Mheshimiwa Babu Tale mitano tena

Mheshimiwa Babu Tale mitano tena

Yaaani sisi tuna utani, yaani tunachukua mtu anayejua kusoma na kuandika basi afu kiswahili, afu huyo ndo anaenda kua mtunga sheria bunguni tena sheria zinaandikwa kwa kiingereza
Tuliikata rasimu ya katiba ya Jaji Warioba. Wa aina kama hizi ndiyo waliongoza kuikataa kwa sababu waliona ikija ile katiba jinsi ilivyokua imeandaliwa, ingewaengua kama siyo kukiengua chama chakavu chenyewe.
 
Daaaah kwahali hii sidhani Tale kama atafunua domo lake tena pale Bungeni.
Nasubiria kilaza MwanaFa(japo yeye amekwenda shule,ingawa hajaelimika) nayeye atatoa kioja gani.
 
Hivi kweli kutoka nafsi ya moyo wako unaweza kumlinganisha huyu na Sugu? Au hata na Msukuma? Au na Kibajaji? Huyu jamaa anajijua jinsi alivyoshinda huo ubunge. Kuna wagombea wengi wa chadema na vyama vingine vya upinzani walienguliwa eti kwa "kukosea" kujaza forms. Type hii ndo walionekana kufaa.

Maendeleo hayana vyama.
Babu Tale atasaidia mambo ya tunguli pale bungeni!
 
Babu Tale atasaidia mambo ya tunguli pale bungeni!
Kidogo kidogo tutaelewana tu. Siku hizi nimeanza kukuelewa mkuu. Hadi tufike 2025 tutakua kwenye wimbo mmoja.

Kiufupi umeanza kuonesha jinsi unavyoukubali ukweli.
 
Kwa uwezo ule unaachaje kuamini jamaa wanatumika kwenye ngada...ndiyo maana wanatoboa.
 
Walisema Dayamondi kafanikiwa sababu ya mameneja wake.. mameneja wenyewe ndo hawa! Dayamondi ndo aliwapa hawa kina na Tale na Fella jina

Tale ni kilaza wa mwisho ukimsikia anaongea hata kwa bahati mbaya tu unajua hamna kitu kichwani mle hata kusoma ni shida kwake. Wakati anaapishwa ubunge alipata sana shida kusoma kiapo.
 
Sijaskiaga MTU hamisi akiongea point... Msafi kaongea kiinglish akapata kizunguzungu yaani yeye mwenyewe hajaelewa anaongea kuhusu nini dah!!
 
Back
Top Bottom