Mheshimiwa Rais sidhani kama kupenda Kwako kila mara ' Kumtajataja ' hadharani TISS DG Dkt. Kipilimba ni sawa Kiuweledi

Mheshimiwa Rais sidhani kama kupenda Kwako kila mara ' Kumtajataja ' hadharani TISS DG Dkt. Kipilimba ni sawa Kiuweledi

Ww toa maneno yako yote machafu ukichoka utaniambia, hili jukwaa kuna watu kama wewe wachache wanalivunjia heshima ila endelea

Inaonekana Wewe ni Mgeni Kwangu na hasa kwa ile ' Falsafa ' yangu isemayo " Ukitishia Kujamba Mimi Naharisha kabisa ". Jiulize swali dogo tu kwanini wengine siwajibu vibaya / hovyo kama ambavyo nakujibu ' Mpupu ' na ' Popoma ' Wewe? Huwa nina desturi moja na ambayo sitokuja Kuiacha ng'o ambapo ninampokea Mtu vile ambavyo anakuja Kwangu. Ukija Kistaarabu Kwangu utanipenda mwenyewe kwani nina Ustaarabu wa hali ya juu ila ukija Kwangu Kihuni au Kisela au Kishari ndipo utakoma kuringa na kunijua ambapo ' utayakoga ' sana tu hadi ujute kuifahamu ' ID ' hii. Nimemaliza!
 
Kuna mmoja namfahamu alikuwa ni Bosi mkubwa sana huko ameishi na Mkewe akiwa ni Mtumishi wa huko kwa miaka yake 15 akiwa ' Mkubwa ' lakini Mkewe kaja Kujua baada ya Yeye Kustaafu Kiutendaji ( japo Kustaafu Kwao kabisa ni mpaka pale Makaburi yao yatakapofukiwa kabisa na Udongo ) na huyo Mkewe baada ya Kujua alimuogopa mno Mumewe japo baadae Mumewe alijitahidi kumuweka sawa na akamwelewa.

Hii siku sitaisahau Mkuu kuna Siku moja nakumbuka tena mwaka huu huu tu mwanzoni hapo kuna ' Demu ' mmoja nilimbahatisha kama kawaida yangu ' nikamdanganya ' na akanivulia na tulipokuwa Chumbani tukawa tunazungumza mambo mbalimbali na ' interest ' yangu kubwa ilikuwa ni Kumjua vyema Mumewe cha Kushangaza ' Demu ' alianza pale pale Kutiririka na Kuserereka kuwa Mumewe yupo Idarani / Taasisini huko hadi Majina yake yote akanitajia na kunielekeza anapoishi kwani walikuwa hawakai pamoko / pamoja.

Nakumbuka nilimuuliza je imekuwaje Yeye alijua kuwa Mpenziwe yuko huko jibu alilonipa Mkuu hadi ' Mtalimbo / Mpingo / Uume / Mkuyenge ' wangu huu ' tukuka ' uligoma kabisa Kusimama kwa ' mshtuko ' baada ya kuniambia kuwa ' Jamaa ' alimwambia walipokuwa Chumbani ' wanatinduana / wanangonoka ' na kama haitoshi alimtolea hadi Kitambulisho chake na kumuonyesha na ' Pistol ' yake huku akimwambia kwamba ' asitishike ' na Mwanaume mwingine yeyote yule kwani Yeye ndiyo nchi na anaogopwa.

Mkuu nisiende mbali zaidi ila naomba tu niishie hapa tafadhali.
Kumbe hao jamaa huwaga wanavitambulisho? Hahaahaaha! Yajayo yanafurahisha
 
