Mheshimiwa Alikuwa anafanya nini hapa?

Mheshimiwa Alikuwa anafanya nini hapa?

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Sitaki kuweka neno ila ndio hivyo kama mnavyoona kwenye picha hapa. Sijuwi Mheshimiwa alikuwa anafanyiwa nini .

Si unajuwa Tanzania mambo mengi mpaka wananchi wanachanganyikiwa na kushindwa washike nini na waache nini.

Ukigeuka huku unakutana na habari hii,ukienda kule unakuta vile,ukitazama mbele unaona vile. .kikubwa ni wewe uchague cha kutizama na uwe na misimamo yako binafsi.
Screenshot_20240728-213618_1.jpg


Alichoandika Kigwangala kuhusiana na picha hii

20240728_215257.jpg

Kigwangala kupitia X:

Ndugu wapendwa Gen Zee, salaams.

Napenda kuwafahamisha ya kwamba hili vazi siyo uchawi! Wala uganga. Ni vazi la kimila; yanaitwa Masunzu, ama Nsunzu, ama nyie waswahili mnaita rasta.

Kwa mila na desturi zetu huvaliwa na warriors wanaitwa Sungusungu! Hawa ni askari wa jadi.

Wanaume wanavaa makubwa na yenye nakshi nzuri zaidi ya wanawake. Mjue kuwa hizo rasta zilizaliwa huku.

Ahsanteni sana.

Wakatabahu,
HK.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Sitaki kuweka neno ila ndio hivyo kama mnavyoona kwenye picha hapa. Sijuwi Mheshimiwa alikuwa anafanyiwa nini .

si unajuwa Tanzania mambo mengi mpaka wananchi wanachanganyikiwa na kushindwa washike nini na waache nini.

Ukigeuka huku unakutana na habari hii,ukienda kule unakuta vile,ukitazama mbele unaona vile. .kikubwa ni wewe uchague cha kutizama na uwe na misimamo yako binafsi.View attachment 3055439
Z🤣🤣🤣
 
Anamtambikia mama ajichanganye ampe wizara.
Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan hagawi vyeo kama njugu bali hugawa majukumu kulingana na uwezo wa mtu kumudu majukumu yake,mahitaji ya wakati,utauari katika kufanya kazi, Uchapakazi wa mtu,ubunifu wa kiuongozi alionao mtu,kasi ya kutekeleza majukumu kwa ufanisi na umakini n.k.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Sitaki kuweka neno ila ndio hivyo kama mnavyoona kwenye picha hapa. Sijuwi Mheshimiwa alikuwa anafanyiwa nini .

Si unajuwa Tanzania mambo mengi mpaka wananchi wanachanganyikiwa na kushindwa washike nini na waache nini.

Ukigeuka huku unakutana na habari hii,ukienda kule unakuta vile,ukitazama mbele unaona vile. .kikubwa ni wewe uchague cha kutizama na uwe na misimamo yako binafsi.View attachment 3055439

Alichoandika Kigwangala kuhusiana na picha hii

View attachment 3055449
Kigwangala kupitia X:

Ndugu wapendwa Gen Zee, salaams.

Napenda kuwafahamisha ya kwamba hili vazi siyo uchawi! Wala uganga. Ni vazi la kimila; yanaitwa Masunzu, ama Nsunzu, ama nyie waswahili mnaita rasta.

Kwa mila na desturi zetu huvaliwa na warriors wanaitwa Sungusungu! Hawa ni askari wa jadi.

Wanaume wanavaa makubwa na yenye nakshi nzuri zaidi ya wanawake. Mjue kuwa hizo rasta zilizaliwa huku.

Ahsanteni sana.

Wakatabahu,
HK.
Hii ndiyo dini ya mwafrika sasa
 
Si kashasema ni Sungusungu , mnataka nini tena ?
Uongo.mchawi huyo..Dress code ya Sungusungu bila Upinde na Shegi/shono( kiji begi kidogo cha kubebea mishale)???.Sunzu ilipaswa kuwa ya boya wa ngoko (manyoya ya kuku!)au bunela(nyuzi za katani).Hicho cha mkononi kinaitwa isale( kichoteo kinachotokana na aina fulani ya maboga)ndiyo kabisaaa hakina uhusiano na Sungusungu( Ndulilu).
 
Back
Top Bottom