Mheshimiwa Spika na Naibu Spika tazameni "Dress codes" za bungeni

Mheshimiwa Spika na Naibu Spika tazameni "Dress codes" za bungeni

Wale wenye kumbukumbu, mwaka juzi kuna mbunge alishatolewa nje bungeni kwa kutingisha makalio, jikumbusheni:

1693382065932.png


1693382130560.png


Wabunge wote, wake kwa waume, waliacha yao wakawa wanamtazama makalio.

1693382221653.png


"If such are the priests, God bless the congregation".

Bunge liwe na maadili na "dress codes" zifatwe, mbona zipo wazi kabisa? Tazameni post #14 dress codes za watumishi wa umma.

Mbunge aliyeleta taharuki kwaa kutingisha makalio bungeni alifanya mpaka "dress codes" za watumishi wa umma zikumbushe nchi nzima.
 
Yule mbon hajavaa vibaya amevaa Safi tu au wewe una perception zako hajavaa vibaya wala nini
Tazama post namba 14 uone "dress codes" za mtumishi wa umma Tanzania, hakuna cha "perception" wala ushuzi sijuwi uzushi.
 
Leo 30/08/2023 kuna Mbunge Mwanamke simfahamu jina lake, nilikuwa namuona kaketi nyuma wakati Nape anawasilisha kutokea kwenye "podium", amevaa "evening dress" ya kifua wazi bungeni.

Ni aibu kwa Bunge letu ikiwa wabunge hata "dress codes" hawaelewi, wawe wanakwenda wabobezi wa mitindo wawafunde Wabunge wetu hususan kama huyo dada mjinga mjinga namna ya kuvaa.

Hivi alikuwa anatangaza biashara au kaenda kuwakilisha wananchi wake? Mavazi hayo avae akitoka kazini na akiwa mumewe (kama anae) nyumbani, kwa mbunge hayafai kuvaa kabisa mbele ya jamii.

Si huyo tu, "dress codes" kuwa "violated" imekuwa ni kitu cha kawaida bungeni, Tanzania.

Nawasilisha.

Bora avae Night dress lakini wapitishe mambo ya maana yenye tija kwa nchi kuliko wavae mabaibui na manikabu na mabazee halafu wapitishe mikataba ya kimangungo.
 
Bora avae Night dress lakini wapitishe mambo ya maana yenye tija kwa nchi kuliko wavae mbaibui na manikabu na mabazee halafu wapitishe mikataba ya kimangungo.
Hapana, huwezi kuvaa utakavyo au upoendavyo ukiwa hata mtumishi wa umma wa kawaida tu licha ya mbunge. Katazame "dress codes" post #14.

Usifikiri hata siku moja, kwa mbunge asiyeweza kuheshimu kanuni zake na kuzifata hata za "dress codes" tu, kuwa anaweza kupitisha kitu cha maana.
 
Leo 30/08/2023 kuna Mbunge Mwanamke simfahamu jina lake, nilikuwa namuona kaketi nyuma wakati Nape anawasilisha kutokea kwenye "podium", amevaa "evening dress" ya kifua wazi bungeni.

Ni aibu kwa Bunge letu ikiwa wabunge hata "dress codes" hawaelewi, wawe wanakwenda wabobezi wa mitindo wawafunde Wabunge wetu hususan kama huyo dada mjinga mjinga namna ya kuvaa.

Hivi alikuwa anatangaza biashara au kaenda kuwakilisha wananchi wake? Mavazi hayo avae akitoka kazini na akiwa mumewe (kama anae) nyumbani, kwa mbunge hayafai kuvaa kabisa mbele ya jamii.

Si huyo tu, "dress codes" kuwa "violated" imekuwa ni kitu cha kawaida bungeni, Tanzania.

Nawasilisha.
Ukiachana na masuala ya dini na siasa, wewe ni mwanamke safi sana. Ninakupenda mno.
 
Leo 30/08/2023 kuna Mbunge Mwanamke simfahamu jina lake, nilikuwa namuona kaketi nyuma wakati Nape anawasilisha kutokea kwenye "podium", amevaa "evening dress" ya kifua wazi bungeni.

Ni aibu kwa Bunge letu ikiwa wabunge hata "dress codes" hawaelewi, wawe wanakwenda wabobezi wa mitindo wawafunde Wabunge wetu hususan kama huyo dada mjinga mjinga namna ya kuvaa.

Hivi alikuwa anatangaza biashara au kaenda kuwakilisha wananchi wake? Mavazi hayo avae akitoka kazini na akiwa mumewe (kama anae) nyumbani, kwa mbunge hayafai kuvaa kabisa mbele ya jamii.

Si huyo tu, "dress codes" kuwa "violated" imekuwa ni kitu cha kawaida bungeni, Tanzania.

Nawasilisha.
Mama upo KIZIMKAZI lakini huchoki kusakama wanawake wenzio, kula bata aisee
 
Leo 30/08/2023 kuna Mbunge Mwanamke simfahamu jina lake, nilikuwa namuona kaketi nyuma wakati Nape anawasilisha kutokea kwenye "podium", amevaa "evening dress" ya kifua wazi bungeni.

Ni aibu kwa Bunge letu ikiwa wabunge hata "dress codes" hawaelewi, wawe wanakwenda wabobezi wa mitindo wawafunde Wabunge wetu hususan kama huyo dada mjinga mjinga namna ya kuvaa.

Hivi alikuwa anatangaza biashara au kaenda kuwakilisha wananchi wake? Mavazi hayo avae akitoka kazini na akiwa mumewe (kama anae) nyumbani, kwa mbunge hayafai kuvaa kabisa mbele ya jamii.

