Mhubiri wa Kiroho Kanisa la Mwenge Mpakani: Ukiwa umelala na Ukaota unakula Chakula, jua Wachawi ( Wanga ) wanajisaida Haja Kubwa Mdomoni mwako

Mhubiri wa Kiroho Kanisa la Mwenge Mpakani: Ukiwa umelala na Ukaota unakula Chakula, jua Wachawi ( Wanga ) wanajisaida Haja Kubwa Mdomoni mwako

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kama hiki alichokisema leo Jioni katika Redio huyu Mhubiri wa Kanisa la Kiroho la Bwana Richard Mwacha hapo Mwenge Mpakani ni cha Kweli kabisa basi kuna uwezekano mkubwa wengi Wetu tumeshameza sana tu Kinyesi ( Mimavi ) ya Wachawi Usiku tukiwa tumelala huku tukiota kuwa tunakula Michips, Mikuku na Mayai.

Binafsi nakumbuka kuna Siku niliota nakula mno Msosi japo niliposhtuka nilikuta Mdomo wangu ni mkavu sana. Sasa sijui nami walinyea Kinywani!
 
upuuuzi tu, ndoto ni ndoto..
huwa siiwekei maanani, uwazacho ndo kiumbacho
 
Na ukiota unakunywa bia ujue wachawi wanakukojolea kinywani😃
 
Kama hiki alichokisema leo Jioni katika Redio huyu Mhubiri wa Kanisa la Kiroho la Bwana Richard Mwacha hapo Mwenge Mpakani ni cha Kweli kabisa basi kuna uwezekano mkubwa wengi Wetu tumeshameza sana tu Kinyesi ( Mimavi ) ya Wachawi Usiku tukiwa tumelala huku tukiota kuwa tunakula Michips, Mikuku na Mayai.

Binafsi nakumbuka kuna Siku niliota nakula mno Msosi japo niliposhtuka nilikuta Mdomo wangu ni mkavu sana. Sasa sijui nami walinyea Kinywani!

Hiyo siku nimekumbuka!
Mimi ndio nilikunyea, tena nilikuharishia kabisa! Nilishirikiana na member flan hivi maarufu sana humu kwa masuala ya ulozi!
 
Back
Top Bottom