha ni vema ukaanza naye kwa kumuajibisha.
Mwigulu anajifanya ni genius sana,na anadharau sana.
Nakumbuka mwanzoni mwa mwaka huu,kulikuwa na mijadala kadha wa kadha kuhusu marekebisho ya Kodi,wafanyabiashara wakaitwa na kutoa maomi yao,mwigulu kayatupa jalalani.
Kulikuwa na haja gani ya kuitisha kikao Cha wafanya biashara huku mkinua maoni hamta yafanyia kazi?
 
Kumekuwa na malalamiko lukuki kuhusu kodi na ushuru mbalimbali kwa Wafanyabiashara wa hapa nchini. Mshauri wako mkuu ni Waziri wa Fedha ambaye kwa ushauri wake anawaumiza wafanyabiashara na hii imefanya wafanyabiashara kugoma hasa pale Kariakoo. Ninavyoona mgomo huu utaenea nchi nzima kama hatua za haraka hazitachukuliwa kurekebisha kodi mbalimbali. Mhe. Rais anayekuangusha ni Waziri wa Fedha ni vema ukaanza naye kwa kumuajibisha.
Hapo ni sawa na kujaribu kumpiga mbu aliye kaa kwwnye korodani kwa nguvu ....nikitu ambacho hakiwezekani ....
 
Back
Top Bottom