OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #21
Babu Tale the law maker,haaa haaaa CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hapo unakuta kaandaa "tirio" usiku kucha na kupractice ili akaongee bungeni 🤣🤣🤣Pamoja na kwamba anaongea kitu kilichoandikwa lakini bado anasoma bila kujua alama ya kuuliza iko wapi na nukta iko wapi?[emoji23]
Mungu atuvushe SalamaNa huo ndo mtaji wao kuwa na wabunge wenye poor reasoning ili waweze kuwatumia kama wanavyotaka kubadili mambo ya msingi kuwa ya kipumbavu (wanakwambia RAIS aongezwe muda hadi achoke mwenyewe)!
Awamu ya tano tumepigwa pakubwa sana.
Well saidGenge la wahalifu limekusannyika, over 99% ni wezi wa kura kwa kusaidiwa na TISS, Jiqwe, Mahela , Kaijage DEDs etc
[emoji109] Tena tutaelewana tukifika huko mbele kama daladala unalipia ukishuka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1695799
Aliyemuelewa huyu mheshimiwa Babu Tale meneja wa Wasafi ambaye kwa sasa ni mbunge,aeleweshe na wengine
Hao ni wagonga mezaMambo ya uchumi huyu atajadili kweli
Au ndiyo hawa bungeni wataleta mambo
Ya mipasho
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hivi ndio vichwa vya serikali ya JPMView attachment 1695799
Aliyemuelewa huyu mheshimiwa Babu Tale meneja wa Wasafi ambaye kwa sasa ni mbunge,aeleweshe na wengine
Tena meza inagongwa balaaaaHao ni wagonga meza
Hivi kweli kutoka nafsi ya moyo wako unaweza kumlinganisha huyu na Sugu? Au hata na Msukuma? Au na Kibajaji? Huyu jamaa anajijua jinsi alivyoshinda huo ubunge. Kuna wagombea wengi wa chadema na vyama vingine vya upinzani walienguliwa eti kwa "kukosea" kujaza forms. Type hii ndo walionekana kufaa.Babu Tale alifaa kuwa Chadema na akina Sugu!
Huyu jamaa siku za karibuni namuona kama vile yuko kwenye "junction" haeleweki anataka kuelekea wapi? Ameanza kuona umuhimu wa wale "walioenguliwa"Unatafuta comparison? Na bado mwaka huu kila mbunge utamfananisha mpka na Mabutu wa Congo,
Tale na Sugu unafananisha mlima kilimanjaro na Kichunguu
Tale ni kichunguu achana na moto wa sugu!! Na bado ndio kwanza hata wabunge kumi bado hawajaongea, maana ujinga wa tale tayari na ja people
Miaka mitanoDah! kama hali ndio hii
Tutapata tabu sanaa
Ulivyohitimisha kuhusu "kupigwa pakubwa" ndo umepigia mstari hoja yako.Na huo ndo mtaji wao kuwa na wabunge wenye poor reasoning ili waweze kuwatumia kama wanavyotaka kubadili mambo ya msingi kuwa ya kipumbavu (wanakwambia RAIS aongezwe muda hadi achoke mwenyewe)!
Awamu ya tano tumepigwa pakubwa sana.