Inaonekana Wewe ni Mgeni Kwangu na hasa kwa ile ' Falsafa ' yangu isemayo " Ukitishia Kujamba Mimi Naharisha kabisa ". Jiulize swali dogo tu kwanini wengine siwajibu vibaya / hovyo kama ambavyo nakujibu ' Mpupu ' na ' Popoma ' Wewe? Huwa nina desturi moja na ambayo sitokuja Kuiacha ng'o ambapo ninampokea Mtu vile ambavyo anakuja Kwangu. Ukija Kistaarabu Kwangu utanipenda mwenyewe kwani nina Ustaarabu wa hali ya juu ila ukija Kwangu Kihuni au Kisela au Kishari ndipo utakoma kuringa na kunijua ambapo ' utayakoga ' sana tu hadi ujute kuifahamu ' ID ' hii. Nimemaliza!
Watu kama wewe ndiyo huwa nawapenda sana karibu, tiririka na serereka mm nitakudaka ila angali usijeteleza ukaangukia kichwa ukatupa shida ya kuokota mabaki ya ubongo
 
Sioni kwamba kuna shida yoyote ile kama uteuzi wake unatangazwa tatizo liko wapo akiambiwa asimame asalimie acheni kumkosoa raisi wetu hamna jipya ,mungu mpiganie raisi wetu kipenzi cha wanyonge
 
Sijawahi Kuanzisha ' Threads ' fupi hapa JamiiForums Mkuu ( pitia threads zangu zote za mambo sensitive zilivyo ) na nashukuru zote zimekuwa zikisomwa na kupata mrejesho wake hivyo labda hili ni tatizo lako tu. Hata hivyo asante kwa kuja na kuchangia hivyo nikuombe tu kaa pembeni waachie ' Great Thinkers ' waje waweze kunipa ' Madini ' tafadhali.
Na hakuna kenge anakera kama mvivu wa kusoma.
 
Kumbe hao jamaa huwaga wanavitambulisho? Hahaahaaha! Yajayo yanafurahisha

Hivi Wewe ' Jamaa ' hujishtukii tu na hujioni jinsi ulivyo ' Mpumbavu ' na unavyojichoresha? Halafu acha ' Kulazimisha ' ili tukujue kuwa Wewe ni Mtu wa Idara / Taasisi na kwa taarifa tu sasa hapa Jamvini JamiiForums wapo Watu wengi wa huko na hawana huu ' Ushamba / Umbwigira ' ulionao. Na ndiyo unaona nakujibu Kunya / Hovyo kwani nimeshajua kuwa najibizana na Kiongozi / Rais wa ' Wapumbavu ' wote Ulimwenguni.

Endelea tu Kujiabisha / Kujichoresha ila wenye ' akili ' tumeshakudharau mapema mno kama siyo sana. Kwahiyo vile ambavyo huwa wanavyo na wanatembea navyo ambapo ikibidi kuvitoa huwa wanavitoa vinaitwa ' Matako ' yao kwa Kiswahili au? Siku zingine ninapokuwa nawajibuni ' hovyo ' na kuwaambieni kuwa baadhi yenu hamna ' Akili ' msiwe mnanibishia au kunikasirikia.

Hopeless!
 
Watu kama wewe ndiyo huwa nawapenda sana karibu, tiririka na serereka mm nitakudaka ila angali usijeteleza ukaangukia kichwa ukatupa shida ya kuokota mabaki ya ubongo

Umeshawahi kuona wapi ' Mafia ' wa ' Kitutsi / Kinyarwanda ' lenye mchanganyiko na Uzanaki na Umakuwa anatishwa na ' Wapuuzi ' wa mfano wako? Halafu bahati nzuri tu hata ' Nyota ' yangu inasema Mimi au Sisi ni ' Risk Takers ' hivyo kwa aina hii ya Vitisho Kwangu naona ni kama vile umemtoa Samaki mchangani na umemrudisha Majini ambapo ndiyo sehemu yake Kuu ya Kujidai, Kujitapa na Kutamba kabisa. Na kama kuna Vita ambayo naiweza na nimebobea nayo ni ya Maneno / Maandishi na wameshajaribu ' Majabali ' wenzako hapa na wote ' nikawaadabisha ' hadi wengi Wao sasa ni Marafiki zangu hivyo nakukaribisha na Wewe ili uipate Joto ya Jiwe ili ukiiona hii ' ID ' siku zingine uwe ama unaiheshimu au ukae nayo mbali tu.
 
