Leo 30/08/2023 kuna Mbunge Mwanamke simfahamu jina lake, nilikuwa namuona kaketi nyuma wakati Nape anawasilisha kutokea kwenye "podium", amevaa "evening dress" ya kifua wazi bungeni.
Ni aibu kwa Bunge letu ikiwa wabunge hata "dress codes" hawaelewi, wawe wanakwenda wabobezi wa mitindo wawafunde Wabunge wetu hususan kama huyo dada mjinga mjinga namna ya kuvaa.
Hivi alikuwa anatangaza biashara au kaenda kuwakilisha wananchi wake? Mavazi hayo avae akitoka kazini na akiwa mumewe (kama anae) nyumbani, kwa mbunge hayafai kuvaa kabisa mbele ya jamii.
Si huyo tu, "dress codes" kuwa "violated" imekuwa ni kitu cha kawaida bungeni, Tanzania.
Nawasilisha.
Hapana, huwezi kuvaa utakavyo au upoendavyo ukiwa hata mtumishi wa umma wa kawaida tu licha ya mbunge. Katazame "dress codes" post #14.Bora avae Night dress lakini wapitishe mambo ya maana yenye tija kwa nchi kuliko wavae mbaibui na manikabu na mabazee halafu wapitishe mikataba ya kimangungo.
Ukiachana na masuala ya dini na siasa, wewe ni mwanamke safi sana. Ninakupenda mno.Leo 30/08/2023 kuna Mbunge Mwanamke simfahamu jina lake, nilikuwa namuona kaketi nyuma wakati Nape anawasilisha kutokea kwenye "podium", amevaa "evening dress" ya kifua wazi bungeni.
Ni aibu kwa Bunge letu ikiwa wabunge hata "dress codes" hawaelewi, wawe wanakwenda wabobezi wa mitindo wawafunde Wabunge wetu hususan kama huyo dada mjinga mjinga namna ya kuvaa.
Hivi alikuwa anatangaza biashara au kaenda kuwakilisha wananchi wake? Mavazi hayo avae akitoka kazini na akiwa mumewe (kama anae) nyumbani, kwa mbunge hayafai kuvaa kabisa mbele ya jamii.
Si huyo tu, "dress codes" kuwa "violated" imekuwa ni kitu cha kawaida bungeni, Tanzania.
Nawasilisha.
Mama upo KIZIMKAZI lakini huchoki kusakama wanawake wenzio, kula bata aiseeLeo 30/08/2023 kuna Mbunge Mwanamke simfahamu jina lake, nilikuwa namuona kaketi nyuma wakati Nape anawasilisha kutokea kwenye "podium", amevaa "evening dress" ya kifua wazi bungeni.
Ni aibu kwa Bunge letu ikiwa wabunge hata "dress codes" hawaelewi, wawe wanakwenda wabobezi wa mitindo wawafunde Wabunge wetu hususan kama huyo dada mjinga mjinga namna ya kuvaa.
Hivi alikuwa anatangaza biashara au kaenda kuwakilisha wananchi wake? Mavazi hayo avae akitoka kazini na akiwa mumewe (kama anae) nyumbani, kwa mbunge hayafai kuvaa kabisa mbele ya jamii.
Si huyo tu, "dress codes" kuwa "violated" imekuwa ni kitu cha kawaida bungeni, Tanzania.
Nawasilisha.
Hiyo nguo ina tatizo gani? au unataka ajitundike na mabaibui......itakuwa kakuchukulia mmeo.Hajavaa kakoti, tazama post #15 nimeweka screen snip yake.
Bila picha ni majungu tuhLeo 30/08/2023 kuna Mbunge Mwanamke simfahamu jina lake, nilikuwa namuona kaketi nyuma wakati Nape anawasilisha kutokea kwenye "podium", amevaa "evening dress" ya kifua wazi bungeni.
Ni aibu kwa Bunge letu ikiwa wabunge hata "dress codes" hawaelewi, wawe wanakwenda wabobezi wa mitindo wawafunde Wabunge wetu hususan kama huyo dada mjinga mjinga namna ya kuvaa.
Hivi alikuwa anatangaza biashara au kaenda kuwakilisha wananchi wake? Mavazi hayo avae akitoka kazini na akiwa mumewe (kama anae) nyumbani, kwa mbunge hayafai kuvaa kabisa mbele ya jamii.
Si huyo tu, "dress codes" kuwa "violated" imekuwa ni kitu cha kawaida bungeni, Tanzania.
Nawasilisha.
