Mheshimiwa Lissu nakushauri ongeza ulinzi

Mheshimiwa Lissu nakushauri ongeza ulinzi

Ninaongea haya nikiwa najua mengi !!

Kwa sasa una maadui wawili
1. Ndani ya chama ambao mr Slaa alisema wamo na wanaua
2. Ndani ya Serikali watakaotumia nafasi ya nayotokea kutimiza adhma yao


Britanicca
Ni kweli afanye hivyo maana amejiongezea maadui bila sababu ya msingi. Kama aliyoyatangaza hayuko pamoja na wenzake kwenye Chama atafanya kuwe na maswali mengi.
 
siko tayari kutyipu😊
Screenshot_20240821-145457~2.jpg
 
Ninaongea haya nikiwa najua mengi !!

Kwa sasa una maadui wawili
1. Ndani ya chama ambao mr Slaa alisema wamo na wanaua
2. Ndani ya Serikali watakaotumia nafasi ya nayotokea kutimiza adhma yao


Britanicca
Lissu wa sasa sio yule wa jana na alipo fikia iwe serikali au chama akiguswa tu itakua habari nyingine.
 
Juzi niliongea hili jambo bahati nzuri nikatolea mfano Benigno Aquino Jr, Seneta wa Ufilipino na kiongozi wa upinzani dhidi ya utawala wa Ferdinand Marcos, aliuawa mnamo Agosti 21, 1983.

Aquino alikuwa mkosoaji mkubwa wa Marcos na alikuwa akipigania kurejeshwa kwa demokrasia nchini Ufilipino. Jamaa alionekana mleta mabadiliko ya kweli kwenye nchi yake lakini aliishia kufanyiwa assassination
 
Ninaongea haya nikiwa najua mengi !!

Kwa sasa una maadui wawili
1. Ndani ya chama ambao mr Slaa alisema wamo na wanaua
2. Ndani ya Serikali watakaotumia nafasi ya nayotokea kutimiza adhma yao

Britanicca
Naunga mkono hoja
Wanabodi

Naendelea na zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo ni mada za uzalendo kutoka kwa mzalendo wa kweli wa taifa hili. Mada ya leo ni kujadili moja ya Idara zetu nyeti sana, hapa nchini kwetu, hii ni idara yetu ya Usalama wa Taifa, TISS.

Introduction ya Mada
Hii ni mada very serious and sensitive kwasababu inaijadili idara yetu nyeti ya TISS ambayo kutokana na unyeti wake issues za idara hii huwa hazijadiliwi hovyo hovyo, wazi wazi na openly na kwa uwazi, hivyo ukiona hadi watu tunaojinasibu humu kuwa ni wazalendo wa kweli wa taifa hili halafu tukajitokeza openly waziwazi humu kuijadili TISS huku tukitumia majina yetu halisi, huu ni uthibitisho kuwa tunaleta mjadala huu kwa nia njema kabisa kwa kusukumwa na uzalendo wa kulisaidia taifa letu pale idara yetu hii nyeti, inapochafuliwa kwa kusingiziwa tuhuma za uongo, bila uthibitisho wowote, lakini pia kama ni kweli TISS inahusika, na hawa 'wasiojulikana', then tukubaliane kuwa TISS itakuwa ni imechafuka na inahitaji kusafishwa, the sooner the better!.
Kwa hili tishio la usalama wa Tundu Lissu aliloshikwa sikio kuwa kuna njama zinapangwa kumshughulikia Tundu Lissu afunguka A-Z wasiojulikana kutaka kumuumiza!
kama ni kweli njama hizo zilikuwepo ila sasa hazita tekelezwa tena kwasababu tayari zimeisha kuwa exposed

Then hoja za bandiko hili TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! bado zina sadifu!。
P
 
Juzi niliongea hili jambo bahati nzuri nikatolea mfano Benigno Aquino Jr, Seneta wa Ufilipino na kiongozi wa upinzani dhidi ya utawala wa Ferdinand Marcos, aliuawa mnamo Agosti 21, 1983.

Aquino alikuwa mkosoaji mkubwa wa Marcos na alikuwa akipigania kurejeshwa kwa demokrasia nchini Ufilipino. Jamaa alionekana mleta mabadiliko ya kweli kwenye nchi yake lakini aliishia kufanyiwa assassination
Kama sijasahau, wale maaskari na kikundi chote kikichohusika kumuua, waliburuzwa nahakamani baada ya utawala mwingine kuingia madarakani na walipatikana na hatia na kuhukumiwa.
 
Kama sijasahau, wale maaskari na kikundi chote kikichohusika kumuua, waliburuzwa nahakamani baada ya utawala mwingine kuingia madarakani na walipatikana na hatia na kuhukumiwa.
Yeah ni kweli, Baada ya Ferdinand Marcos kuondolewa madarakani mwaka 1986, utawala mpya chini ya Corazon Aquino, mjane wa Benigno Aquino Jr., ulianzisha tume ya kuchunguza mauaji ya mumewe.

Uchunguzi ambao ulifanywa mpaka kwa maafisa wa kijeshi na raia kadhaa waliokuwa chini ya utawala wa Marcos. Baada ya kesi ndefu, maafisa kadhaa wa jeshi, akiwemo Jenerali Fabian Ver, mkuu wa jeshi la Ufilipino wakati huo, walipatikana na hatia ya mauaji na kula njama ya kufanya mauaji na kuhukumiwa kifungo cha maisha jela

Hii habari nimeikumbuka ni ya miaka ya nyuma. Rais, Jeshi, Wanasiasa wa Benigno na baadhi ya wananchi walihusika kikamilifu kumpoteza huyu mwamba. Lissu awe makini sana
 
Back
Top Bottom