britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
mitume wapi ?? Moses au David auu Noah nkAlishavuko hizo level za kuongeza Ulinzi bwashee
Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹
Ni kweli afanye hivyo maana amejiongezea maadui bila sababu ya msingi. Kama aliyoyatangaza hayuko pamoja na wenzake kwenye Chama atafanya kuwe na maswali mengi.Ninaongea haya nikiwa najua mengi !!
Kwa sasa una maadui wawili
1. Ndani ya chama ambao mr Slaa alisema wamo na wanaua
2. Ndani ya Serikali watakaotumia nafasi ya nayotokea kutimiza adhma yao
Britanicca
Wewe ni Petro na juu ya Mwamba huu nitijenga kanisa langu wala malango ya kuzimu hayatalishinda 😀mitume wapi ?? Moses au David auu Noah nk
Wewe ni Petro na juu ya Mwamba huu nitijenga kanisa langu wala malango ya kuzimu hayatalishinda 😀
MMsema kweli umenena, asipochukua hatua huenda lolote likampata.
Huwa kuna wadau wakisema siwapuuzi, neno lao linakuwa na taarifa za kina ndani yake na miongoni mwao ni britanicca
Lissu wa sasa sio yule wa jana na alipo fikia iwe serikali au chama akiguswa tu itakua habari nyingine.Ninaongea haya nikiwa najua mengi !!
Kwa sasa una maadui wawili
1. Ndani ya chama ambao mr Slaa alisema wamo na wanaua
2. Ndani ya Serikali watakaotumia nafasi ya nayotokea kutimiza adhma yao
Britanicca
Kwa hiyo huu ndo wakati dola hufadhiri na hushirikiana na upinzani kwenye mission chafuNinaongea haya nikiwa najua mengi !!
Kwa sasa una maadui wawili
1. Ndani ya chama ambao mr Slaa alisema wamo na wanaua
2. Ndani ya Serikali watakaotumia nafasi ya nayotokea kutimiza adhma yao
Britanicca
Naunga mkono hojaNinaongea haya nikiwa najua mengi !!
Kwa sasa una maadui wawili
1. Ndani ya chama ambao mr Slaa alisema wamo na wanaua
2. Ndani ya Serikali watakaotumia nafasi ya nayotokea kutimiza adhma yao
Britanicca
Kwa hili tishio la usalama wa Tundu Lissu aliloshikwa sikio kuwa kuna njama zinapangwa kumshughulikia Tundu Lissu afunguka A-Z wasiojulikana kutaka kumuumiza!Wanabodi
Naendelea na zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo ni mada za uzalendo kutoka kwa mzalendo wa kweli wa taifa hili. Mada ya leo ni kujadili moja ya Idara zetu nyeti sana, hapa nchini kwetu, hii ni idara yetu ya Usalama wa Taifa, TISS.
Introduction ya Mada
Hii ni mada very serious and sensitive kwasababu inaijadili idara yetu nyeti ya TISS ambayo kutokana na unyeti wake issues za idara hii huwa hazijadiliwi hovyo hovyo, wazi wazi na openly na kwa uwazi, hivyo ukiona hadi watu tunaojinasibu humu kuwa ni wazalendo wa kweli wa taifa hili halafu tukajitokeza openly waziwazi humu kuijadili TISS huku tukitumia majina yetu halisi, huu ni uthibitisho kuwa tunaleta mjadala huu kwa nia njema kabisa kwa kusukumwa na uzalendo wa kulisaidia taifa letu pale idara yetu hii nyeti, inapochafuliwa kwa kusingiziwa tuhuma za uongo, bila uthibitisho wowote, lakini pia kama ni kweli TISS inahusika, na hawa 'wasiojulikana', then tukubaliane kuwa TISS itakuwa ni imechafuka na inahitaji kusafishwa, the sooner the better!.
Hao ulio wataja siyo mitume ...mitume wetu sisi ni MAPAPA NA MASHOGA NA WAFI^RAJImitume wapi ?? Moses au David auu Noah nk
Kama sijasahau, wale maaskari na kikundi chote kikichohusika kumuua, waliburuzwa nahakamani baada ya utawala mwingine kuingia madarakani na walipatikana na hatia na kuhukumiwa.Juzi niliongea hili jambo bahati nzuri nikatolea mfano Benigno Aquino Jr, Seneta wa Ufilipino na kiongozi wa upinzani dhidi ya utawala wa Ferdinand Marcos, aliuawa mnamo Agosti 21, 1983.
Aquino alikuwa mkosoaji mkubwa wa Marcos na alikuwa akipigania kurejeshwa kwa demokrasia nchini Ufilipino. Jamaa alionekana mleta mabadiliko ya kweli kwenye nchi yake lakini aliishia kufanyiwa assassination
Yeah ni kweli, Baada ya Ferdinand Marcos kuondolewa madarakani mwaka 1986, utawala mpya chini ya Corazon Aquino, mjane wa Benigno Aquino Jr., ulianzisha tume ya kuchunguza mauaji ya mumewe.Kama sijasahau, wale maaskari na kikundi chote kikichohusika kumuua, waliburuzwa nahakamani baada ya utawala mwingine kuingia madarakani na walipatikana na hatia na kuhukumiwa.
Tusipuuze kabisaHuyu Britanica azingatiwe.
Maana anatoaga alert mapema.