Mheshimiwa Rais naomba unichague na mimi basi.. Sina ajira mwaka wa 6 sasa

Mheshimiwa Rais naomba unichague na mimi basi.. Sina ajira mwaka wa 6 sasa

Jaaaaaaaaaamaaaaaaani SINA ajiiiiiraaaa

NAOMBA MHESHIMIWA RAISI WANGU MZURI WA TZ anichague na mimi basi aniweke popote tu hata kule CCM hamna shida nitakaa

Mimi napenda Kazi sina masihara

YESU ALISEMA OMBENI NANYI MTAPEWA NA MIMI NAOMBA AJIRA BASI



On a Serious Note Tutakumiss Mzee wetu MHESHIMIWA Mzee Kinana
Njoo uwe unanipikia na kunipa papa nitakupa mshahara mnono
 
Hahaha aha shenzy wee Mxiiiiuuuu
umenifanya nicheke mpaka mgonjwa wangu kaamka woi
Kuwa na huruma wewe mimi mtoto wa Mwanaume mwenzio

Ngoja nilie huenda akaniskia

Wenye makampuni toeni ajira bila kushawishika
 
Ngoma inogile...
Screenshot_2018-05-31-22-21-29.jpg
 
Hapa kuna wanaume simba zaidi ya huyo hapo. Kama ni six packs zipo, wallet ni zaidi ATM ya Trump, na U-Handsome sasa yaaani utamaliza vidole kwa kuving'ata!!

Subiri watakuja
atambe?
 
Back
Top Bottom