Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,944
- 2,459
Ki vipi tena mkuu?Idimu unaharibu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ki vipi tena mkuu?Idimu unaharibu sana.
Uwe unatumia akiliBwana ako hajambo? Makonda ndo umemwacha kwenye mataa
Mrs TwombiliUwe unatumia akili
HUYU KAGOMBANA NINI NA KAFULILA MPAKA UNAMSHAMBULIA CCM MWENZETU?Ndugu zangu Watanzania,
Sitaki kuweka neno ila ndio hivyo kama mnavyoona kwenye picha hapa. Sijuwi Mheshimiwa alikuwa anafanyiwa nini .
Si unajuwa Tanzania mambo mengi mpaka wananchi wanachanganyikiwa na kushindwa washike nini na waache nini.
Ukigeuka huku unakutana na habari hii,ukienda kule unakuta vile,ukitazama mbele unaona vile. .kikubwa ni wewe uchague cha kutizama na uwe na misimamo yako binafsi.View attachment 3055439
Alichoandika Kigwangala kuhusiana na picha hii
View attachment 3055449
Kigwangala kupitia X:
Ndugu wapendwa Gen Zee, salaams.
Napenda kuwafahamisha ya kwamba hili vazi siyo uchawi! Wala uganga. Ni vazi la kimila; yanaitwa Masunzu, ama Nsunzu, ama nyie waswahili mnaita rasta.
Kwa mila na desturi zetu huvaliwa na warriors wanaitwa Sungusungu! Hawa ni askari wa jadi.
Wanaume wanavaa makubwa na yenye nakshi nzuri zaidi ya wanawake. Mjue kuwa hizo rasta zilizaliwa huku.
Ahsanteni sana.
Wakatabahu,
HK.
Luca unafanya siasa hadi kwenye mapenzi 😹😹Amepita kwenye mioyo na wananchi wanasubiri wakapige tiki tu kwenye jina lake. Evelyn Salt hivi unajuwa kuwa ephen wangu kuzuiwa kutembelea jukwaa hili hadi tarehe 18 huko mwezi ujao.saizi ephen wangu amejishindia zake jukwaa la michezo .huko ndio nakokwenda kumpa faraja na kuondoleana upweke
Swali na jibu ni tofauti wala havihusiani, swali alikuwa anafanyiwa nini na si alikuwa amevaa nini, ajifunze kujibu maswali na huenda ndicho kisa cha kuishia darasa la nne kama Lucas Mwashambwa.Ndugu zangu Watanzania,
Sitaki kuweka neno ila ndio hivyo kama mnavyoona kwenye picha hapa. Sijuwi Mheshimiwa alikuwa anafanyiwa nini .
Si unajuwa Tanzania mambo mengi mpaka wananchi wanachanganyikiwa na kushindwa washike nini na waache nini.
Ukigeuka huku unakutana na habari hii,ukienda kule unakuta vile,ukitazama mbele unaona vile. .kikubwa ni wewe uchague cha kutizama na uwe na misimamo yako binafsi.View attachment 3055439
Alichoandika Kigwangala kuhusiana na picha hii
View attachment 3055449
Kigwangala kupitia X:
Ndugu wapendwa Gen Zee, salaams.
Napenda kuwafahamisha ya kwamba hili vazi siyo uchawi! Wala uganga. Ni vazi la kimila; yanaitwa Masunzu, ama Nsunzu, ama nyie waswahili mnaita rasta.
Kwa mila na desturi zetu huvaliwa na warriors wanaitwa Sungusungu! Hawa ni askari wa jadi.
Wanaume wanavaa makubwa na yenye nakshi nzuri zaidi ya wanawake. Mjue kuwa hizo rasta zilizaliwa huku.
Ahsanteni sana.
Wakatabahu,
HK.
Ubunge na uteuziAnatambikia nini sasa.
Utasugua sana bench lakini kamwe huteuliwi. Mchuna ngozi weweMimi huwa situmwi na mtu kuandika hapa jukwaani ndugu yangu mtanzania uliyejaa msongo wa mawazo
Imo kwenye ilani yaoNdio misingi ya chama!
No elevation without sacrifices,ufanye kwa Mungu au shetani,ufanye kwa siri au waziwaziNdugu zangu Watanzania,
Sitaki kuweka neno ila ndio hivyo kama mnavyoona kwenye picha hapa. Sijuwi Mheshimiwa alikuwa anafanyiwa nini .
Si unajuwa Tanzania mambo mengi mpaka wananchi wanachanganyikiwa na kushindwa washike nini na waache nini.
Ukigeuka huku unakutana na habari hii,ukienda kule unakuta vile,ukitazama mbele unaona vile. .kikubwa ni wewe uchague cha kutizama na uwe na misimamo yako binafsi.View attachment 3055439
Alichoandika Kigwangala kuhusiana na picha hii
View attachment 3055449
Kigwangala kupitia X:
Ndugu wapendwa Gen Zee, salaams.
Napenda kuwafahamisha ya kwamba hili vazi siyo uchawi! Wala uganga. Ni vazi la kimila; yanaitwa Masunzu, ama Nsunzu, ama nyie waswahili mnaita rasta.
Kwa mila na desturi zetu huvaliwa na warriors wanaitwa Sungusungu! Hawa ni askari wa jadi.
Wanaume wanavaa makubwa na yenye nakshi nzuri zaidi ya wanawake. Mjue kuwa hizo rasta zilizaliwa huku.
Ahsanteni sana.
Wakatabahu,
HK.
CCM bila uchawi ni wepesi.Atapita tena na kuwaacha CHADEMA mkipiga porojo zenu.
Pamoja na kwenda shule kote bado anaamini katika kuvaa katani kichwaniNdugu zangu Watanzania,
Sitaki kuweka neno ila ndio hivyo kama mnavyoona kwenye picha hapa. Sijuwi Mheshimiwa alikuwa anafanyiwa nini .
Si unajuwa Tanzania mambo mengi mpaka wananchi wanachanganyikiwa na kushindwa washike nini na waache nini.
Ukigeuka huku unakutana na habari hii,ukienda kule unakuta vile,ukitazama mbele unaona vile. .kikubwa ni wewe uchague cha kutizama na uwe na misimamo yako binafsi.View attachment 3055439
Alichoandika Kigwangala kuhusiana na picha hii
View attachment 3055449
Kigwangala kupitia X:
Ndugu wapendwa Gen Zee, salaams.
Napenda kuwafahamisha ya kwamba hili vazi siyo uchawi! Wala uganga. Ni vazi la kimila; yanaitwa Masunzu, ama Nsunzu, ama nyie waswahili mnaita rasta.
Kwa mila na desturi zetu huvaliwa na warriors wanaitwa Sungusungu! Hawa ni askari wa jadi.
Wanaume wanavaa makubwa na yenye nakshi nzuri zaidi ya wanawake. Mjue kuwa hizo rasta zilizaliwa huku.
Ahsanteni sana.
Wakatabahu,
HK.
Hapana Evelyn Mimi naongea ukweliLuca unafanya siasa hadi kwenye mapenzi 😹😹
Nani kakwambia kuwa CCM inategemea uchawiCCM bila uchawi ni wepesi.
Naona kila siku unaota uteuzi wangu tu.Utasugua sana bench lakini kamwe huteuliwi. Mchuna ngozi wewe
Nioneshe wapi nilipo mshambuliaHUYU KAGOMBANA NINI NA KAFULILA MPAKA UNAMSHAMBULIA CCM MWENZETU?