Mhe. Samia Suluhu Hassan awakaribisha mabalozi wapya na kupokea Hati zao............ #wote wanaishi Kenya!!

Mhe. Samia Suluhu Hassan awakaribisha mabalozi wapya na kupokea Hati zao............ #wote wanaishi Kenya!!

Pamoja na Utanzania wangu,
Ni ushabiki wa kipuuzi na kitoto, kuona mijitu zero brain inashupaza kulinganisha TZ na Kenya
Ukweli ni tuko nyuma sana tena sana
Tuanzie thamani ya fedha za Madafu kwa Kenya shillings..............
We ni mTanzania mjinga tu usijua lolote kuhusu our great country unakuja kuungana na viande wa [emoji1139] na story zenu za vijiweni. Alafu unaezakuta hata sio mTz ni mkennya unajifanya mTz[emoji28][emoji28][emoji28].
 
We ni mTanzania mjinga tu usijua lolote kuhusu our great country unakuja kuungana na viande wa [emoji1139] na story zenu za vijiweni. Alafu unaezakuta hata sio mTz ni mkennya unajifanya mTz[emoji28][emoji28][emoji28].
OK.. uko macho mporipori
Nilijua mtakuja nyie zero brain...
Swali: una passport?
Swali:umeshawahi kutoka nje ya Tanzania?
Ni hivi utaijua nchi yako hiyo unayoiita great country only if kama umewahi kutoka nje ya nchi yako ya wala vumbi...
Zaidi ya hapo endelea kuimba mapambio mliofundishwa shule ya msingi........

Alafu unaezakuta hata sio mTz ni mkennya unajifanya mTz
Hiki kiswahili cha wapi? we ni mtanzania au wa kuchovya? .........
 
OK.. uko macho mporipori
Nilijua mtakuja nyie zero brain...
Swali: una passport?
Swali:umeshawahi kutoka nje Tanzania?
Ni hivi utaijua nchi yako hiyo unayoiita great country only if kama umewahi kutoka nje ya nchi yako ya wala vumbi...
Zaidi ya hapo endelea kuimba mapambio mliofundishwa shule ya msingi........


Hiki kiswahili cha wapi? we ni mtanzania au wa kuchovya? .........
Sijaja kuimba taarabu apa chief!!!
 
Wanajua jiji gani lina hadhi ya jiji. Sasa hapo Dar es Salaam hata mitaa yenye hadhi kama Oyster Bay haina barabara za lami wakati Mitaa ya Kawaida Kenya kama South C kila Barabara ina lami unategemea nini? [emoji1787] [emoji1787]
hizo balozi hazikuwepo Tz, ndio wana anza uhusiano na Tz, walishakuwepo Nairobi, sisi hatuna hao mabalozi sababu we are, have been a non aligned nation.
Wali anza na kwenu sababu your English lifestyle and western influence was huge back then, mnapaswa anza kuogopa wanavojileta Tz, Israel ilikuwa ivyo ivyo, akatambulishwa balozi aliekuwa kwa office ya ubalozi wao Kenya, akawa anaishi Kenya, later wakafungua ya kwao Tz, now wanaishi Tz.
Nashangaa ni nini kinawajaza vichwa vyenu.
 
hizo balozi hazikuwepo Tz, ndio wana anza uhusiano na Tz, walishakuwepo Nairobi, sisi hatuna hao mabalozi sababu we are, have been a non aligned nation.
Wali anza na kwenu sababu your English lifestyle and western influence was huge back then, mnapaswa anza kuogopa wanavojileta Tz, Israel ilikuwa ivyo ivyo, akatambulishwa balozi aliekuwa kwa office ya ubalozi wao Kenya, akawa anaishi Kenya, later wakafungua ya kwao Tz, now wanaishi Tz.
Nashangaa ni nini kinawajaza vichwa vyenu.
Hivi wewe una kichaa? Mtakuwaje na balozi bila ubalozi? The embassy has to e established before the ambassador is sent. Usijilete kwa mijadala huelewi.
 
