Mheshimiwa Spika na Naibu Spika tazameni "Dress codes" za bungeni

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,246
Reaction score
123,145
Leo 30/08/2023 kuna Mbunge Mwanamke simfahamu jina lake, nilikuwa namuona kaketi nyuma wakati Nape anawasilisha kutokea kwenye "podium", amevaa "evening dress" ya kifua wazi bungeni.

Ni aibu kwa Bunge letu ikiwa wabunge hata "dress codes" hawaelewi, wawe wanakwenda wabobezi wa mitindo wawafunde Wabunge wetu hususan kama huyo dada mjinga mjinga namna ya kuvaa.

Hivi alikuwa anatangaza biashara au kaenda kuwakilisha wananchi wake? Mavazi hayo avae akitoka kazini na akiwa mumewe (kama anae) nyumbani, kwa mbunge hayafai kuvaa kabisa mbele ya jamii.

Si huyo tu, "dress codes" kuwa "violated" imekuwa ni kitu cha kawaida bungeni, Tanzania.

Nawasilisha.
 
Bila picha uzi huu ni batili.
 
Mmeanza kua na mashaka na jinsia yako
 
Mmeanza kua na mashaka na jinsia yako
Ni maadili ya kawaida tu, ustaarabu ulitufundisha kuficha miili yetu siyoi kuiwacha wazi hata bingeni.

Unafahamu maana ya neno "ustaarabu"?
 
Ni maadili ya kawaida tu, ustaarabu ulitufundisha kuficha miili yetu siyoi kuiwacha wazi hata bingeni.

Unafahamu maana ya neno "ustaarabu"?
Yule mbona kavaa kakoti keupe bila shida tatizo lipo wapi pale sijaona mabega wazi Mimi
 
Hajavaa kakoti, tazama post #15 nimeweka screen snip yake.
Sasa hapo tatizo lipo wapi? Au sababu hajavaa ushungi na nikabu? Mnaanza kupelekana Talban sasa

Mimi sijaona tatizo kwa huyo aliekaa nyuma nimeona tatizo kwa aliesimama na kuongea ndio kavaa nightdress nyeusi ndani ya koti jeupe
 
Siyo huyu, huyu kavaa kiheshima na kibunge kabisa, yuleee aliyekaa nyuma yake. Tazama post #15.
Yule mbon hajavaa vibaya amevaa Safi tu au wewe una perception zako hajavaa vibaya wala nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…