ministrant
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 754
- 1,478
Huyo Steve Mengele (Familia ya Baba wa Taifa ilimwambia atumie jina ka ukoo wake), anaheshimiwa na nani hadi kuanza kuitwa Mheshimiwa?Mkuu wa itifaki na Mwenyekiti Mwanzilishi wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao, Dr Steve Nyenyere amejitolea kumlipia dhamana mlimbwende wa Bongo movie Nicole van Berry
Atuambie nani katoa hiyo kama mahari kupitia mshenga...Mkuu wa itifaki na Mwenyekiti Mwanzilishi wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao, Dr Steve Nyenyere amejitolea kumlipia dhamana mlimbwende wa Bongo movie Nicole van Berry
Basi ni mhYap yupo Ikulu upande wa kamati
YapBasi ni mh
Na Dr piaSteve ni mweshimiwa kumbe duh huu utoto
Sasa lilikuwa linatumia makalio badala ya ubongo unategemea nini,Lile zigo linakosaje dhamana
Ndio mambo yake.. Unamjua Sengo Matilda ?Ataliweza lile mbona kama kubwa sana kwake!
Unamjua mdada anaitwa Wellu Sengo? Ni mashine zaidi ya Nicole. Ndo kitu ya Steve. Hicho kijamaa ni kizoefu.Ataliweza lile mbona kama kubwa sana kwake!
simjui ndo nani mjini hapaNdio mambo yake.. Unamjua Sengo Matilda ?
😂
ohooo simjuiUnamjua mdada anaitwa Wellu Sengo? Ni mashine zaidi ya Nicole. Ndo kitu ya Steve. Hicho kijamaa ni kizoefu.
Zangu mbavu🤣🤣🤣🤣Hongera Dr Steve
Siyo 'wachawi', ni Waarabu wa Pemba ndio hujuana kwa vilemba. Wachawi labda wanajuana kwa tunguli 🤣🤣Dr steve nae ni tapeli 😂😂, wachawi hujuana kwa vilemba!!
Ni bongo muvi mmoja, babe mama wa Steve Nyerere na yeye big big heavy heavy kama Nikole.simjui ndo nani mjini hapa
Mwenye makalio mjini anao uhakika wa kula kuliko mwenye akiliSasa lilikuwa linatumia makalio badala ya ubongo unategemea nini,
Mheshimiwa? Dr? Hii nch inashangaza mpk aibuMkuu wa itifaki na Mwenyekiti Mwanzilishi wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao, Dr Steve Nyenyere amejitolea kumlipia dhamana mlimbwende wa Bongo movie Nicole van Berry