Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Aliyeanzisha uniform au sare shuleni naamini alilenga kuweka usawa baina ya maskini na tajiri lakini pia alitofautisha Kati ya Mwanafunzi na watu watoto wengine. Tunaposema asiye na sare aende shule tunakosea, tulipaswa kuwabaini wasio na unifomu mapema Tena kwa kujiandikisha ikiwemo kuweka vigezo na masharti.
Hoja ya pili nadhani tunaweza tukawa tunawalemaza sana Watanzania pale tunapotoa free lunch kwenye kila eneo kisiasa. Ifike mahalo tuwalazimishe wazazi wawajibe Kwa watoto wao. Tutumie principle ya TASAF kuwabainisha wale wanaostahili msaada na SIYO kutoa general statement. Tuwaonee huruma watoto w maskini kama tunavyowaonea huruma wakwetu.
Kutovaa uniform kunaweza kuchangia majanga Kwa kizazi chetu ikiwemo kuongezeka Kwa mimba za utotoni.
Kaya maskini zinatambulika Nchi nzima, tutumie data za mradi wa Tasaf kufanya- analysis ya ukubwa wa tatizo na kuweka Suluhu yakimfumo SIYO tamko la kisiasa.
Tamko la watoto wasio na sare wapokelewe Lina miaka kadhaa na alitekelezeki na halina msingi wa kisera wala Sheria.
Hoja ya pili nadhani tunaweza tukawa tunawalemaza sana Watanzania pale tunapotoa free lunch kwenye kila eneo kisiasa. Ifike mahalo tuwalazimishe wazazi wawajibe Kwa watoto wao. Tutumie principle ya TASAF kuwabainisha wale wanaostahili msaada na SIYO kutoa general statement. Tuwaonee huruma watoto w maskini kama tunavyowaonea huruma wakwetu.
Kutovaa uniform kunaweza kuchangia majanga Kwa kizazi chetu ikiwemo kuongezeka Kwa mimba za utotoni.
Kaya maskini zinatambulika Nchi nzima, tutumie data za mradi wa Tasaf kufanya- analysis ya ukubwa wa tatizo na kuweka Suluhu yakimfumo SIYO tamko la kisiasa.
Tamko la watoto wasio na sare wapokelewe Lina miaka kadhaa na alitekelezeki na halina msingi wa kisera wala Sheria.