GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Anyways nawatakieni Kila Ia Kheri wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye Akili nina uhakika wamenielewa.Ongeza nyama hapo Mkuu .
Je, una uhakika hauna Celebrial Malaria?Nje ya mada kidogo mkuu, inaonekana unaongoza kwa kupewa ban hapa JF zile za muda mfupi.
ingekuwa ni ugonjwa basi tungekuita "Homa za Vipindi"
hata vile vya mazoez kule bunju mlipinga sana huna jipya bwan zuzuMkuu, Makolos wanafanya hili kwa temper ety TFF wanatunyanyasa na wamedhalilisha viongozi wetu..
Uwanja,, ety uwanja.. ujengee kwa michango ya bukubuku hvyo
Kwan Kuna tm isiyokuwa na kiwanja maalum Cha mazoez ww..?hata vile vya mazoez kule bunju mlipinga sana huna jipya bwan zuzu
uto uwanja wao uko wapiKwan Kuna tm isiyokuwa na kiwanja maalum Cha mazoez ww..?
mchango ni mchangoMim kama UWABATA. nmeshachangia 300 yangu chaaap.......au
Nmezngua wadau....[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2048340
Uto ndo Timu ganiuto uwanja wao uko wapi
Kaka Kama unaweza kuchangia we change tu.Kwa Bongo klabu kujenga uwanja wake mkubwa ni matumizi mabaya ya pesa. Bongo hatupendi sana mpira ila tunazipenda simba na yanga kwenye matukio makubwa. Hatujai viwanjani kama sio tukio kubwa , sasa hizo bilioni zitarudije? Hata kama ni za kuchangishana zinatakiwa zirudi.
Bora kujenga training centre ya kisasa kwa bajeti ya kawaida.
Ulipata wapi huo muda wa kufanya huo utoto? Ulidhani unaikomoa Simba sc?Mim kama UWABATA. nmeshachangia 300 yangu chaaap.......au
Nmezngua wadau....[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2048340
Nyingi sana huna kigezo Cha kubaki chamani, tulikubaliana kuchangia 100Mim kama UWABATA. nmeshachangia 300 yangu chaaap.......au
Nmezngua wadau....[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2048340
Tembea na akili za wabongoAnyways nawatakieni Kila Ia Kheri wote.