Si huyo tu, "dress codes" kuwa "violated" imekuwa ni kitu cha kawaida bungeni, Tanzania.

Nawasilisha.
Bila picha ni majungu tuh
 
Tazama post namba 14 uone "dress codes" za mtumishi wa umma Tanzania, hakuna cha "perception" wala ushuzi sijuwi uzushi.
Ushuzi mwenyewe yule mama hajavaa vibaya labda sababu hajavaa ule mvazi uliopigwa marufuku ufaransa
 
Leo 30/08/2023 kuna Mbunge Mwanamke simfahamu jina lake, nilikuwa namuona kaketi nyuma wakati Nape anawasilisha kutokea kwenye "podium", amevaa "evening dress" ya kifua wazi bungeni.

Ni aibu kwa Bunge letu ikiwa wabunge hata "dress codes" hawaelewi, wawe wanakwenda wabobezi wa mitindo wawafunde Wabunge wetu hususan kama huyo dada mjinga mjinga namna ya kuvaa.

Hivi alikuwa anatangaza biashara au kaenda kuwakilisha wananchi wake? Mavazi hayo avae akitoka kazini na akiwa mumewe (kama anae) nyumbani, kwa mbunge hayafai kuvaa kabisa mbele ya jamii.

Si huyo tu, "dress codes" kuwa "violated" imekuwa ni kitu cha kawaida bungeni, Tanzania.

Nawasilisha.
Kule Bungeni saivi hakuna Code yoyote zaidi ya kijiwe chakupiga mhuri yanayopendekezwa na serikali.
 
Leo 30/08/2023 kuna Mbunge Mwanamke simfahamu jina lake, nilikuwa namuona kaketi nyuma wakati Nape anawasilisha kutokea kwenye "podium", amevaa "evening dress" ya kifua wazi bungeni.

Ni aibu kwa Bunge letu ikiwa wabunge hata "dress codes" hawaelewi, wawe wanakwenda wabobezi wa mitindo wawafunde Wabunge wetu hususan kama huyo dada mjinga mjinga namna ya kuvaa.

Hivi alikuwa anatangaza biashara au kaenda kuwakilisha wananchi wake? Mavazi hayo avae akitoka kazini na akiwa mumewe (kama anae) nyumbani, kwa mbunge hayafai kuvaa kabisa mbele ya jamii.

Si huyo tu, "dress codes" kuwa "violated" imekuwa ni kitu cha kawaida bungeni, Tanzania.

Nawasilisha.
Acha husda chawa ajuza
 
Hiyo nguo ina tatizo gani? au unataka ajitundike na mabaibui......itakuwa kakuchukulia mmeo.
Hata Mimi nashangaa eti kavaa vibaya kosa mabega yapo wazi anataka avae ki-ninja Bungeni
 
Cha kushangaza, Samuel Sitta enzi zake alishamtowa mbunge kwa kuvaa kofia ya mkono (baraghashia" kwa kuwa hajafata "dress codes" z bunge.

Bunge licha ya "dress codes za wafanyakazi wa umma, wana kanuni zo kabisa za mavazi ya mbunge awapo ndani na nje ya bunge.
 
Leo 30/08/2023 kuna Mbunge Mwanamke simfahamu jina lake, nilikuwa namuona kaketi nyuma wakati Nape anawasilisha kutokea kwenye "podium", amevaa "evening dress" ya kifua wazi bungeni.

Ni aibu kwa Bunge letu ikiwa wabunge hata "dress codes" hawaelewi, wawe wanakwenda wabobezi wa mitindo wawafunde Wabunge wetu hususan kama huyo dada mjinga mjinga namna ya kuvaa.

Hivi alikuwa anatangaza biashara au kaenda kuwakilisha wananchi wake? Mavazi hayo avae akitoka kazini na akiwa mumewe (kama anae) nyumbani, kwa mbunge hayafai kuvaa kabisa mbele ya jamii.

Si huyo tu, "dress codes" kuwa "violated" imekuwa ni kitu cha kawaida bungeni, Tanzania.

Nawasilisha.
Mimi huwa sipendi kuangalia Bunge Live lakini nilipomuona huyo dada la! Nilipiga kambi kwa muda na kuomba Nape asimalize haraka, hebu tuliza boli bila hivyo BL litakuwa boaring'i.
 
Hata Mimi nashangaa eti kavaa vibaya kosa mabega yapo wazi anataka avae ki-ninja Bungeni
Wewe unashangaa kwa sababu huzijuwi "dress codes" za bungeni, tena wala hujuwi "evening dress" ni nini, "casual dress ni nini" wala office dress ni nini, unajivalia tu ma kafa ulaya.

Sikushngai kabisa, ujinga ni mzigo mzito sana kwa taifa hili.
 
Hivi bado kuna watu wanafuatilia binge hilo😁😁
 
Hivi bado kuna watu wanafuatilia binge hilo😁😁
Wewe kama hufatilii usifikiri dunia imeanzia na kuishia upana na urefu wa pua yako. Kuwa na upeo japo kiduchu.
 
Wewe unashangaa kwa sababu huzijuwi "dress codes" za bungeni, tena wala hujuwi "evening dress" ni nini, "casual dress ni nini" wala office dress ni nini, unajivalia tu ma kafa ulaya.

Sikushngai kabisa, ujinga ni mzigo mzito sana kwa taifa hili.
Nenda dubai kaone watu wanavyotembea na vichupi barabarani,
 
Back
Top Bottom