Mhe Temba alikuwa JWTZ au JKT?

Mhe Temba alikuwa JWTZ au JKT?

a57a4954367ff91fb98e1ff8bf001e99.jpg

soma hapo
leo genta kaangukia pua
 
Huyu Temba anapenda sana kujikosha kuwa alikuwa jeshini kumbe ni jkt
Michael issamuhyo unamfaham? Huyo ni mkuu wa jeshi la kujenga taifa la Tanzania , kama unahisi kwamba sungusungu /mgambo ni jeshi basi na wewe tufahamishe hapa mkuu wa sungusungu Tanzania ni nani??
 
Michael issamuhyo unamfaham? Huyo ni mkuu wa jeshi la kujenga taifa la Tanzania , kama unahisi kwamba sungusungu /mgambo ni jeshi basi na wewe tufahamishe hapa mkuu wa sungusungu Tanzania ni nani??
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji122]
 
Back
Top Bottom