Hivi Wewe ' Jamaa ' hujishtukii tu na hujioni jinsi ulivyo ' Mpumbavu ' na unavyojichoresha? Halafu acha ' Kulazimisha ' ili tukujue kuwa Wewe ni Mtu wa Idara / Taasisi na kwa taarifa tu sasa hapa Jamvini JamiiForums wapo Watu wengi wa huko na hawana huu ' Ushamba / Umbwigira ' ulionao. Na ndiyo unaona nakujibu Kunya / Hovyo kwani nimeshajua kuwa najibizana na Kiongozi / Rais wa ' Wapumbavu ' wote Ulimwenguni.

Endelea tu Kujiabisha / Kujichoresha ila wenye ' akili ' tumeshakudharau mapema mno kama siyo sana. Kwahiyo vile ambavyo huwa wanavyo na wanatembea navyo ambapo ikibidi kuvitoa huwa wanavitoa vinaitwa ' Matako ' yao kwa Kiswahili au? Siku zingine ninapokuwa nawajibuni ' hovyo ' na kuwaambieni kuwa baadhi yenu hamna ' Akili ' msiwe mnanibishia au kunikasirikia.

Hopeless!
Hasira hasara!! Nilijuwa ww jamaa una akili kumbe ni debe tupu
 
Ni Mara ngapi amemtaja, ni lini na Wapi ? Mpaka Uzi ufunguliwe kwa ajili ya hili
 
Mtoa mada amezunguka zunguka tu hajajenga hoja hata moja. Umeshindwa kujustify kwanini asitajwe. Umebaki tu kujiuma uma.
 
Ni Mara ngapi amemtaja, ni lini na Wapi ? Mpaka Uzi ufunguliwe kwa ajili ya hili

Bahati mbaya sana Kwako ni kwamba huu ni ' Uzi ' wa ' Great Thinkers ' ila nashangaa na najiuliza Wewe ' Popoma Thinker ' umetokea wapi.
 
Bahati mbaya sana Kwako ni kwamba huu ni ' Uzi ' wa ' Great Thinkers ' ila nashangaa na najiuliza Wewe ' Popoma Thinker ' umetokea wapi.
Mbona umepaniki mkuu, kwani maswali yangu apo yana kasoro ipi ?
Kama ulikuwa tayr kwa kujadili ulichokuwa unataka wadau humu tujadili ,hayo maswali mbona yapo ndani ya uwezo wako ! Any way umeniongezea msamiati mwingine.
I'm a best of the best Popoma's [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
mambo mapya lazima yajadiliwe lakni haina maana ya moja kwa moja ni mbaya; dunia inazunguka mambo yanabadilika
 
ANGALIZO

Naomba kama unajijua kabisa kuwa uwezo wako wa kuona vitu vya umbali / unyeti / umuhimu wake basi katika huu ' Uzi ' kaa nao mbali kabisa na waachie wenye ' akili ' zao na ' Wachambuzi ' wa masuala haya ya Kijasusi ambao wapo ( tunao ) wengi humu na Sisi Mangumbaru na Mapopoma wengine tuwe watazamaji tu kuliko Kuchangia halafu ukajikuta umevapa / umekosea.

HOJA KUU

Nashukuru sana Mwenyezi Mungu kwamba karibia awamu zote za nchi hii nilikuwepo japo ya Hayati Baba wa Taifa ilinikutia nikiwa bado katika Ndoo ya Kuogea na nalilia Uji wa Buruga ( namaanisha nikiwa bado Kichanga kabisa ) ila kwa awamu ya Mzee Mwinyi niliishuhudia bila kusahau ya Mzee Mkapa na ya Mzee Kikwete na sasa nipo hii ya Mheshimiwa Dkt. Magufuli natiririka na naserereka nayo.

Katika Awamu zote hizo sikuwahi hata Siku moja kuwasikia hao Watangulizi wake Rais Dkt. Magufuli wakiwa na tabia ya kupenda ' Kumtajataja ' au hata kupenda kuonyesha kwamba Mkurugenzi Mkuu wa Idara Nyeti nchini ya Usalama wa Taifa ( TISS ) yupo eneo ambalo Wao wapo ila ilikuwa ni mpaka tu labda Mtu akutonye / akuambie.

