Mhusika wa tukio la Salenda kama sio Mwendawazimu basi sinema miongoni mwa sinema za Kichina

Mhusika wa tukio la Salenda kama sio Mwendawazimu basi sinema miongoni mwa sinema za Kichina

Kwamba mwamba kajitolea kufa ili kufanya hiyo filamu??
Hii kitu imekua common sana hapa Tz vitu vingi inaaminika kua ni serikali inatengeneza ili kufunika baadhi ya ajenda, hala hala isijekua ni tahadhari sie tunaamini ni polisi wanafanya movie.
 
Nadharia ya ugaidi nchini na duniani ina ukakasi mkubwa.

95% ya matukio ya Ugaidi yametengenezwa (false Flag terror). Kazi yao kuu ni
  • kuongopea umma
  • kujustify propaganda walizozisambaza.
  • Na pia ni moja ya mbinu za kijasusi za kuwaondoa watu ktk focus (ajenda wanazozijadili kwa manufaa ya umma).


5% ya matukio ya kigaidi yanaweza kuwa halisi. Na hawa malengo yao makuu ni kulipiza kisasi.

Sijui huyu jamaa alikuwa na malengo gani....

Kwa tz halijawaji kutoka tukio halisi zaidi ya kutengenezwa kwa kumbukumbu zangu.



Kwa uoni wangu hili ni tukio la kutengenezwa. (False flag terror), Hata risasi zaweza kuwa si halisi ni baruti au rubber bullets.

False flag terror kivipi;- kavaa kofia ili tukio linasibishwe na Uislam.

Nimesikia ktk mitandao huyu jamaa alikuwa akitamka Mbowe si Gaidi, Mimi ndie Gaidi.

Ili kuthibisha kuwa tukio hili ni halisi inahitajika kwanza
Tunahitaji picha za waliouwawa,
Tunahitaji kuwaona ndugu zao halisi wakithibitisha huyo Gaidi wa kutengenezwa
Tunahitaji kujua kafikaje pale akiwa na silaha za kivita mbili na bastola.
Naamini CCTV zilizopo pale zitaonyesha alifikaji.

Tukio lile limetokea katibu na
  • Askari wanaokaa muda wote pale kwenye kona ya kuelekea Masaki.
  • Makao makuu ya jeshi,
  • Kituo cha Polisi Selenda
  • bank ya stanbic, ubalozi wa ufaramsa, Japan na Russia.
  • nyumba za wastaafu kadhaa wa JWTZ.

Kama muhusika na tukuo hili si mwenye matatizo ya akili, basi litakuwa ni tukio la ugaidi wa kutegenezwa.
++++++++++++++++++++
Majibu ya maswali niliyouliza yanaanza kujibuwa.

Tunahitaji kujua kafikaje pale akiwa na silaha za kivita mbili na bastola.?!?!

Sikiliza aliyeshuhudia

Link

huyu atakuwa ni mwamba wa kaskazini au mnasemaje ndugu zangu
 
Bi Samia, zaidi halisi uliyemtamani kaanza kutokeza. Serikali yako kutamani nchi yetu iwe na magari mpaka mnawabambikia wanasiasa, sasa dunia inashuhudia matendo cha kigaidi haswa mlichokuwa mnakiota. Tushuhudie Tz ikitangazwa si salama!
 
Umepagawa, raia 3 wamekufa wewe unasema la kutengenezwa.... kama una akili timamu utagundua hili, jamaa alipanga tukio peke yake ndiyo maana kauawa na picha za video na mnato zinathibitisha hilo...
 
Ni tukio la kutengeneza.Gaidi huwa hapigi risasi randomly.Gaidi huwa ana specific target at specific time.Subiria serikali jioni itaanza kujichanganya yenyewe na kujikuta inaanika ukweli wote bila ya kukusudia kwa sababu hawakuwahi kuwa na akili.
Hii nimeielewa sana. Gaid lazma apange mapema sio anakurupuka
 
Daaah yaani we mwandishi usamehewe tu,watu wamekufa unasema false flag cjui nini,anyway ndio madhara ya kukurupuka kutaka kuwa wa kwanza kutoa mada bila uchunguzi zaidi,acha kukurupuka mzee.
 
