Mhubiri wa kimataifa, Nabii Shepherd Bushiri atabiri Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia

Mhubiri wa kimataifa, Nabii Shepherd Bushiri atabiri Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia

Wewe mchicha mwiba ndio unashida
Watu wa Arusha akili hamna kenge wewe fuatilia mabasha wako wa Mererani ndio unachojua ndio maana mmeeekewa ukuta wapumbavu kama wewe msikanyage huko mnakutia najisi ndio maana madini hayaonekani
 
Watu wa Arusha akili hamna kenge wewe fuatilia mabasha wako wa Mererani ndio unachojua ndio maana mmeeekewa ukuta wapumbavu kama wewe msikanyage huko mnakutia najisi ndio maana madini hayaonekani
Sawa dada heri yangu mimi kenge kuliko wewe kenge maji,huku ukuta hautupi tabu sana kazi zinaendelea.naskia posho za juzi monduli hujalipwa ndio mana unawashwa
 
Ili ufanikiwe ni kusoma saikolojia ya watu tu, hapa kasoma saikolojia ya jiwe Mara utasikia kakaribishwa ikulu
 
sijui kwa nini lakini nadhani huyu ametokea huko kwao kuja kunitabiria mimi, tokea kipindi nasoma sekondari mpaka sasa nime invest mda wangu mwingi kwenye ku-develop Tech systeams tofauti tofauti, kwa kipindi naanza nilitenga 4yr' ya kutengeneza Tech ideas kwa kizingatia development growh ya tech sector, Pia miaka 2' ya kutengeneza mtaja (30-50ml) wa kuanzisha tech campany na Miaka 4' ya kuleta mapinduzi africa na duniani. "kwa kipindi hicho cha miaka 4 nitakuwa 1st' billionair in africa na 7-25 world wide'
Huu ndo mwaka wa 4 wa miaka mnne ya kwanza.
Age:19
#God_help_me_tn_achieve_my_dream.
CYBERGATES 20/09/2018
GOOD LET YOUR DREAMS COME TRUE
 
Kua nayo sio tija mungu huwalipa hapahapa ndio mana wengine wanakesi za kuzaa na wake za watu,wengine watoto zao hawaeleweki jinsia

Utaendelea kusubiri sana hayobyamtokee, ila mengi hua ni kutaka kumchafu. Na hiyo ni hulka ya kibinadamu kuchafuana wanapo ona wamepigwa gap
 
Yuko sahihi mimi mwenyewe kuna kitu Niko mbioni kumalizia ugunduzi wangu ambacho kitaifanya Tanzania ing'are Na kujulikana sana sana kimataifa.Watanzania tukiamua tunaweza.Cha kwangu ni kimoja kitakachoipaisha Tanzania anga za kimataifa
Kumbe ile mbinu ya kununua wapinzani no wewe ndie uligundua?
 
Mhubiri wa kimataifa, Nabii Mkuu Prophet Shepherd Bushiri anayeongoza Kanisa la Enlighted Christian Gathering (ECG) la Afrika Kusini, ametabiri maajabu yatakayoishangaza dunia katika miaka saba ijayo kuanzia sasa, kwa Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia.

Nabii Bushiri maarufu zaidi kama Major 1, pia amesema katika kipindi hicho, kutatokea ugunduzi katika nchi ya Tanzania kwa vijana wadogo kugundua vitu vingi vya kisayansi, kwa vile mkono wa Mungu uko juu ya nchi yao na nchi yao itaendelea kuimarika zaidi na Zaidi.

Nabii Bushiri yupo mkoani Kilimanjaro katika mkutano wa Kimataifa wa siku tatu unaofanyika katika viwanja vya Ushirika.


Nipashe

1. Hivi kuna tofauti kati ya "Nabii" na "Prophet"?
2. Na yeye ni "Nabii Mkuu" kwa kulinganisha na akina nani na katika Bara gani au kwa dunia nzima?
 
