FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #21
Wale wenye kumbukumbu, mwaka juzi kuna mbunge alishatolewa nje bungeni kwa kutingisha makalio, jikumbusheni:
Wabunge wote, wake kwa waume, waliacha yao wakawa wanamtazama makalio.
"If such are the priests, God bless the congregation".
Bunge liwe na maadili na "dress codes" zifatwe, mbona zipo wazi kabisa? Tazameni post #14 dress codes za watumishi wa umma.
Mbunge aliyeleta taharuki kwaa kutingisha makalio bungeni alifanya mpaka "dress codes" za watumishi wa umma zikumbushe nchi nzima.
Wabunge wote, wake kwa waume, waliacha yao wakawa wanamtazama makalio.
"If such are the priests, God bless the congregation".
Bunge liwe na maadili na "dress codes" zifatwe, mbona zipo wazi kabisa? Tazameni post #14 dress codes za watumishi wa umma.
Mbunge aliyeleta taharuki kwaa kutingisha makalio bungeni alifanya mpaka "dress codes" za watumishi wa umma zikumbushe nchi nzima.