Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Hata akitambika, harudi.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari ameshapita kwenye mioyo ya wana Nzega na anasubiri kuapishwa tu.Hata akitambika, harudi.....
Amepita kwenye mioyo au amepitishwa kwenye box?Tayari ameshapita kwenye mioyo ya wana Nzega na anasubiri kuapishwa tu.
Amepita kwenye mioyo na wananchi wanasubiri wakapige tiki tu kwenye jina lake. Evelyn Salt hivi unajuwa kuwa ephen wangu kuzuiwa kutembelea jukwaa hili hadi tarehe 18 huko mwezi ujao.saizi ephen wangu amejishindia zake jukwaa la michezo .huko ndio nakokwenda kumpa faraja na kuondoleana upwekeAmepita kwenye mioyo au amepitishwa kwenye box?
Misingi gani hiyo unayoizungumziaNdio misingi ya chama!
Matambiko,makafara plus uchawi n.k!!Misingi gani hiyo unayoizungumzia
Siyo rahisi watu wanahasira naye mno....hata aliye muhonga akajitoa kwenye ugombea, alipotea kabisa hajawahi kurudi ...raia walimchukia mno..Hata +255 Oparesheni ilipo pita huko hali ilikuwa dhahili kabisa Kigwangala amedhoofika sana kisiasa huko.Atapita tena na kuwaacha CHADEMA mkipiga porojo zenu.
Hiyo siyo misingi ya CCM hata kidogo.Matambiko,makafara plus uchawi n.k!!
Amesema Eti ni RastaMambo ya kishirikina tu.
Bwana ako hajambo? Makonda ndo umemwacha kwenye mataaAcha ujinga wako hapa wewe.
CCM na urozi ni dam damNdugu zangu Watanzania,
Sitaki kuweka neno ila ndio hivyo kama mnavyoona kwenye picha hapa. Sijuwi Mheshimiwa alikuwa anafanyiwa nini .
Si unajuwa Tanzania mambo mengi mpaka wananchi wanachanganyikiwa na kushindwa washike nini na waache nini.
Ukigeuka huku unakutana na habari hii,ukienda kule unakuta vile,ukitazama mbele unaona vile. .kikubwa ni wewe uchague cha kutizama na uwe na misimamo yako binafsi.View attachment 3055439
Alichoandika Kigwangala kuhusiana na picha hii
View attachment 3055449
Kigwangala kupitia X:
Ndugu wapendwa Gen Zee, salaams.
Napenda kuwafahamisha ya kwamba hili vazi siyo uchawi! Wala uganga. Ni vazi la kimila; yanaitwa Masunzu, ama Nsunzu, ama nyie waswahili mnaita rasta.
Kwa mila na desturi zetu huvaliwa na warriors wanaitwa Sungusungu! Hawa ni askari wa jadi.
Wanaume wanavaa makubwa na yenye nakshi nzuri zaidi ya wanawake. Mjue kuwa hizo rasta zilizaliwa huku.
Ahsanteni sana.
Wakatabahu,
HK.
Mbona hatujamuona nazo kwengine?Amesema Eti ni Rasta
Idimu unaharibu sana.Uongo.mchawi huyo..Sungusungu bila Upinde na Shigi( kiji begi kidogo cha kubebea mishale)???.Sunzu ilipaswa kuwa ya manyoya ya kuku au bunela(nyuzi za katani).Hicho cha mkononi kinaitwa isale( kichoteo kinachotokana na aina fulani ya maboga)ndiyo kabisaaa hakina uhusiano na Sungusungu( Ndulilu).