Mheshimiwa Rais, kabla ya watoto kurudi shule, wewe toka kwanza nyumbani kwako Chato rudi ofisini Ikulu

Rais Magufuli ni nahodha bora ametuvusha salama kwenye corona

Vibaraka wa mabeberu wanaenda kuaibika vibaya
ila we jamaa wagaunanifurahisha mnooo 😁😁😁 popote ulipo agazi bia na kitimoto utalipa mwenyewe πŸ‘πŸ‘

CCM CHAMA CHA BABA NA MAMA
 
Ww unapungukiwa na nini akiwa chato na inazidi kitu gani kwako akiwa dodoma
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais ni taasisi bwashee!
 
Mwalimu anaweza ita wanafunzi wake bar akaanza kuwapigisha pindi ni kweli kabisa ulichokisema
 
Corona haiwezi kuisha kwa maneno ya faraja kutoka chato.
Chukueni tahadhari.
 
mkuu akirudi hivi karibuni naomba unitag.
 
Rais Magufuli ni nahodha bora ametuvusha salama kwenye corona

Vibaraka wa mabeberu wanaenda kuaibika vibaya
Endelea kudhihaki hili janga kwa kuwa halijakupata. Likikupata utagundua tu tutakapona hatuzioni posts za robot anayeitwa Bia yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…