Umepagawa, raia 3 wamekufa wewe unasema la kutengenezwa.... kama una akili timamu utagundua hili, jamaa alipanga tukio peke yake ndiyo maana kauawa na picha za video na mnato zinathibitisha hilo...
Raia 3 si kweli...ninachojua ni askari polisi wawili ndio walivamiwa wakafa
 
Umepagawa, raia 3 wamekufa wewe unasema la kutengenezwa.... kama una akili timamu utagundua hili, jamaa alipanga tukio peke yake ndiyo maana kauawa na picha za video na mnato zinathibitisha hilo...
Hadi sasa polisi imethibitisha mambo mawili.

1. Polisi wamethibitisha
tukio lililotokea ni Uhalifu kama Uhalifu mwengine. Na sio Ugaidi.
Na wala si Ugaidi wa Waislam.

Hapo tunakwenda sawa.

2. Polisi pia wamethibitisha vifo kutokea.

hoja yangu ni nini.

Hoja yangu ni uhuni wa kisiasa unaotengeneza matukio ya kigaidi na kubambikiwa waislam ulimwenguni.

Ugaidi nchini haupo. Na matukio mwengi ya ugaidi duniani ni ya kutengenezwa.
 
Daaah yaani we mwandishi usamehewe tu,watu wamekufa unasema false flag cjui nini,anyway ndio madhara ya kukurupuka kutaka kuwa wa kwanza kutoa mada bila uchunguzi zaidi,acha kukurupuka mzee.
Kwani mwendawazimu hawezi kuuwa?!?!
 
Baruti au rubber bullets. Na siamini jamaa kauwawa hadi nishudilie anazikwa. Tusije kuambiwa kaenda kutoswa baharini kama Gaidi Osama.
Kapigwa risasi ya kichwa na nyingine nyingi tu huyo kafa fuatilia video zilizo sambaa
 
Nikuulize kidogo boss?
1. Unasema Tz halijawahi tokea tukio la kweli la ugaidi ile ya ubalozi wa Marekani ilikuwa senema pia?
2. Kwanini unasema kama ni gaidi unataka ushahidi kuwa katokea Rwanda au Msumbiji?
3. Amefikaje na bastola na bunduki 2, we umepata wapi hizi habari wakati polisi wanasema alikuwa na bastola tu ila aliuwa polisi ndio akachukua bunduki zao
4. Karibu na makao makuu ya Jeshi, are you sure? Unajua kama makao makuu ya Jeshi yako Dodoma?

Ukisema ni mgonjwa wa akili naweza kukubali
 
Dah, hii nchi ina vilaza wengi sana. Wewe umekuja kutetea UISLAM. kwa taarifa yako sio waislam wote ni magaidi. Wapo wengi sana waliostaarabika.
Ingawa 99% ya magaidi wanatumia Quran kuhalalisha huo uovu wao.
 
Yule jamaa ambae Serikali inamwita kuwa ni "gaidi" hana uwezo wa kuua Polisi.Lile tukio ni staged event.Limepangwa na muda siyo mrefu Serikali itaanza kujiumbua yenyewe kwa sababu hawajawahi kuwa na akili katika kupanga matukio.
 
Cha kujiuliza why did not attack civilians.....?
Kwa ABC za ki usalama yale maenoo ya salender yana tight security.
Cha kujiuliza ilikuwaje kuwaje ikawezekana mtu kuingia na silaha bila kuonwa na dola kwenye eneo lenye tight security....

Mawazo yetu yanaenda mbali zaidi kila mtu anajua kinacho endelea afghanistan
Super power countries wanaweza ku ratibu hizi issues ku create attention kwa ajili ya kwenda kuwafurusha TALIBAN

Maana wanaweza KUA kichaka Cha kuhifadhi uovu.....so lets see.....tutegemee kuona matukio ya aina hii kweny mataifa mbali mbali
 
Back
Top Bottom