Huyu ni tapeli aliyekubuhu, I know him deep, mimi nilikuwa namkubali sana enzi za ujinga. Nilikuwa ukimsema huyu naumia mno, kumbe ni jizi kubwa. Kuna watu ukimsema watakutisha kwa vitisho vingi kiasi kwamba kama humjui Mungu wako unaweza kuogopa.
Hii dunia ni heri Yesu aje achukue kanisa lake linaloyumbishwa na hawa fake prophets.
Ushirikina unaofanywa na wafanyabiashara, uzinzi na uesharati unaopambwa kweupe nchi petu na duniani Mungu asimwonyeshe hivyo ili avikemee anamwonyesha mambo ya maendeleo.
Tanzania must back to God urgently.
Sasa kinachokukera wewe ni maendeleo yake ama huo unabii wake ....acha ukilaza,unamchukiaje mtu bila kuwa na sabababu,fake pastor fake pastor wewe una jicho la kimungu kujua yeye ni fake pastor
 
Mhubiri wa kimataifa, Nabii Mkuu Prophet Shepherd Bushiri anayeongoza Kanisa la Enlighted Christian Gathering (ECG) la Afrika Kusini, ametabiri maajabu yatakayoishangaza dunia katika miaka saba ijayo kuanzia sasa, kwa Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia.

Nabii Bushiri maarufu zaidi kama Major 1, pia amesema katika kipindi hicho, kutatokea ugunduzi katika nchi ya Tanzania kwa vijana wadogo kugundua vitu vingi vya kisayansi, kwa vile mkono wa Mungu uko juu ya nchi yao na nchi yao itaendelea kuimarika zaidi na Zaidi.

Nabii Bushiri yupo mkoani Kilimanjaro katika mkutano wa Kimataifa wa siku tatu unaofanyika katika viwanja vya Ushirika.


Nipashe
😛😛😛😛 nabii yupo tanzania ataanzaje kuisifia kenya ...wakati anataka sadaka za watanzania.....akienda kenya atasema vizuri kuhusu kenya.....
 
Toka ile scandal yake ya kuwala waumini wake alinitoka kabisa
tabu mnatega sana kiukweli hata mimi sina uhakika naweza vumilia kila siku kukutana na wanawake zaidi ya 200 wazuri halafu ukapita salama.
 
Nimepata hisia kwamba anatafuta kutembelewa waumini wake kama ambavyo amekwisha Raisi Magufuli kwenye makanisa mengine.
Kazi zake nyingi anafanyia south Africa sasa nadhani anahitaji attention ya watu na na serikali ya nchi. Anaweza hata kutumika hate kisiasa
 
Mhubiri wa kimataifa, Nabii Mkuu Prophet Shepherd Bushiri anayeongoza Kanisa la Enlighted Christian Gathering (ECG) la Afrika Kusini, ametabiri maajabu yatakayoishangaza dunia katika miaka saba ijayo kuanzia sasa, kwa Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia.

Nabii Bushiri maarufu zaidi kama Major 1, pia amesema katika kipindi hicho, kutatokea ugunduzi katika nchi ya Tanzania kwa vijana wadogo kugundua vitu vingi vya kisayansi, kwa vile mkono wa Mungu uko juu ya nchi yao na nchi yao itaendelea kuimarika zaidi na Zaidi.

Nabii Bushiri yupo mkoani Kilimanjaro katika mkutano wa Kimataifa wa siku tatu unaofanyika katika viwanja vya Ushirika.


Nipashe
Kuna yule alitabiri kupatikana kwa Malysia airline week moja baada ya kuzama vipi ilipatikana?
 
Mhubiri wa kimataifa, Nabii Mkuu Prophet Shepherd Bushiri anayeongoza Kanisa la Enlighted Christian Gathering (ECG) la Afrika Kusini, ametabiri maajabu yatakayoishangaza dunia katika miaka saba ijayo kuanzia sasa, kwa Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia.

Nabii Bushiri maarufu zaidi kama Major 1, pia amesema katika kipindi hicho, kutatokea ugunduzi katika nchi ya Tanzania kwa vijana wadogo kugundua vitu vingi vya kisayansi, kwa vile mkono wa Mungu uko juu ya nchi yao na nchi yao itaendelea kuimarika zaidi na Zaidi.

Nabii Bushiri yupo mkoani Kilimanjaro katika mkutano wa Kimataifa wa siku tatu unaofanyika katika viwanja vya Ushirika.


Nipashe
huyu jamaa ndo alitumiaga IPAD kumuonyesha mmoja wa waumini wake mtoto. Icheck hapa chini
 
Back
Top Bottom