Mheshimiwa Rais, kabla ya watoto kurudi shule, wewe toka kwanza nyumbani kwako Chato rudi ofisini Ikulu

Hahaha...jf raha sana, haya katoka chimbo sasa semeni jingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona Clip ila cha kushangaza hajasimamishwa na watu barabarani aongee nao πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ amewapita kama hawaoni ,sasa ile safari mbona nasikia ni ya Dodoma Chamwino? ila safi maana Dodoma na Dar kwasasa zinafukuzana kwa "FUTA".
 
Hahaha...washenzi sana nyie, ungeanalia TBC au angalia Ikulu YouTube, kasimama tena kahutubia muda mrefu tu mkuu na akawasifia vile hawana hofu na kazungumzia pia mazungumzo yake na Kenyatta jana na leo kuhusu mambo ya mpakani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok mkuu sina access na TV huku nilipo ila pia nina allergy na TBC1 whether online or via TV,kama amesimamishwa ngoja nipate updates za kigogo kwanza kama kweli alisimama.
 
Ok mkuu sina access na TV huku nilipo ila pia nina allergy na TBC1 whether online or via TV,kama amesimamishwa ngoja nipate updates za kigogo kwanza kama kweli alisimama.
Waambie hao (kigogo) waache uoga, mambo ya kutublock ni utoto na ni ukiukwaji wa haki ya kikatiba ya kutoa maoni yetu (freedom of speech and expression), wao wanataka watukanaji tu wanaowapinga basi kufuli, huo ni udikteta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimpinga anakublock
Hii mijamaa ni ya kuiignore
Bora hap jf ambapo tunapashana misuli mnyamwezi akishindwa anaenda kujificha kwa muda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amekusikia karudi leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka kuniuzia mimi msala πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ huo ujumbe wako kashaupata maana anapitia pia JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…