M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkBora Nicole kala hela za upatu kuliko haka kajamaa kapigaji ka rambirambi
Dr Steve???????? au sijaelewa???Mkuu wa itifaki na Mwenyekiti Mwanzilishi wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao, Dr Steve Nyenyere amejitolea kumlipia dhamana mlimbwende wa Bongo movie Nicole van Berry
Mkuu kwani hiyo Dr na mh zina hadhi gani Kwa sasa nchini hapa? Haujapata kuwaskia kina Dr msukuma, Dr Babu tale, Prof maji marefu rip, mh Geordavie..Mh? Dr ? how? unatakiwa upigwe risasi hadharani maana umebeba furushi la kimba kichwani
Yap yupo Ikulu upande wa kamatiHuyu Steve ana bahati sana, siku moja alitambulishwa kama mgeni kutoka ikulu akapigiwa makofi sana, na Leo naona anatambulika kama mheshimiwa.
Steve huyu aliyeacha shule form two pale Biafra kwa Shambula??? Achaneni na neno mheshimiwa.Mkuu wa itifaki na Mwenyekiti Mwanzilishi wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao, Dr Steve Nyenyere amejitolea kumlipia dhamana mlimbwende wa Bongo movie Nicole van Berry
Dah.. umewaza kama mimiAtaliweza lile mbona kama kubwa sana kwake!