Huku ukija kwa lengo la kujifunza huta ambulia chochote, sababu watu hawavai uhalisia. Unakuta mtoto mdogoo nyuma ya keyboard anamjibu mzee kama Mr. Rocky kwa dharauLol, si unajua kuna watu wajinga mpaka unashangaa wametokea sayari gani
Hahahaaa..ila utapatwa na mshangao wa karne pale utakapo kutana na hao wasema hovyo, wajuaji na wenye hizo range.....Lol, si unajua kuna watu wajinga mpaka unashangaa wametokea sayari gani
Dikembe, watu wamekubania like lkn sijaelewa kwa nini umeamua kutuponda hivi. Sisi tupo Wa aina zote, weupe,weusi, warefu, wafupi na zaidi ya yote sisi wote ni wapana hasa. Hakuna anayetaka wembamba kifikra.Huku mkuu kwanza kila mtu ni mkuu, Usipomuita mtu mkuu utaitwa mpenda makuu.
Kingine penda uongo, pia kujisifia. Huku hakuna masikini wala hatujui bei ya dagaa, wala soko lake liko wapi? Ukiwa huku usizungumzie daladala, bodaboda achilia mbali vigari vidogo. mkuu Tuko pamoja?
Huku kupanda ndege ni jambo la kawaida sana, kuibiwa kwa njia ya mtandao tumilioni kadhaa ndio majanga yetu. Huwa hatuibiwi tecno, hapa tunaibiwa Iphone, samasung za bei kubwa na vito vya dhahabu. tecno yako naomba uibatize jina kuanzia leo uiite iphone seven.
Watu wote humu wana majumba yao, usitoe mifano ya mpangaji mwenzako, sema jirani yangu inatosha.
wanawake wa humu wooote ni warembo sana,...mengine utajifunza taratiiibu...
UMENIFAHAMU SANA??
Samahan wana jf natanguliza shukran mi mgen na mtandao huu nahitaji kujua matumiz yake mana napata shida kidogo
Nb:jokes sio nzuri
Asante mkuuKaribu sana katika mtandao bora wa jamii forum,
Utajifunza mambo mengi ikiwemo
1. Urembo
2. Siasa
3. Utamaduni
4. Maisha ya sasa na ya kale.
5. Mahusiano na mapenzi kwa ujumla.
6. Biashara.
7.elimu mbali mbali
8. Kazi katika sekta mbali mbali.
9. Dini
Na kadhalika......
Karibu sana mgeni
endelea kufurahia nasi watanzania wenzio katika mtandao huu bora kabisa.
Mmmh sawa mkuu jokes nimeona kumbe ni za kawaida ntavumiliaNi mgeni kweli. Hii ni Jamiiforums ni jukwaa huru. Pole na jokes zipo sasa sijui utarudi ulipotoka au utagugumia tu. baadhi yetu akili ni nyingi sana mpaka tunatiliana mashaka upo.
HahahahaaaaaaaaaaaaHuku mkuu kwanza kila mtu ni mkuu, Usipomuita mtu mkuu utaitwa mpenda makuu.
Kingine penda uongo, pia kujisifia. Huku hakuna masikini wala hatujui bei ya dagaa, wala soko lake liko wapi? Ukiwa huku usizungumzie daladala, bodaboda achilia mbali vigari vidogo. mkuu Tuko pamoja?
Huku kupanda ndege ni jambo la kawaida sana, kuibiwa kwa njia ya mtandao tumilioni kadhaa ndio majanga yetu. Huwa hatuibiwi tecno, hapa tunaibiwa Iphone, samasung za bei kubwa na vito vya dhahabu. tecno yako naomba uibatize jina kuanzia leo uiite iphone seven.
Watu wote humu wana majumba yao, usitoe mifano ya mpangaji mwenzako, sema jirani yangu inatosha.
wanawake wa humu wooote ni warembo sana,...mengine utajifunza taratiiibu...
UMENIFAHAMU SANA??
Mmmh sawa mkuu jokes nimeona kumbe ni za kawaida ntavumilia
Huku mkuu kwanza kila mtu ni mkuu, Usipomuita mtu mkuu utaitwa mpenda makuu.
Kingine penda uongo, pia kujisifia. Huku hakuna masikini wala hatujui bei ya dagaa, wala soko lake liko wapi? Ukiwa huku usizungumzie daladala, bodaboda achilia mbali vigari vidogo. mkuu Tuko pamoja?
Huku kupanda ndege ni jambo la kawaida sana, kuibiwa kwa njia ya mtandao tumilioni kadhaa ndio majanga yetu. Huwa hatuibiwi tecno, hapa tunaibiwa Iphone, samasung za bei kubwa na vito vya dhahabu. tecno yako naomba uibatize jina kuanzia leo uiite iphone seven.
Watu wote humu wana majumba yao, usitoe mifano ya mpangaji mwenzako, sema jirani yangu inatosha.
wanawake wa humu wooote ni warembo sana,...mengine utajifunza taratiiibu...
UMENIFAHAMU SANA??