Nimejuiuliza maswali mengi sana kwani Marais wote Wastaafu walikuwa hawapendi kuwatajataja Wakuregenzi wao Usalama wa Taifa ( TISS DG ) lakini kwa Awamu hii ya Gwala / Tano Rais Dkt. Magufuli anapenda mno ' Kumtaja ' na hata kupenda ' Kumuinua ' Kitini Mkurugenzi wa sasa Dkt. Modestus Kipilimba na bado sijapata jawabu / jibu ila najua kupitia ' Majiniasi ' waliotukuka wa Jamvi hili la JamiiForums leo nitayapata.

Sikuishia tu hapo kama kawaida yangu huwa napenda kwenda ' deep ' zaidi kufanya ' references ' na Mataifa mengine mbalimbali kuanzia na haya Jirani ( tunaofanana kwa Vingi ) kisha hupenda pia kuangalia na yale Mataifa makubwa ambayo yana uwezo mkubwa wa Kuanzia Uchumi, Kijeshi na Kiusalama kuliko Tanzania yetu hii na sijaona mahala ambapo Marais wao huwa wanawataja hovyo tena hadharani Wakurugenzi Wakuu wa Idara zao ' Nyeti ' za Usalama wa Taifa ila kwa Tanzania naona hii tabia inaanza Kuzoeleka.

Kwa maoni au mtazamo wangu mdogo tu ( mnaojua zaidi mtanisaidia ) kwa asili ya hizi nchi zetu tena ambazo zina ' Majaribu ' na ' Matatizo ' mengi ya Kimsingi huku kukiwa na ' Maadui ' wengi wa ndani na nje sidhani na siafiki kabisa tena kwa 100% kwa Wakurugenzi wetu hawa wa hii Idara / Taasisi muhimu kama si nyeti ya Usalama wa Taifa ( TISS ) kutajwatajwa hovyo kwa Watu na hata kujulikana kwakuwa Tanzania ya sasa imejaa Watu wa ajabu ajabu wenye ' maslahi ' yao ' hasi ' na nchi hii hivyo kuna uwezekano na Wao wakaanza Kumjua na Kumzoea kisha hali ikaja kuwa mbaya zaidi huko mbeleni.

Na sidhani pia kama hata ' Kiuweledi ' hivi anavyofanya Mheshimiwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. Magufuli la kupenda ' Kumtajataja ' Mkurugenzi Mkuu wa Idara / Taasisi ya Usalama wa Taifa ( TISS DG ) Dkt. Kipilimba ni sahihi na kama itapendeza nadhani Watu wa ' Itifaki ' ambao nina uhakika kuwa wengi wenu tunatiririka na kuserereka pamoja 24/7 hapa JamiiForums hili mtaliangalia kwa hayo mapana yake ili utaratibu ule ule uliozoeleka wa zamani wa hawa Wakurugenzi kutojulikana sana au kutajwatajwa hovyo uendelee kwani Kwangu Mimi kwa ' Mazingira ' ya nchi yetu ulikuwa ni utaratibu murua / mujarab / sahihi kabisa kuliko huu wa sasa aliouanzisha Amiri Jeshi Mkuu na Rais Dkt. Magufuli.

Huu ulikuwa ni mtizamo wangu Mimi kama GENTAMYCINE ila nitashukuru na Watu wengine nao wakija hapa wakichangia huku wale ambao ' watanikosoa ' basi wanikosoe ha ' Hoja ' nzito nzito kwani hata Mimi nataka Kujifunza jambo hapa kutokana na kwamba yawezekana huu utaratibu wa sasa ukawa ndiyo sahihi kuliko ule ambalo nimeukariri / nimeuzoea. Nia na madhamuni tupate afya ya Kimjadala na ya Kimantiki juu ya hili ' Suala ' kusudi mwisho wa Siku wote tupate ' maarifa ' na ' ufahamu ' zaidi.

