Mheshimiwa Rais, kabla ya watoto kurudi shule, wewe toka kwanza nyumbani kwako Chato rudi ofisini Ikulu

Hali mbaya utalii umeshuka sana mapato ya utalii ni zero ,kama watalii hawaji na hotel zimefungwa zote,ndege haziingia na kutoka,wafanyakazi wa hotel wote wapo likizo,shule binafsi hali mbaya walimu hawalipwi ukiona hiyo chain ilivyo ni balaa,mapato ya PAYE yameshuka,Utalii mapato sifuri inabidi tu waje kutudanganya tu kwamba tutaishi navyo kama ilivyo ukimwi,wanachoshindwa kutuambia ukweli kwamba ukimwi sio issue tena ila FUTA likikukamata(kama ukiwa na nyemelezi) within 24hrs unaenda kumlaki bwana yesu mawinguni aka unapendwa zaidi aka unakata moto.
 

Well said na ndo maana tunataka atoke huko arudi ofisini.

Waliojenga ofisi si wajinga, wanajua ukifanyia kazi nyumbani kuna mambo mengi ya social kwa hiyo huwezi kuperform to a maximum

Lakini pia kitendo cha yeye kuigeuza nyumba yake ofisi kunawanyima wakazi wa nyumba yake hiyo wakiwemo watoto wake na wajukuu zake haki ya kusocialize na wananchi hapo sababu ya maulinzi ulinzi ya watu wa usalama.

Rais atoke huko arudi ofisini ili wakazi wa nyumba hiyo waendelee kuombana chumvi na wananchi wenzao, kutembeleana na wananchi wenzao, watoto waweze kucheza na wenzao kwa uhuru, wapita njia waendelee kupita bila kuangaliwa angaliwa na mashushushu wa TISS.

Kiufupi arudi tu ofisini achape kazi kikamilifu
 
Rais Magufuli ni nahodha bora ametuvusha salama kwenye corona

Vibaraka wa mabeberu wanaenda kuaibika vibaya

Sawa, Nahodha haongozi meli kutokea seating room, bed room au varanda,
huongoza meli kutokea kwente cabin maalum, cabin maalum ya rais ni Ikulu ya wananchi. Arudi tu Ikulu aongoze nchi yetu vizuri
 
Rais akiwa Chato, inamaana wewe unaumia sana kiasi hata kwenda chooni kutoa haja zako inakuwa shida.
 
Tusubiri tamko j pili la kufungua vyuo.si unajua Jiwe ka miss headlines za kimataifa

Dark Side
 
Cheki watu watavyopukutika sasa😁 yani unataka kufungulia vyuo!! Nawahurumia sana wanadaresalama
 
Kwahiyo wewe kipimo chako cha ukweli wa taarifa ni Mayalla

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…