Tazama post namba 14 uone "dress codes" za mtumishi wa umma Tanzania, hakuna cha "perception" walaushuzisijuwi uzushi.
Kule Bungeni saivi hakuna Code yoyote zaidi ya kijiwe chakupiga mhuri yanayopendekezwa na serikali.Leo 30/08/2023 kuna Mbunge Mwanamke simfahamu jina lake, nilikuwa namuona kaketi nyuma wakati Nape anawasilisha kutokea kwenye "podium", amevaa "evening dress" ya kifua wazi bungeni.
Ni aibu kwa Bunge letu ikiwa wabunge hata "dress codes" hawaelewi, wawe wanakwenda wabobezi wa mitindo wawafunde Wabunge wetu hususan kama huyo dada mjinga mjinga namna ya kuvaa.
Hivi alikuwa anatangaza biashara au kaenda kuwakilisha wananchi wake? Mavazi hayo avae akitoka kazini na akiwa mumewe (kama anae) nyumbani, kwa mbunge hayafai kuvaa kabisa mbele ya jamii.
Si huyo tu, "dress codes" kuwa "violated" imekuwa ni kitu cha kawaida bungeni, Tanzania.
Nawasilisha.
Acha husda chawa ajuzaLeo 30/08/2023 kuna Mbunge Mwanamke simfahamu jina lake, nilikuwa namuona kaketi nyuma wakati Nape anawasilisha kutokea kwenye "podium", amevaa "evening dress" ya kifua wazi bungeni.
Ni aibu kwa Bunge letu ikiwa wabunge hata "dress codes" hawaelewi, wawe wanakwenda wabobezi wa mitindo wawafunde Wabunge wetu hususan kama huyo dada mjinga mjinga namna ya kuvaa.
Hivi alikuwa anatangaza biashara au kaenda kuwakilisha wananchi wake? Mavazi hayo avae akitoka kazini na akiwa mumewe (kama anae) nyumbani, kwa mbunge hayafai kuvaa kabisa mbele ya jamii.
Si huyo tu, "dress codes" kuwa "violated" imekuwa ni kitu cha kawaida bungeni, Tanzania.
Nawasilisha.
Hata Mimi nashangaa eti kavaa vibaya kosa mabega yapo wazi anataka avae ki-ninja BungeniHiyo nguo ina tatizo gani? au unataka ajitundike na mabaibui......itakuwa kakuchukulia mmeo.
Mimi huwa sipendi kuangalia Bunge Live lakini nilipomuona huyo dada la! Nilipiga kambi kwa muda na kuomba Nape asimalize haraka, hebu tuliza boli bila hivyo BL litakuwa boaring'i.Leo 30/08/2023 kuna Mbunge Mwanamke simfahamu jina lake, nilikuwa namuona kaketi nyuma wakati Nape anawasilisha kutokea kwenye "podium", amevaa "evening dress" ya kifua wazi bungeni.
Ni aibu kwa Bunge letu ikiwa wabunge hata "dress codes" hawaelewi, wawe wanakwenda wabobezi wa mitindo wawafunde Wabunge wetu hususan kama huyo dada mjinga mjinga namna ya kuvaa.
Hivi alikuwa anatangaza biashara au kaenda kuwakilisha wananchi wake? Mavazi hayo avae akitoka kazini na akiwa mumewe (kama anae) nyumbani, kwa mbunge hayafai kuvaa kabisa mbele ya jamii.
Si huyo tu, "dress codes" kuwa "violated" imekuwa ni kitu cha kawaida bungeni, Tanzania.
Nawasilisha.
Tupe na bundle la kuangalizia
View: https://www.youtube.com/live/L8eB54T6JWA?si=_v8aO8a0Hwu0nAqm
Tazama mwishi mwshi wa hiyo video, dakika tatu za mwisho.
Wewe unashangaa kwa sababu huzijuwi "dress codes" za bungeni, tena wala hujuwi "evening dress" ni nini, "casual dress ni nini" wala office dress ni nini, unajivalia tu ma kafa ulaya.Hata Mimi nashangaa eti kavaa vibaya kosa mabega yapo wazi anataka avae ki-ninja Bungeni
Nenda dubai kaone watu wanavyotembea na vichupi barabarani,Wewe unashangaa kwa sababu huzijuwi "dress codes" za bungeni, tena wala hujuwi "evening dress" ni nini, "casual dress ni nini" wala office dress ni nini, unajivalia tu ma kafa ulaya.
Sikushngai kabisa, ujinga ni mzigo mzito sana kwa taifa hili.