CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Na huteuliwiNaona kila siku unaota uteuzi wangu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huteuliwiNaona kila siku unaota uteuzi wangu tu.
Si unaona hao akina Kigwangala wana CCM damu wanafanya nini hapo. Hata Samia kawaambia juzi waache kuuwa watoto na albino kupata vyeo.Nani kakwambia kuwa CCM inategemea uchawi
Ndio maana chama kinatambua waganga wa jadi kama sehem ya makada!Imo kwenye ilani yao
Kwani anafanya nini hapo wewe ukiangaliaSi unaona hao akina Kigwangala wana CCM damu wanafanya nini hapo. Hata Samia kawaambia juzi waache kuuwa watoto na albino kupata vyeo.
Ilikuwa ni bahati mbayaJamaa na matambiko yote ila kipindi ni waziri wahuni wakampopoa barabarani
Na anapenda sana uloziKigwangalla Kiboko ya Wachawi 😀 😀 .
Uongozi hutoka kwa MUNGUNa anapenda sana ulozi
Hilo mbona liko wazi...uzuri jamaa
Hajifichi...ni mzee wa kudumisha mila/tamaduni 😄
Ova
Huyo uliyemuanzishia uziUongozi hutoka kwa MUNGU
ULICHOANDIKA UNGEKIANDIKA HIVI KWA MTU WAKO KAFULILA?Nioneshe wapi nilipo mshambulia
Huyu jamaa haya mambo huwa anafanyiaga hadharani tena anakuwa na mpiga picha kabisa ….. kama cyo uchawi kwwny mila yao yeye ndo sungusungu pekee? Tena mara nyingi anafanya kipindi cha karibia uchaguziNdugu zangu Watanzania,
Sitaki kuweka neno ila ndio hivyo kama mnavyoona kwenye picha hapa. Sijuwi Mheshimiwa alikuwa anafanyiwa nini .
Si unajuwa Tanzania mambo mengi mpaka wananchi wanachanganyikiwa na kushindwa washike nini na waache nini.
Ukigeuka huku unakutana na habari hii,ukienda kule unakuta vile,ukitazama mbele unaona vile. .kikubwa ni wewe uchague cha kutizama na uwe na misimamo yako binafsi.View attachment 3055439
Alichoandika Kigwangala kuhusiana na picha hii
View attachment 3055449
Kigwangala kupitia X:
Ndugu wapendwa Gen Zee, salaams.
Napenda kuwafahamisha ya kwamba hili vazi siyo uchawi! Wala uganga. Ni vazi la kimila; yanaitwa Masunzu, ama Nsunzu, ama nyie waswahili mnaita rasta.
Kwa mila na desturi zetu huvaliwa na warriors wanaitwa Sungusungu! Hawa ni askari wa jadi.
Wanaume wanavaa makubwa na yenye nakshi nzuri zaidi ya wanawake. Mjue kuwa hizo rasta zilizaliwa huku.
Ahsanteni sana.
Wakatabahu,
HK.
Acha ujinga wako hapa.ULICHOANDIKA UNGEKIANDIKA HIVI KWA MTU WAKO KAFULILA?
WEWE HUWA UKIPENDA MWANAUME UNAMPENDA KWELI. NA HIVI HUNA KAZI UNAZUNGUKA TU HAPO LUMUMBA KORIDONI UMEWEKEWA BUNDLE. NI KULAMBA TU SOME PEOPLE'S ASS. SIKU HIZI UMEHAMA KABISA KWA MAKONDA TOKA ALIPOKUAMBIA TAFUTA KAZI UWE. BUSY.Acha ujinga wako hapa.
Haita musaidia safari hii..hali yake ni mbaya kisiasa. .na msako dhidi yake unaendelea... +255 Oparesheni ili mfinya na CHADEMA kwa ujumla wanamsaka kwa udi na uvumba..JOHN HECHE yuko huko yapata wiki sasa akiongozana na watia nia wa majimbo ya Nzega Vijijini/ Mjini,Igunga, Bukene..Leo hii wapo Nzega Mjini kwa Bashe.Jamaa na matambiko yote ila kipindi ni waziri wahuni wakampopoa barabarani
Acha ujinga wako wewe.Nani kakwambia sina kazi za kufanya. Mimi ni mkulima na naendelea na kazi zangu kama kawaida.WEWE HUWA UKIPENDA MWANAUME UNAMPENDA KWELI. NA HIVI HUNA KAZI UNAZUNGUKA TU HAPO LUMUMBA KORIDONI UMEWEKEWA BUNDLE. NI KULAMBA TU SOME PEOPLE'S ASS. SIKU HIZI UMEHAMA KABISA KWA MAKONDA TOKA ALIPOKUAMBIA TAFUTA KAZI UWE. BUSY.