Hivi wewe una kichaa? Mtakuwaje na balozi bila ubalozi? The embassy has to e established before the ambassador is sent. Usijilete kwa mijadala huelewi.
Duh, kuna lots of cases duniani, balozi yupo ila ubalozi hata balozi mwenyewe, haupo kwenye nchi husika, hii hutokea kwa nchi jirani sanasana, case ya Israel mfano, they had ubalozi and balozi with his staffs in Kenya, serikali yao kule kwao ikaamua kuanzisha uhusiano na Tz, lazima awaconsult wa Nairobi kwanza, na sababu ya ugeni huprefer kuelect from the said embassy office, balozi atakayekaimu whilst the process is ongoing, mfano mwingine, Tz tuko katika processes za kuhamia dodoma, kuna balozi zimeshahamia kuna ambazo bado, so kuhama kwa capitals pia ni vitu huchangia mambo kama ayo, it's 21st century guys, si lazima kuwepo na li building mahali ndio kuwepo na office.
You guys bhana [emoji23]
 
Duh, kuna lots of cases duniani, balozi yupo ila ubalozi hata balozi mwenyewe, haupo kwenye nchi husika, hii hutokea kwa nchi jirani sanasana, case ya Israel mfano, they had ubalozi and balozi with his staffs in Kenya, serikali yao kule kwao ikaamua kuanzisha uhusiano na Tz, lazima awaconsult wa Nairobi kwanza, na sababu ya ugeni huprefer kuelect from the said embassy office, balozi atakayekaimu whilst the process is ongoing, mfano mwingine, Tz tuko katika processes za kuhamia dodoma, kuna balozi zimeshahamia kuna ambazo bado, so kuhama kwa capitals pia ni vitu huchangia mambo kama ayo, it's 21st century guys, si lazima kuwepo na li building mahali ndio kuwepo na office.
You guys bhana [emoji23]
Dude, in instances where Tanzania doesn't have an embassy of a certain country, they can USE THE KENYAN EMBASSY. That's a different case - you have no embassy, no ambasssdor hence you are served by the KENYAN AMBASSADOR. Note, KENYAN AMBASSADOR. Hamuwezi kuwa na ambassador bila embassy.
 
Pamoja na Utanzania wangu,
Ni ushabiki wa kipuuzi na kitoto, kuona mijitu zero brain inashupaza kulinganisha TZ na Kenya
Ukweli ni tuko nyuma sana tena sana
Tuanzie thamani ya fedha za Madafu kwa Kenya shillings..............
eeh kwa kweli.....😂😂😂😂 hata mie nakusapoti kabisa UAE pesa yao inathamani kuliko us$ so USA ni wapumbavu hawajaendela kama UAE
 
Pamoja na Utanzania wangu,
Ni ushabiki wa kipuuzi na kitoto, kuona mijitu zero brain inashupaza kulinganisha TZ na Kenya
Ukweli ni tuko nyuma sana tena sana
Tuanzie thamani ya fedha za Madafu kwa Kenya shillings..............
Tatizo kenya wanaamini watz hatuwezi kuishi bila wao
 
we can argue and bicker all day everyday but things like these are a clear reminder that Kenya is the big brother in this region

the only reason those countries want to have Kenya as the base of operations is because Kenya is a transportation hub, has superior ICT infrastructure, superior economy, better diplomatic policies, and overall better connectivity to the world than Tanzania.
Kenya has a bigger GDP than Tanzania. The GDP of Uganda plus that of Tanzania, equals that of Kenya. Kenya is our big brother in East Africa.
 
