Mheshimiwa Steve Nyenyere ajitosa Sakata la Nicole Van Berry

Mheshimiwa Steve Nyenyere ajitosa Sakata la Nicole Van Berry

Akamsaidie mwizi mwenzake,yeye ame specialise kuiba hela za rambirambi na huyo demu anapiga hela za upatu wote majizi tu
 
Katika watu wanaoweza kuongea siku nzima Steve anaongoza. Wakati fulani nikiwa mdhambi nilipita pale Mrina Annex mida ya asbh nikakuta Steve yupo mle kalewa hatari anaongea baa nzima mwenyewe. Kuna kahaba akataka kumnyamazisha kulizuka vita kali sana ya maneno hadi Kahaba akakaa kimya.
 
Huo udaktari kautoa wapi!?? Kwanza anaitwa Steven Mengere sio Steven Nyerere 😔 Baba wa Taifa hana DNA ya kipuuzi namna hii
 
Back
Top Bottom