Mhitaji wa chumba/nyumba/maeneo ya kuanzia Mbuyuni hadi Tegeta

Mhitaji wa chumba/nyumba/maeneo ya kuanzia Mbuyuni hadi Tegeta

Mkubwa, me nahitaji apartment ya vyumba viwili bagamoyo road kuanzia mwenge hadi tegeta bajeti yangu 250k kwa mwezi naweza kupata?
Kuna nyumba ina vyumba vitatu,sebule,jiko na choo cha public cha ndani, ukipita pale mbuyuni kwa mbele kuna mizani,sasa mitaa ya nyuma ya mizani,kodi ndio iyo laki mbili na hamsin..ipo vizuri tu
 
Kuna nyumba ina vyumba vitatu,sebule,jiko na choo cha public cha ndani, ukipita pale mbuyuni kwa mbele kuna mizani,sasa mitaa ya nyuma ya mizani,kodi ndio iyo laki mbili na hamsin..ipo vizuri tu
Nakucheki whatsapp unitumie picha mkuu
 
Mitaa ya goba pia una uwezo wa kupata? goba ya mwanzo mwanzo? au unahusika na tegeta tu
Mkuu Goba sina connection na madalali wa kule..ulitaka nyumba ya aina gani tuangalie namna zake,Goba senta au njia nne?
 
Goba ya mwanzo kabla ya kufika goba centre, 2 rooms and sebule
Ngojea nimtafute mtu nikuunge nae, kisizidi sh. Ngapi bajeti yako? Maana nyumba ya ivyo haipungui laki tatu na zaidi
 
Bahari Beach au Mbweni JKT nyumba za Ghorofa moja(Medium size atleast 3 bedrooms) zenye fence zinapangishwa kwa Tsh ngapi?
 
Back
Top Bottom