Karibuni!

Nawasilisha.
Mwandiko ni tatizo,kwanini unafanya maandishi yako kuwa madogo?Kiukweli huwa napata tabu kusoma mabandiko yako kutokana na size ya maandishi!
 
Kumtajataja ni ishara ya uoga.
Anataka kuwaaminisha watu kuwa Kuna nguvu kubwa sana nyuma yake.

Jamaa kasomasoma lakini shule haijasaidia sana kumtoa ushamba na u rudimentary wa wachunga ng'ombe. Tatizo the guy is not 'refined'.
 
Hiki chombo si chakuhojihoji maana hata bunge halikiwezi kaa chonjo usije pituka kesi ya uchochezi itakuhusu.
 
ANGALIZO

Naomba kama unajijua kabisa kuwa uwezo wako wa kuona vitu vya umbali / unyeti / umuhimu wake basi katika huu ' Uzi ' kaa nao mbali kabisa na waachie wenye ' akili ' zao na ' Wachambuzi ' wa masuala haya ya Kijasusi ambao wapo ( tunao ) wengi humu na Sisi Mangumbaru na Mapopoma wengine tuwe watazamaji tu kuliko Kuchangia halafu ukajikuta umevapa / umekosea.

HOJA KUU

Nashukuru sana Mwenyezi Mungu kwamba karibia awamu zote za nchi hii nilikuwepo japo ya Hayati Baba wa Taifa ilinikutia nikiwa bado katika Ndoo ya Kuogea na nalilia Uji wa Buruga ( namaanisha nikiwa bado Kichanga kabisa ) ila kwa awamu ya Mzee Mwinyi niliishuhudia bila kusahau ya Mzee Mkapa na ya Mzee Kikwete na sasa nipo hii ya Mheshimiwa Dkt. Magufuli natiririka na naserereka nayo.

Katika Awamu zote hizo sikuwahi hata Siku moja kuwasikia hao Watangulizi wake Rais Dkt. Magufuli wakiwa na tabia ya kupenda ' Kumtajataja ' au hata kupenda kuonyesha kwamba Mkurugenzi Mkuu wa Idara Nyeti nchini ya Usalama wa Taifa ( TISS ) yupo eneo ambalo Wao wapo ila ilikuwa ni mpaka tu labda Mtu akutonye / akuambie.

Nimejuiuliza maswali mengi sana kwani Marais wote Wastaafu walikuwa hawapendi kuwatajataja Wakuregenzi wao Usalama wa Taifa ( TISS DG ) lakini kwa Awamu hii ya Gwala / Tano Rais Dkt. Magufuli anapenda mno ' Kumtaja ' na hata kupenda ' Kumuinua ' Kitini Mkurugenzi wa sasa Dkt. Modestus Kipilimba na bado sijapata jawabu / jibu ila najua kupitia ' Majiniasi ' waliotukuka wa Jamvi hili la JamiiForums leo nitayapata.

Sikuishia tu hapo kama kawaida yangu huwa napenda kwenda ' deep ' zaidi kufanya ' references ' na Mataifa mengine mbalimbali kuanzia na haya Jirani ( tunaofanana kwa Vingi ) kisha hupenda pia kuangalia na yale Mataifa makubwa ambayo yana uwezo mkubwa wa Kuanzia Uchumi, Kijeshi na Kiusalama kuliko Tanzania yetu hii na sijaona mahala ambapo Marais wao huwa wanawataja hovyo tena hadharani Wakurugenzi Wakuu wa Idara zao ' Nyeti ' za Usalama wa Taifa ila kwa Tanzania naona hii tabia inaanza Kuzoeleka.

