Mi natoa ONYO: Kuna Member wa Humu JF ana mahusiano na mchumba wangu. Tusije Kulaumiana Bure

Kuionya jamii kwamba watu wasiwe na mahusiano na mchumba wako ni sawa na kutaka kuweka zulia dunia nzima ili tu mguu wako usikanyage mchanga chini.

Ni kazi kubwa sana halafu ya kijinga sana.

Unaweza kukataa kukanyaga mchanga chini kwa kuvaa kiatu tu.

Unaweza kuzuia dunia nzima isiwe na mahusiano na mchumba wakokwa kuongea naye tu.

Na kama huwezi, na hutaki umaaluni huo,huyo hafai kuwa mchumba wako.
 
hahahaha umetupa mpira kwa galadudu hahahah
 
Huyu ni GuDume kabisaa. Kula mbunye hiyo mkuu huyu mshamba aendelee kulia lia hapa
 
Inabidi tukukalishe chini mie na Pacha wangu utueleze kinaga ubaga kulikoni hicho kiuno. [emoji2] [emoji2]

Hatuwezi kukubali uendelee kuwa hivyo aisee.
Kwani nyie ni waganga wa kienyeji? Kubalina na hali hakuna matumaini tena hata mkinikalisha juu. Tumaini ni akina GuDume sie ni kupiga chabo tu.
 
Yaani kama kuna mwanamke anaamini story za humu ni mjinga kweli!!!
Upoteze mtu wako wa future sababu ya hadithi za kusadikika???? Ongea na huyo mchumba wako tu hamna namna ingine, zaidi wazidi jichoresha tu
word from a wise woman/lady
 
Na nyinyi mue mnachagua kati ya raha na maendeleo wengine uwezo wa kuchekesha hamna wanawazo pesa kwa ajili ya maisha ukitaka kuchekeshwa muache nenda kwa anae kuchekesha sio mnataka vyote.

Mmmmh
Sasa umeniandikia kitu gani!!!
 
We huna maana. Kwahiyo aendelee kufurahia demu wake anavolowanishwa?

Kwanini usibadilishe sentensi yako ikaishia na nukta.. kwasababu huwezi kunipangia la kuandika humu.. jali yako.. mie nimempa ukweli.. ungetumia akili ungefikiria nje ya boksi.. ila upo upo tu..
 
Hawa mabinti wa chuo bana hawariziki kabisa wanawashwawashwa kweli yaani story tu amekojoleshwa je akikutana na ze duduzi si atakunya kabisa aise
 
Mama Sabrina liked this!!!
 
Dah ni ndefu kusoma..em fupisha..
Taja jina lake
Mahali anapoishi
Inaweza kuwa kanyambia hana mchumba au kanyambia wewe ni kaka yake
 
Pole sana shukuru hujamwoa bado na umeanza kuona hayo, kaa chini fikiria kwa kichwa "halisi" then chukua hatua (kuishi na mtu ambaye mashaka yatazidi au kumtema mapemaaa), akishawafia watu wenye sifa tofauti na wewe utaishi maisha ya kujilaumu sana. Unajua ukipenda mtu wa kujichanganya (hata kama sio Malaya) halafu wewe ni gentleman flan aisee mpaka umwelewe uta suffer sana, oa mnayeendana character
 
Kwani nyie ni waganga wa kienyeji? Kubalina na hali hakuna matumaini tena hata mkinikalisha juu. Tumaini ni akina GuDume sie ni kupiga chabo tu.
Akaaaa. Uganga na sie wapi na wapi jamaani hebu wacha kutuonea.

Ila kwa kuwa ushakata tamaa wacha na sie tukate tamaaa. Hahahaaa.

Usiku mwema Mkuu.
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…