Mhubiri Paul MacKenzie alianzaje safari tata ya kuwashawishi watu kufunga hadi kufa?

hii inaitwa"BRAIN WASH"...manake ubongo wako unapigwa deki na kubaki kama kifuu cha nazi kilichochokolea{kuliwa nyama yake},,,,,then hawa jamaa kina makenzie na wenzake kina kibwetere wajanza vichwa vyao manyokanyoka mpaka wanakua kama mataahira,,,,,sasa hawa kina makenzie wakishona sasa wameshaiva ndo wanawafanya kama walivowafanya!!!!................................ndo manake sometimes mara mojamoja unakula ganja kidgo walau mara mbili kwa wiki\111"HAIWEZEKANI HATA SIKU MOJA RASTAMAN AKAFANYIWA UJINGA KAMA HUU....narudia tena,haiwezekani ukamdanganya SNOOP DOGDOG akachezewa namna hiii!!!!!!!
 
Namshukuru Allah kwa neema ya uislamu niliyo nayo.
Uislamu nako kuna maneno angalia Somalia, Afghanistan,Sudan kaskazini,Yemen nk waislamu watupu kule wanatwangana na kuuana kwa maelfu wenyewe kwa wenyewe

Kwa tofauti tu za tafsiri ya kurani

Na wanaouawa kwenye vita za waislamu kwa waislamu ni wengi kuliko wanaokufa kwa imani potofu za Kikristo
 
Wale wanaojiita waislamu,hawafanyi kwa imani ya dini,wqnafanya kwa malipo,familia zao hulipwa pesa nyingi tu.Na pia wanaowalipa hawafanyi kwa ajili ýa imani,wanafanya kwa siasa,ili wapate madaraka.
 
Hawa wanauwana kisiasa ,sio kiimani ya dini.Wanagombea madaraka.Wanatumia mwavuli wa dini,ili waungwe mkono.
 
Unadhani wale mbuzi wa kawe wakiambiwa hawatakubali?
 
Hawa wanauwana kisiasa ,sio kiimani ya dini.Wanagombea madaraka.Wanatumia mwavuli wa dini,ili waungwe mkono.
Sio kisiasa Somalia makundi yanayopigana yana tofauti za kidini
Sudan Kaskazini pia

Waasi wa Sudan kaskazini ni Answar Sunna waliokuwa zamani wakiitwa Janjaweed wafuasi wa Answar Sunna

Raisi wa Sudan kaskazini aliyepo sio Muislamu Answar Sunna
 
Namshukuru Allah kwa neema ya uislamu niliyo nayo.
Allah anayeaminisha kuuwa mtu asiye wa dini yako unapata Mabikra 72,nyie watu wa dini acheni kujihesabia haki.

Mna matendo mabaya kuwaliko wasio na dini
 
Huyo jamaa ni mgonjwa wa akili na muuaji.
 
Ukwel ni kwamba uyu mwamba anatumia nguvu isiyo ya kawaida kushawishi watu kuamini kila asemalo,

kuna jamaa namfahamu kabisa yaan ni msomi mkubwa sana lakin amewezwa na uyu mpuuzi nayeye ni miongoni mwa waliofunga adi kufa. kwa elimu aliyokuwa nayo yule marehemu sifikirii kama alishawishiwa kikawaida. kuna kanguvu ka giza tena kazito kanatumika
 
Wale wanaojiita waislamu,hawafanyi kwa imani ya dini,wqnafanya kwa malipo,familia zao hulipwa pesa nyingi tu.Na pia wanaowalipa hawafanyi kwa ajili ýa imani,wanafanya kwa siasa,ili wapate madaraka.
kabla ya kujibu ingebid kufuatilia ilo kiundani
 
Wale wanaojiita waislamu,hawafanyi kwa imani ya dini,wqnafanya kwa malipo,familia zao hulipwa pesa nyingi tu.Na pia wanaowalipa hawafanyi kwa ajili ýa imani,wanafanya kwa siasa,ili wapate madaraka.
Vipi nikisema hata hao wanaofanya hivyo ktk Ukristo wanakuwa na malengo yao hawafanyi yale Wakristo wanatakiwa kufanya?

Kununua baraka,mchungaji kubagua wanaotoa sadaka kubwa na ndogo etc?nasisitiza hao wako brain washed na kote hizi hufanyika no matter ni waumini au siyo waumini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…