Mheshimiwa Babu Tale mitano tena

Mheshimiwa Babu Tale mitano tena

Kusaidia msanii kuimba matusi na umaarufu wakulogaloga nip1u tofauti na haya mambo ya kisomi huwezi roga barabara ikawa lami .... Mkandarasi wa building and finance huko kijjn atamtoa wapi!? Alimradi aonekane kaiongelea Barabara na wanakijj wenzie tena kwa English
 
Babu Tale alifaa kuwa Chadema na akina Sugu!

Unatafuta comparison? Na bado mwaka huu kila mbunge utamfananisha mpka na Mabutu wa Congo,

Tale na Sugu unafananisha mlima kilimanjaro na Kichunguu

Tale ni kichunguu achana na moto wa sugu!! Na bado ndio kwanza hata wabunge kumi bado hawajaongea, maana ujinga wa tale tayari na ja people
 
View attachment 1695799

Aliyemuelewa huyu mheshimiwa Babu Tale meneja wa Wasafi ambaye kwa sasa ni mbunge,aeleweshe na wengine
Magufuli ndiyo anapenda hawa sasa. Kwa hawa humwambii kitu. Atakuambia ''wanachapa kazi''. Ohoo nchi yangu inaangamizwa na mtu mmoja. Standard wanazo-set hata manyani yatajiona yana haki ya kuchaguliwa kuingia bungeni. Kuja kutoka kwenye hili zimwi la awamu hii itachukuwa muda na dedication ya hali ya juu.
 
Alaaniwe aliyetunga sheria kuwa Sifa ya Mbunge ni Kujua kusoma na Kuandika tu

Wakati huo huo kazi yao mama ni Kutunga sheria.

Yaani mtu mwenye sifa ya kujua kusoma na Kuandika ( Hata akiwa darasa la pili) anapewa majukumu ya kutunga sheria za Nchi?? Huku akilipwa milioni 11 kwa mwezi, sawa na shilingi 360,000 kwa siku.

Huku mtaani wasomi wakiachwa bila ajira🙌🙌

Huyu mtu nikikutana naye mbinguni nitaomba nipewe kazi ya kusogeza mkaa kwa ajili ya moto wake.

Very disgusting 🙆
 
Alaaniwe aliyetunga sheria kuwa Sifa ya Mbunge ni Kujua kusoma na Kuandika tu

Wakati huo huo kazi yao mama ni Kutunga sheria.

Yaani mtu mwenye sifa ya kujua kusoma na Kuandika ( Hata akiwa darasa la pili) anapewa majukumu ya kutunga sheria za Nchi?? Huku akilipwa milioni 11 kwa mwezi, sawa na shilingi 360,000 kwa siku.

Huku mtaani wasomi wakiachwa bila ajira[emoji119][emoji119]

Huyu mtu nikikutana naye mbinguni nitaomba nipewe kazi ya kusogeza mkaa kwa ajili ya moto wake.

Very disgusting [emoji134]
Ccm inapemda wabunge wajinga jinga hivi na wanaojua kusifia
 
View attachment 1695799

Aliyemuelewa huyu mheshimiwa Babu Tale meneja wa Wasafi ambaye kwa sasa ni mbunge,aeleweshe na wengine
Hilo ndilo tatizo. Unakuwa kilaza halafu unataka kuongea 🤣🤣🤣

Ila nchi hii inasikitisha sana. Yaani watu wenye akili hawatakiwi kabisa.

Watu kama kina Tundu Lissu, Zitto, January Makamba hawatakiwi.

Watu wenye akili wote kina Maria Sarungi, Fatma Karume hawatakiwi

Badala yake tumewakumbatia kina Babu Tale, Mlinga, Kibajaji, Mwigulu, Deo Sanga, Cyprian Musiba

Tuna mwelekeo usioelewekwa.
 
Ccm inapemda wabunge wajinga jinga hivi na wanaojua kusifia
Na huo ndo mtaji wao kuwa na wabunge wenye poor reasoning ili waweze kuwatumia kama wanavyotaka kubadili mambo ya msingi kuwa ya kipumbavu (wanakwambia RAIS aongezwe muda hadi achoke mwenyewe)!

Awamu ya tano tumepigwa pakubwa sana.
 
Back
Top Bottom