Ni wa Chama gani mpaka uone ajabu?Ndugu zangu Watanzania,
Sitaki kuweka neno ila ndio hivyo kama mnavyoona kwenye picha hapa. Sijuwi Mheshimiwa alikuwa anafanyiwa nini .
Si unajuwa Tanzania mambo mengi mpaka wananchi wanachanganyikiwa na kushindwa washike nini na waache nini.
Ukigeuka huku unakutana na habari hii,ukienda kule unakuta vile,ukitazama mbele unaona vile. .kikubwa ni wewe uchague cha kutizama na uwe na misimamo yako binafsi.View attachment 3055439
Alichoandika Kigwangala kuhusiana na picha hii
View attachment 3055449
Kigwangala kupitia X:
Ndugu wapendwa Gen Zee, salaams.
Napenda kuwafahamisha ya kwamba hili vazi siyo uchawi! Wala uganga. Ni vazi la kimila; yanaitwa Masunzu, ama Nsunzu, ama nyie waswahili mnaita rasta.
Kwa mila na desturi zetu huvaliwa na warriors wanaitwa Sungusungu! Hawa ni askari wa jadi.
Wanaume wanavaa makubwa na yenye nakshi nzuri zaidi ya wanawake. Mjue kuwa hizo rasta zilizaliwa huku.
Ahsanteni sana.
Wakatabahu,
HK.
UNGEKUWA MKULIMA USINGEKUWA UNASHINDA LUMUMBA PALE KIJIWENI UNAGONGEA GONGEA VOUCHER NA KUKAA KUITA WATU BOSS, BOSS. KWA NINI MAKONDA ALIKUAMBIA TAFUTA KAZI USIMSUMBUE?Acha ujinga wako wewe.Nani kakwambia sina kazi za kufanya. Mimi ni mkulima na naendelea na kazi zangu kama kawaida.
Babu yangu marehemu kwa Sasa alinambia epuka mtu MNAFIKI na muepuke Kama ukoma mwisho wa kunukuu..Ndugu zangu Watanzania,
Sitaki kuweka neno ila ndio hivyo kama mnavyoona kwenye picha hapa. Sijuwi Mheshimiwa alikuwa anafanyiwa nini .
Si unajuwa Tanzania mambo mengi mpaka wananchi wanachanganyikiwa na kushindwa washike nini na waache nini.
Ukigeuka huku unakutana na habari hii,ukienda kule unakuta vile,ukitazama mbele unaona vile. .kikubwa ni wewe uchague cha kutizama na uwe na misimamo yako binafsi.View attachment 3055439
Alichoandika Kigwangala kuhusiana na picha hii
View attachment 3055449
Kigwangala kupitia X:
Ndugu wapendwa Gen Zee, salaams.
Napenda kuwafahamisha ya kwamba hili vazi siyo uchawi! Wala uganga. Ni vazi la kimila; yanaitwa Masunzu, ama Nsunzu, ama nyie waswahili mnaita rasta.
Kwa mila na desturi zetu huvaliwa na warriors wanaitwa Sungusungu! Hawa ni askari wa jadi.
Wanaume wanavaa makubwa na yenye nakshi nzuri zaidi ya wanawake. Mjue kuwa hizo rasta zilizaliwa huku.
Ahsanteni sana.
Wakatabahu,
HK.
Naona umenifananisha. au wewe itakuwa ndio unashinda hapo Lumumba .mimi ni mkulimaUNGEKUWA MKULIMA USINGEKUWA UNASHINDA LUMUMBA PALE KIJIWENI UNAGONGEA GONGEA VOUCHER NA KUKAA KUITA WATU BOSS, BOSS. KWA NINI MAKONDA ALIKUAMBIA TAFUTA KAZI USIMSUMBUE?