Mhubiri wa kimataifa, Nabii Shepherd Bushiri atabiri Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia

Mhubiri wa kimataifa, Nabii Shepherd Bushiri atabiri Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia

Toka ile scandal yake ya kuwala waumini wake alinitoka kabisa

Huyu jamaa aliwahi kukanwa na muumini wake aliepanga nae kufanya muujiza mbele ya umati wa kondoo wake mpaka akaona noma, sasa isije kuwa na hapa kapanga na wakubwa zetu kusema maneno haya ili kutupa sisi matumaini.Katika kusoma kwangu kote sijawahi kuona ugunduzi wa kisayansi uliotabiriwa na hawa watu wa dini. Tokea akina marehemu Mzee Moses Kulola kufa tumebakiwa na wachungaji watafuta kiki tu.Na haya yote wanafanya sio kwa ujinga wanajua kwa maneno hayo kuna mtu atafurahi sana kwa hizi sifa za kijinga na wao mambo yao yatawanyookea.
 
Huyu jamaa aliwahi kukanwa na muumini wake aliepanga nae kufanya muujiza mbele ya umati wa kondoo wake mpaka akaona noma, sasa isije kuwa na hapa kapanga na wakubwa zetu kusema maneno haya ili kutupa sisi matumaini.Katika kusoma kwangu kote sijawahi kuona ugunduzi wa kisayansi uliotabiriwa na hawa watu wa dini. Tokea akina marehemu Mzee Moses Kulola kufa tumebakiwa na wachungaji watafuta kiki tu.Na haya yote wanafanya sio kwa ujinga wanajua kwa maneno hayo kuna mtu atafurahi sana kwa hizi sifa za kijinga na wao mambo yao yatawanyookea.
Wajinga ndio waliwao mkuu
 
Mungu aliyawaonyesha waende kwake atawawaonyesha pa kwenda.Yesu alikufa hakuanzisha kanisa enzi zake watu walikuwa wakisali kwenye masunagogi ya kiyahudi alipokufa Mungu aliwaonyesha wafuasi wa Kristo wakasali wapi.That is not a big deal.Yesu hakuanzisha kanisa katoliki Wala Anglican,wala Roman Wala Assemblies of God Wala pentecost baada ya kufa Bila kuanzisha kanisa Mungu aliwaelekeza wafuasi wa Yesu waende wapi.Usiwe Na wasiwasi afe mwingine,kakobe,mama rwakatare,gwajima,mzee wa upako,nabii Bushiri ,Mwamposya,Geor Davie,nk Wafuasi wao Mungu anajua pa kuwapeleka sio kazi yako wewe sababu hukuwapeleka huko waliko
Nimefurahia ufafanuzi wako kiasi kwamba nimeelewa kilicho kichwani mwako.
Sitashangaa tena utakachokua ukiandika.
Ndio sababu sisiemu wanashinda kwa kishindo hongera sana.
 
Huyu ni tapeli aliyekubuhu, I know him deep, mimi nilikuwa namkubali sana enzi za ujinga. Nilikuwa ukimsema huyu naumia mno, kumbe ni jizi kubwa. Kuna watu ukimsema watakutisha kwa vitisho vingi kiasi kwamba kama humjui Mungu wako unaweza kuogopa.
Hii dunia ni heri Yesu aje achukue kanisa lake linaloyumbishwa na hawa fake prophets.
Ushirikina unaofanywa na wafanyabiashara, uzinzi na uesharati unaopambwa kweupe nchi petu na duniani Mungu asimwonyeshe hivyo ili avikemee anamwonyesha mambo ya maendeleo.
Tanzania must back to God urgently.
Alikuibia nini? Kanisa lake linakuwa financed Na business zake sio sadaka Na mafungu ya kumi.Ni mtu pekee anayetaka matajiri wafungue makanisa sababu Yesu aliajiri mitume ambao wote walikuwa Na kazi hakuajiri jobless wanaotegemea sadaka Na mafungu ya kumi kuishi kwenye huduma.Petro alikuwa mvuvi Na paulo mshona Hema,Yesu selemala nk Bushiri ni bilionea business man anayefanya kazi ya Mungu anayetaka wenye pesa wafungue makanisa watakayosimamia wenyewe Na kuya finance wasiishie kuzila tu
 
sijui kwa nini lakini nadhani huyu ametokea huko kwao kuja kunitabiria mimi, tokea kipindi nasoma sekondari mpaka sasa nime invest mda wangu mwingi kwenye ku-develop Tech systeams tofauti tofauti, kwa kipindi naanza nilitenga 4yr' ya kutengeneza Tech ideas kwa kizingatia development growh ya tech sector, Pia miaka 2' ya kutengeneza mtaja (30-50ml) wa kuanzisha tech campany na Miaka 4' ya kuleta mapinduzi africa na duniani. "kwa kipindi hicho cha miaka 4 nitakuwa 1st' billionair in africa na 7-25 world wide'
Huu ndo mwaka wa 4 wa miaka mnne ya kwanza.
Age:19
#God_help_me_tn_achieve_my_dream.
CYBERGATES 20/09/2018
sawa gates .... ph
 
