Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto,
Pengine mimi ndio sikuelewa kifungu cha sheria ulichoweka lakini inaposema hivi:- Rais hatakuwa na uwezo wa kulivunja Bunge wakati wowote, isipokuwa tu- blaaa blaa blaaa!
Nimeelewa kwamba kama moja ya kifungu hicho ipo basi rais anaweza fanya hivyo WAKATI WOWOTE. Hili neno wakati wowote linabeba uzito mkubwa zaidi kuonyesha kwamba hakuna sababu wala kusubiri maamuzi ya mahakama. Sijaona kifungu kinachomtaka raios apeleke mashtaka au malalamiko yake kwanza mahakamani inapotokea au anapoona ulazima wa kuvunja bunge kutokana na vifungu hivyo.
Ndivyo nilivyoelewa mimi, na pengine ndivyo marais wengi huvunja bunge pasipo kusubiri mahakama..Ikiwa nimeelewa vibaya naomba somo mkuu wangu.
what troubles me is that JK is being considered as smart, clean, hardworker and many other positive compliments while the facts is absolute opposite
nimecheka saana kwenye red hapo