Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Pole sana bodi ya mikopo ni Majambazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe uliyeleta hii habari jf unakuwa na lengo gani?
Usikate tamaa , fatilia jambo lako hadi kielewekeNaitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.
Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma
Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi
Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?
Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.
Pole sana, ndio maana sitaki Wanangu waje wasomeshwe kwa Mikopo ya Bodi ya Mikopo, Mungu anisaidie katika hilo litimie.Naitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.
Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma
Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi
Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?
Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.
bodi ya mikopo kuna wajinga wamejificha kwenye kivuli cha suti za mtumba na tai wanakula hela tu za walalahoi.Naitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.
Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma
Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi
Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?
Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.
Nenda mahakamaniNaitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.
Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma
Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi
Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?
Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.
Sio kweli,unachelewesha tu usingizi,utafikiwa vizuriMh!,Kumbe BOOM inaleta maumivu ee.
Pole yenu mlioajiliwa Serikalini.
Sisi huku chimbo tunapeta.
Yawezekana mnatulipia sisi tulio nje ya mfumo.
Namshukuru Mungu kwa kutonipa akili ya kuomba AJIRA Serikalini.
Tunakula Bata na mayai yake.
Boom nilikula na hakuna anaenidai.
Serikali Oyeeeeeeeeeeeere.
Kafungue kesi Mahakamani uwashtakiNaitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.
Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma
Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi
Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?
Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.
Hapa kuna mambo mawili
1. Hela kweli imelipwa chuoni na mchezo umefanyika kati ya afisa mikopo MUCE na muhasibu waliendelea kutumia jina lako kwa miaka 3.
2. Afisa wa hapo HESLB ameifanyia makaratee amejengea nyumba kisha kimyaa kanyuti.
Kama walivyokushauri nenda kwanza MUCE kawawakie akili iwakae sawa utamjua tu mwizi wako
Mwanasheria nipo hapa.Huo ni utapeli,muone mwanasheria uwafungulie kesi wapuuzi hao,watakulipa hadi fidia
Wanasheria tupo hamtutumii.Wadau na Mimi nipo mkoani mbali sana na Dar,tangu mwaka 2016 nakatwa na board kila mwezi.
Yaani sasa ni miaka 7 nakatwa ilihali naamini mkopo ulishaisha.
Naomba msaada mwenye namna ya kujua actually amount yangu nikiwa huku mkoani. Natangulisha shukrani!!
NB- nilisomea procurement and logistics management, first year Mbeya,nikamalizia hapo Kurasini chuo cha TIA.
Kuna mwanangu naye aliapply kusoma Bachelor,bahati mbaya /nzuri akapata nafasi ya diploma anayopenda akaachana na degree akajisomesha diploma,Naitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.
Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma
Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi
Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?
Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.
Bodi ya mkopo ni Wahuni na Wezi utashangaa umeshamaliza deni lao ila bado wanakukata utadhani hawana taarifaNaitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.
Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma
Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi
Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?
Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.