Huyu ni tapeli aliyekubuhu, I know him deep, mimi nilikuwa namkubali sana enzi za ujinga. Nilikuwa ukimsema huyu naumia mno, kumbe ni jizi kubwa. Kuna watu ukimsema watakutisha kwa vitisho vingi kiasi kwamba kama humjui Mungu wako unaweza kuogopa.
Hii dunia ni heri Yesu aje achukue kanisa lake linaloyumbishwa na hawa fake prophets.
Ushirikina unaofanywa na wafanyabiashara, uzinzi na uesharati unaopambwa kweupe nchi petu na duniani Mungu asimwonyeshe hivyo ili avikemee anamwonyesha mambo ya maendeleo.
Tanzania must back to God urgently.
Mpumbavu sana wewe walahi!
Angesema vita ndio ungefurahia!
Basi kwa sababu hukuamini hakika vita haitaisha kwenye familia yako milele yote walahi nakwambia!
With Almighty One speed walahi
 
Mpumbavu sana wewe walahi!
Angesema vita ndio ungefurahia!
Basi kwa sababu hukuamini hakika vita haitaisha kwenye familia yako milele yote walahi nakwambia!
With Almighty One speed walahi
 
Toka ile scandal yake ya kuwala waumini wake alinitoka kabisa
Yupo sahihi kondoo unafuga ukitaka kula uende kwenye zizi la mwingine wapi na wapi,unafuga ukitaka wa kula unachagua uliye mlisha vizuri Mwenye nyama laini unagonga teh teh teh...
 
Mhubiri wa kimataifa, Nabii Mkuu Prophet Shepherd Bushiri anayeongoza Kanisa la Enlighted Christian Gathering (ECG) la Afrika Kusini, ametabiri maajabu yatakayoishangaza dunia katika miaka saba ijayo kuanzia sasa, kwa Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia.

Nabii Bushiri maarufu zaidi kama Major 1, pia amesema katika kipindi hicho, kutatokea ugunduzi katika nchi ya Tanzania kwa vijana wadogo kugundua vitu vingi vya kisayansi, kwa vile mkono wa Mungu uko juu ya nchi yao na nchi yao itaendelea kuimarika zaidi na Zaidi.

Nabii Bushiri yupo mkoani Kilimanjaro katika mkutano wa Kimataifa wa siku tatu unaofanyika katika viwanja vya Ushirika.


Nipashe
Huyo ndio yule alieonekana anamwambia piga kelele yule mfuasi wake ili aonekane anamtoa mapepo,matapeli hawataisha kwenye dini haswa hizi za promotion
 
Alishasema Mzee wetu mmoja atakufa na bado anadunda tu, na kwa nguvu ya mwenyezi MUNGU ataendelea kudunda, sina hamu naye huyu. Pia angalia hii FAKE MIRACLE ==> . Jamaa wanatupiga sanaaa hasa wadada.

Hata hivyo UTABIRI WAKE UNAKARIBISHWA SANA
Hata Mimi ngekuwa nakundi kubwa ya nini nihangaike kutafuta wadada mbili napiga wa humo humo tena nachagua wale wazuri.
 
Sina ushahidi na utapeli wake,ninachojua ni mtumishi wa Mungu anaehubiri injili,sijajua anaitumiaje injili kutapeli...
 
Huyo ndio yule alieonekana anamwambia piga kelele yule mfuasi wake ili aonekane anamtoa mapepo,matapeli hawataisha kwenye dini haswa hizi za promotion
Sio huyo aliyesema hivyo ni mtanzania mwanamke yuko sinza
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Sio Bushiri huyo ni nabii Olivia mtanzania mwenzetu yuko sinza dar es salaam Google andika nabii Olivia YouTube utapata Na hilo ulilosema live.Usimsingizie Bushiri uongo
Akili zako kama za jiwe,mimi nimeona utube hutaki kanye jela shubamit
 
Back
Top Bottom