Kuanzia mwaka 2024 balozi wa Denmark naye atakuja kuwakilisha hati zake akitokea Nairobi
 
Kenya has a bigger GDP than Tanzania. The GDP of Uganda plus that of Tanzania, equals that of Kenya. Kenya is our big brother in East Africa.
we all have our different strengths it just sucks that we can't pull that together and better ourselves instead we're bogged down by petty bickering......SO SAD!
 
eeh kwa kweli.....😂😂😂😂 hata mie nakusapoti kabisa UAE pesa yao inathamani kuliko us$ so USA ni wapumbavu hawajaendela kama UAE
Haaahaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Akili ndogo....
Nitakujibu kirahisi kulingana na kiwango chako cha uwelewo, ni hivi kuna madafu mengi yaliyochapishwa kwenye mzunguko wa hela nchini Tanzania kuliko Kenya Shilling kwenye mzuguko wa hela nchini kenya
Na pia hii ni kwa hela ya nchi yeyeto unayoona ina thamani kuliko dollar

Jifunze Crypto kidogo utajua kwanini bitcoin iko juu.......

Na pia hujui hata thamani halisi ya hiyo pesa ya UAE kulinganisha na dollar, haina thamani yeyote kulinganisha dollar
 
Hahaha ila ukikaa kuangalia jinsi hawa slum dwellers walivyo empty kichwani ni kwa namna huwa wanashirikiana kujenga upumbavu wao kwenye mijadala

Huwa hawana tofauti na nyumbu wa Serengeti, kubwa jinga moja likisema ni no ni no one way kwa mengine yote na ndio maana hayanasuki kwenye njaa, ufisadi, umasikini, kiu, ukabila na mauaji

Em jiulizeni swali dogo tu kwenye huu mjadala wenu, je Tanzania wana ubalozi kwenye mataifa yao?

Jibu ni no hatuna uhusiano wa kibalozi wa moja kwa moja kwenye nchi zao as well yaani hata consulates hatuna in short hatuwatambui na kwa nchi nyingine Tanzania ina uwakilishi kwenye nchi zao same kama wanavyowakilisha nchi zao kupitia balozi jirani

Sasa cha ajabu kipi? Tena wao ndio wapo desperate sana na Tanzania na hii ni kuforce tuwaone relevant ili tuanze balozi

Wao kukaa huko kwenu hakuifanyi Tanzania iwe less, sababu Mbona office za WB zipo Tanzania na zinahudumia mpaka Zambia, Zimbabwe, Malawi, Mozambique from Tanzania?

Katika nchi zote duniani ni nchi chache sana zenye balozi kila nchi na sana sana mrengo wa kisiasa huchangia balozi baina ya nchi kuwepo au usiwepo, sera za Tanzania toka uhuru zinajulikana ni antiwestern, usitegemee hizo nchi tuwe na mahusiano nao back then

Factors ni nyingi ila sababu mkunya hakuwahi kupata akili so shangai
 
hizo balozi hazikuwepo Tz, ndio wana anza uhusiano na Tz, walishakuwepo Nairobi, sisi hatuna hao mabalozi sababu we are, have been a non aligned nation.
Wali anza na kwenu sababu your English lifestyle and western influence was huge back then, mnapaswa anza kuogopa wanavojileta Tz, Israel ilikuwa ivyo ivyo, akatambulishwa balozi aliekuwa kwa office ya ubalozi wao Kenya, akawa anaishi Kenya, later wakafungua ya kwao Tz, now wanaishi Tz.
Nashangaa ni nini kinawajaza vichwa vyenu.
Achana na hao nyumbu hawajui kwamba Huwezi kua na ubalozi kwenye nchi bila wao kureciprocate

Hizo nchi zote hatuna ubalozi kwao hata sisi tunaiwakilisha Tanzania from the nearest embassy

Screenshot_20210903-011511.png



Yet utawasikia kwamba wapo Well educated 😂😂😂

Exposure na elimu ni vitu hadimu sana kwa mkunya 😅😅
 
Muwe pia mnaangalia na nchi zenyewe zenye balozi zake nje ya Tanzania.
😆 😆
Hope Bulgarians will feel jealous on Germans lol kosa mali upate akili, wakunya mali wamekosa na akili pia 😅😅😅



 
Yaani bado nacheka sana, ila Watanzania mpaka huwa mnatia huruma kwa kweli.....poleni lakini ila ndio hivyo, ipo siku mtafikia hadhi ya kukubalika.
Pia tatizo ze ze ze ze nyingi....
 
Back
Top Bottom