Mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaama ajirusha kutoka ghorofani na kufa kutokana na kukosa ajira

Mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaama ajirusha kutoka ghorofani na kufa kutokana na kukosa ajira

Ni utahira kujiuwa eti kisa ajira, na kwa ninavyofahamu Mimi watu wanaosoma computer science, IT, computer engineering n.k wanajifunza pia entrepreneur ili baada ya kumaliza elimu zao wasiwe na mawazo mgando ya kusubiri au kuanza kutafuta ajira.
.
Na ningekuwepo maeneo hayo ningechapa viboko maiti yake PUMBAVU KABISA Rest in hell.
 
Nimemkumbuka marehemu Mohamed Bouazizi(graduate) wa Tunisia aliejua kwa kujichoma moto baada ya askari wa Jiji huko Tunisi nchini Tunisia, kukamata mali zake alizokuwa anauza kama mmachinga (street vendor) kutokana na kukosa ajira, tukio liliopelea maandamano ya kuwang'oa madikteta katika nchi kadhaa za kiarabu(Arab Spring) kwa kuanza na aliekuwa Raisi wa Tunisia,Ben Ali na baadae Mubaraka wa Misri kisha Gaddafi wa Libya.
Baada ya Muhammar El Ghaddafi kuondolewa madarakani na Kisha kuuwawa je Kuna mabadiliko gani Libya?
 
Watu wana magamba ya Engineering kutoka MIT halafu wanapiga mishe zingine tu kitaa,yeye kupita UDSM anajiona wa kipekee sana lazma apate ajira.
 
Ally (25), mkazi wa Kiloleli wilayani Ilemela jijini hapa anayedaiwa kuwa na elimu ya chuo kikuu, amejirusha katika jengo la la Rocky City Mall na kufariki dunia.

Imeelezwa kuwa Musa alichukua uamuzi huo kutokana na kuwa na msongo wa mawazo, kukosa kazi.

Akizungumza na Mwananchi leo Ijumaa Desemba 21, 2018 kaimu kamanda wa polisi Mkoa wa Mwanza, Advera Bulimba amesema tukio hilo limetokea leo saa saba mchana.

Bulimba amesema kijana huyo alionekana akiwa amelewa kupita kiasi na tangu Desemba 16, 2018 na alikamatwa na kuwekwa kituo cha polisi Kirumba, kilevi kilipopungua aliachiwa.

Amesema katika uchunguzi wa awali marehemu alibainisha kuwa alikuwa na msongo wa mawazo kwa sababu ya kukosa kazi licha ya kuwa na elimu ya juu.

Bulimba amesema baada ya polisi kumuachia alikwenda kunywa tena pombe na baadaye kujirusha kutoka ghorofa ya tatu na kukutwa na pombe kali na ugoro.

“Uchunguzi wa awali umeonyesha kuwa kijana huyo amesema amejiingiza kwenye ulevi na asilaumiwe mtu yeyote.

Amesema amechukua uamuzi huo yeye binafsi, pia akidai yeye ni masikini hana baba wala mama,” amesema Bulimba.

Amesema mwili umehifadhiwa hospitali kwa ajili ya uchunguzi zaidi licha ya kutotaja jina la hospitali hiyo.

Bulimba amesema, maandishi aliyokutwa nayo marehemu yalisomeka kwamba “yeye ana shahada sayansi ya kompyuta aliyoipata Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM).”

Chanzo:Mwananchi.

Police wamesomba Picha zimekataa kuupload. Ila nimeattach kwenye comment no 6 na 7.
Duu haya maisha ni balaa
 
Ndio ujiue jamani? Usomi wake umemsaidia nini, alikuwa anatambua kabisa kuwa ajira ni ngumu..ameshindwa kujiajiri mwanaume mzima?


Kama maisha ni easy kwako, usidhani kwa kila MTU ndo yako hivyo, pia tunatofautiana uwezo wa kuvumilia stress, ewe demi, umaskini ukikuvalia njuga utakosa hadi bando la kukuwezesha ku-post jf, utajiajiri na mwishowe biashara itafeli, na kuingia kwenye madeni makubwa..utafanya kazi kama punda lkn hutosogea kimaendeleo demi
 
Back
Top Bottom