Kwa maoni au mtazamo wangu mdogo tu ( mnaojua zaidi mtanisaidia ) kwa asili ya hizi nchi zetu tena ambazo zina ' Majaribu ' na ' Matatizo ' mengi ya Kimsingi huku kukiwa na ' Maadui ' wengi wa ndani na nje sidhani na siafiki kabisa tena kwa 100% kwa Wakurugenzi wetu hawa wa hii Idara / Taasisi muhimu kama si nyeti ya Usalama wa Taifa ( TISS ) kutajwatajwa hovyo kwa Watu na hata kujulikana kwakuwa Tanzania ya sasa imejaa Watu wa ajabu ajabu wenye ' maslahi ' yao ' hasi ' na nchi hii hivyo kuna uwezekano na Wao wakaanza Kumjua na Kumzoea kisha hali ikaja kuwa mbaya zaidi huko mbeleni.

Na sidhani pia kama hata ' Kiuweledi ' hivi anavyofanya Mheshimiwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. Magufuli la kupenda ' Kumtajataja ' Mkurugenzi Mkuu wa Idara / Taasisi ya Usalama wa Taifa ( TISS DG ) Dkt. Kipilimba ni sahihi na kama itapendeza nadhani Watu wa ' Itifaki ' ambao nina uhakika kuwa wengi wenu tunatiririka na kuserereka pamoja 24/7 hapa JamiiForums hili mtaliangalia kwa hayo mapana yake ili utaratibu ule ule uliozoeleka wa zamani wa hawa Wakurugenzi kutojulikana sana au kutajwatajwa hovyo uendelee kwani Kwangu Mimi kwa ' Mazingira ' ya nchi yetu ulikuwa ni utaratibu murua / mujarab / sahihi kabisa kuliko huu wa sasa aliouanzisha Amiri Jeshi Mkuu na Rais Dkt. Magufuli.

Huu ulikuwa ni mtizamo wangu Mimi kama GENTAMYCINE ila nitashukuru na Watu wengine nao wakija hapa wakichangia huku wale ambao ' watanikosoa ' basi wanikosoe ha ' Hoja ' nzito nzito kwani hata Mimi nataka Kujifunza jambo hapa kutokana na kwamba yawezekana huu utaratibu wa sasa ukawa ndiyo sahihi kuliko ule ambalo nimeukariri / nimeuzoea. Nia na madhamuni tupate afya ya Kimjadala na ya Kimantiki juu ya hili ' Suala ' kusudi mwisho wa Siku wote tupate ' maarifa ' na ' ufahamu ' zaidi.

Karibuni!

Nawasilisha.
ANGALIZO

Naomba kama unajijua kabisa kuwa uwezo wako wa kuona vitu vya umbali / unyeti / umuhimu wake basi katika huu ' Uzi ' kaa nao mbali kabisa na waachie wenye ' akili ' zao na ' Wachambuzi ' wa masuala haya ya Kijasusi ambao wapo ( tunao ) wengi humu na Sisi Mangumbaru na Mapopoma wengine tuwe watazamaji tu kuliko Kuchangia halafu ukajikuta umevapa / umekosea.

HOJA KUU

Nashukuru sana Mwenyezi Mungu kwamba karibia awamu zote za nchi hii nilikuwepo japo ya Hayati Baba wa Taifa ilinikutia nikiwa bado katika Ndoo ya Kuogea na nalilia Uji wa Buruga ( namaanisha nikiwa bado Kichanga kabisa ) ila kwa awamu ya Mzee Mwinyi niliishuhudia bila kusahau ya Mzee Mkapa na ya Mzee Kikwete na sasa nipo hii ya Mheshimiwa Dkt. Magufuli natiririka na naserereka nayo.

Katika Awamu zote hizo sikuwahi hata Siku moja kuwasikia hao Watangulizi wake Rais Dkt. Magufuli wakiwa na tabia ya kupenda ' Kumtajataja ' au hata kupenda kuonyesha kwamba Mkurugenzi Mkuu wa Idara Nyeti nchini ya Usalama wa Taifa ( TISS ) yupo eneo ambalo Wao wapo ila ilikuwa ni mpaka tu labda Mtu akutonye / akuambie.

