Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu! Unammaliza Kabisa Hadi Ameshindwa Kazi!

Hata ya sasa inasema hivyo na hata madam spika alichaguliwa kwa kishindo na haohao wabunge akimbwaga Mabere Marando wa chadema kwa mbali.Labda kuna kitu kingine ulikuwa unamaanisha?

Mkuu nilikuwa na maana kwamba ninachokiona hapo bungeni ni kwamba spika wa bunge anafanya kazi ya kuitetea serikali na chama tawala moja kwa moja bila kuona haya. Mimi ni CCM, lakini hatuwezi kujenga taifa makini kwa kuendesha bunge namna hii. Kama ni hivyo basi tuamue moja kwamba hakuna haja ya kuwa na vyama vingi. ukweli nimesikitishwa sana na huyu Makinda.
 
Makinda alitaka the big Apple kabite sasa cant chew....

Tindu Lissu kashamjua huyu mama na anamkomesha mpaka ahakikishe she breaks down. It seems Mama cant work vizuri under so much pressure and thats what Tindu Lisu is doing.
 
Asome alama za nyakati ajiuzuru wadhifa huo alio nao itamjengea heshima kwa jamii.
 
Pole sana mama Makinda.
Huko ndiko kutumika ulikokubali, sometimes you hv to pay the price, and it might be against yr will.

-Where is Andrew Chenge, when u need him deadly!


-Where is Rostam Aziz when u are starving to see him!

Jikaze mama, ukilia utaniliza.
 
Na bado hadi ajiuzuru mwenyewe bila Shinikizo.:target:
 
Kama kashindwa kazi si aache? Anang'ang'ania nini?
 
kiti kile kinahitaji maombi ya toba kabla ya kukikalia kwani kuna dhambi ya dhuluma na kutokutenda haki inakinyemelea sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 

Pasco,

Si wakati wa kuremba sasa, we should call a spade a spade. The time for Madame Speaker for doing the blunders and run the parliamentary proceedings in the way she wants has to come to an end. VIVA Chadema, VIVA Tundu Antipas Mughwai Lissu and other opposition MPs
 

Kuzuia hilo mkuu ni spika kutokuwa mbunge na mwanachama wa chama chochote cha siasa.Ili asiingie kwenye kamati wala caucus ya chama chochote.Bila hivyo tutaendelea kulaumu kila siku.
 

Hapo kwenye red, nadhani hii huduma uwa inapatikana kwa mwanamume ambaye ni mume wa mwanamke husika. Kama kazi imemshinda akatafute kazi nyingine, kuachia ngazi si jambo la ajabu. Makinda sio kupwaya tu, bali kiatu kimemvaa badala yeye kuvaa kiatu. Kwa kifupi hatufai.
 


Hivi hapa tuko jukwaa la jokes au mie ndiye nimepotea?
 
Kuna kazi nyingine ambazo mtu yeyote anaweza kuzifanya ila sio SHERIA. Kaka yangu Lissu anachofanya ni kumvuruga akili Spika, matokeo yake anajikuta amepwaya na kutoka nje ya mstari kabisa. Hii inaweza mwathiri mwanamke akajikuta ameingia P...od bila kutarajia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…