Nimejuiuliza maswali mengi sana kwani Marais wote Wastaafu walikuwa hawapendi kuwatajataja Wakuregenzi wao Usalama wa Taifa ( TISS DG ) lakini kwa Awamu hii ya Gwala / Tano Rais Dkt. Magufuli anapenda mno ' Kumtaja ' na hata kupenda ' Kumuinua ' Kitini Mkurugenzi wa sasa Dkt. Modestus Kipilimba na bado sijapata jawabu / jibu ila najua kupitia ' Majiniasi ' waliotukuka wa Jamvi hili la JamiiForums leo nitayapata.

Sikuishia tu hapo kama kawaida yangu huwa napenda kwenda ' deep ' zaidi kufanya ' references ' na Mataifa mengine mbalimbali kuanzia na haya Jirani ( tunaofanana kwa Vingi ) kisha hupenda pia kuangalia na yale Mataifa makubwa ambayo yana uwezo mkubwa wa Kuanzia Uchumi, Kijeshi na Kiusalama kuliko Tanzania yetu hii na sijaona mahala ambapo Marais wao huwa wanawataja hovyo tena hadharani Wakurugenzi Wakuu wa Idara zao ' Nyeti ' za Usalama wa Taifa ila kwa Tanzania naona hii tabia inaanza Kuzoeleka.

Kwa maoni au mtazamo wangu mdogo tu ( mnaojua zaidi mtanisaidia ) kwa asili ya hizi nchi zetu tena ambazo zina ' Majaribu ' na ' Matatizo ' mengi ya Kimsingi huku kukiwa na ' Maadui ' wengi wa ndani na nje sidhani na siafiki kabisa tena kwa 100% kwa Wakurugenzi wetu hawa wa hii Idara / Taasisi muhimu kama si nyeti ya Usalama wa Taifa ( TISS ) kutajwatajwa hovyo kwa Watu na hata kujulikana kwakuwa Tanzania ya sasa imejaa Watu wa ajabu ajabu wenye ' maslahi ' yao ' hasi ' na nchi hii hivyo kuna uwezekano na Wao wakaanza Kumjua na Kumzoea kisha hali ikaja kuwa mbaya zaidi huko mbeleni.

Na sidhani pia kama hata ' Kiuweledi ' hivi anavyofanya Mheshimiwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. Magufuli la kupenda ' Kumtajataja ' Mkurugenzi Mkuu wa Idara / Taasisi ya Usalama wa Taifa ( TISS DG ) Dkt. Kipilimba ni sahihi na kama itapendeza nadhani Watu wa ' Itifaki ' ambao nina uhakika kuwa wengi wenu tunatiririka na kuserereka pamoja 24/7 hapa JamiiForums hili mtaliangalia kwa hayo mapana yake ili utaratibu ule ule uliozoeleka wa zamani wa hawa Wakurugenzi kutojulikana sana au kutajwatajwa hovyo uendelee kwani Kwangu Mimi kwa ' Mazingira ' ya nchi yetu ulikuwa ni utaratibu murua / mujarab / sahihi kabisa kuliko huu wa sasa aliouanzisha Amiri Jeshi Mkuu na Rais Dkt. Magufuli.

Huu ulikuwa ni mtizamo wangu Mimi kama GENTAMYCINE ila nitashukuru na Watu wengine nao wakija hapa wakichangia huku wale ambao ' watanikosoa ' basi wanikosoe ha ' Hoja ' nzito nzito kwani hata Mimi nataka Kujifunza jambo hapa kutokana na kwamba yawezekana huu utaratibu wa sasa ukawa ndiyo sahihi kuliko ule ambalo nimeukariri / nimeuzoea. Nia na madhamuni tupate afya ya Kimjadala na ya Kimantiki juu ya hili ' Suala ' kusudi mwisho wa Siku wote tupate ' maarifa ' na ' ufahamu ' zaidi.

Karibuni!

Nawasilisha.
Labda effectiveness ya kutowataja hadharani ilikua ni ipi ambayo kwa sasa kwa vile wanatajwa (anatajwatajwa) imetoweka? kama kuna faida maridhawa taifa lilipata kwa kutowataja na sasa linapata hasara kwa kuwatajataja basi mjadala utakua na tija.
 
Back
Top Bottom