Mi natoa ONYO: Kuna Member wa Humu JF ana mahusiano na mchumba wangu. Tusije Kulaumiana Bure

Mi natoa ONYO: Kuna Member wa Humu JF ana mahusiano na mchumba wangu. Tusije Kulaumiana Bure

13 mega pixel mbona unataka kuniuzia kesi ndugu yangu? humu ndani kuna wakware wengi sana mi ni mtu mpole sina makuu na watu.... ila jamaa anaye akamfunge kufuli huyo mchumba wake. nimesoma kwa umakini sana hii thread. ujumbe umefika... nadhan "mhusika " atajirekebisha.

ha ha siyo GuDume kweli anayemlowanisha mchumba wako?
 
Mkuu, kama ni kweli uyasemayo naomba nikushauri jambo kitaalamu, huyu mwanamke sio mke na nikwambie tu mshukuru Mungu wako, ujue watu wengi huumia kwa kutokukubaliana na hali, hii imegawanyika sehemu nyingi, kuna watu the way walivyo ni kutokana na ubishi wa kutokukubali hata kama akiambiwa ukweli, kwa jumla huyo unaedai mchumba wako ni malaya wa kutupwa, tena muogope kama ukoma. Maana ikiwa hutakubali kuwa umeshapoteza mapema basi jiandae kujinyonga kama sio kufa kwa pressure, pesa inatafutwa, ila furaha ya moyo haiuzwi popote, ni kweli ulimhudumia lkn waweza pia kumlisha mbwa wako mwenyewe na siku akakudhuru pia, haya yapo, mapenzi ndivyo yalivyo wala usione kama ni jipya kwako. Ikiwa mwanamke wako ana udhubutu wa kumwambia mtu eti nimeloa, dah. Halafu wanawake kuweni makini, huu mtindo wa watu kujifanya wanajua mapenzi ni storry tu kama za kina shigongo, wengi mnapotea na kuvunja ndoa zenu pasipo kujielewa, iweni na maarifa ili msiangamie.
 
nashukuru ndugu yangu wewe mwenzangu kitandani upo vizuri. sisi ambao hatupo vizuri huwa hatuna maneno mengi na ndo maana nasema kwa mhusika mimi simkatazi.ila natoa hili kwake kama onyo.... ili siku akija kupatwa na lolote asije sema hakuambiwa. mwaka jana kuna threads ilianzishwa humu kuzungumzia tukio ambalo nililifanya kwa mtu mwaka 2015. sisi wanaume wapole mara nyingi wanawake hutuona kama mazoba . mimi sina nguvu za kupigana. lakini najua tu kuwa siwezi shindwa kabisa kumpa adhabu mtu ambaye amenitesa moyo wangu. inawezekana nikawa napiga biti na hamna madhara ila mhusika nadhan atakuwa amesoma huu ujumbe. anaweza kuendelea au kuacha.
biti kali kumbe kitandani zero
acha wajanja wakutafunie
 
nimelazimika kusema hili ingawa najua wengine mnaweza kukebehi na kunidhihaki. haina shida. nimeamua kuseam iwe kama angalizo maana kuna siku nitakuja tu kufanya reference. sisi wengine hatujui sana kuzungumza au kurushiana maneno. hii naweka tu kama ushahidi ili nikimfanya mtu kama ambacho nlimfanya shababy mmoja mwaka 2015 tusilaumiane.

mimi nina mchumba ambaye kwa sasa ni mwezi wa 5 nipo naye. kazi zangu ni za safari safari sana.so kila wakati nakuwa safarini ili niandae mazingira mazuri ya maisha yetu ya ndo hasa ukichukulia ye mchumba wangu amemaliza chuo mwaka wa 2 sasa hana kazi. yeye ana muda mwingi sana so anakuwa home na sometime mishe mishe zake. ila ni muda sasa naona amezoeana na member mmoja humu ndani ambaye amekuwa mara nyingi akiuza sana chai na habari zake za ajabu ajabu. ni mhuni na baradhuli tu huyo member wala si mtu wa staha hata kidogo. mimi ni mtu mstaraabu sana na mpole.

nilianza kuona kila mara huyo member akianzisha thread huyu mchumba wangu analike na anachangia sana. na huwa akisoma anasoma anacheka mpaka machozi yanamtoka.muda wote akiwa nami anajisahau anaaanza kusoma threads za huyo jamaa.baadaye nikamwambia mi sipendi anavyokuwa occupied sana na huyo jamaa mpaka anajisahau anasema "ila wanaume wengine bwana yaani ukikaa na huyu kaka itakuwa mtu hata stress huana unacheka tu" hilo liliniudhi maana asili yangu mimi ni mtu ambaye nipo serious na sina sana stories hasa za kipuuzi puuzi kama za huyo member humu ndani za ngono na jinsi wanavyotendana na wanawake.

siku moja kweli ananambia hebu siku moja nasi tujaribu hii style ya .... nikashangaa katamka jina.nikamwambia kwa upole kuwa kwa nini anakuwa obsessed na huyo jamaa mhuni na malaya?" akanambia "aaah.. nawe baby una mind vitu vidogo tu mtu mwenyewe hata simjui" juzi juzi hapa akawa ananambia unajua good girls wanapenda sana bad boys..sikutilia maanani. lakini nlianza kuona mashaka pale nlipoona anasema anataka aonane na huyo mtu.nliingia kwenye inbox texts zake jamiiforums nikakuta anawasiliana naye sana. wanacheka wanataniana na sometime wanachat maneno mpaka huyu mchumba anasema ameloana. hili lilinikwaza.hasa anaposema "wee..naomba nikuone live maana una vituko sana"

nimeamua kuwa hili suala niliweke wazi.huyu dada mimi nlishamhudumia sana. chuo mpaka amemaliza ni mimi nlikuwa natoa ada kumwonesha tu kuwa nipo serious pesa za kutoka kwa wazaz wake alikuwa anatumia kufanyia mambo yake na nilimruhusu nikamwambia basi aangalie kama anaweza zifanyia kazi flan ya kuzalisha.she didnt do anything progressive with the money.

leo hii mwendawazimu mmoja humu ndani anataka kuja kufanya masikhara na mchumba wangu.its ok..mi naweza kumwachia ila afaham atarudisha pesa zangu zote nlizotumia kama si direct bas itakuwa indirect. najua kwa nini nasema hivi. na simtishii...ye si mwanaume?ajaribu tu kumgusa huyu mchumba wangu kimapenzi. atanifaham. kuna post iliwekwa humu kama sikosei mwaka jana....kuna mtu alifanywa kitu kibaya sana kudandia wake za watu. gharama aliyolipa ilikuwa kubwa na mpaka sasa anaendeleakulipa toka mwaka 2015. nimetoa tu hili kama angalizo.
Oa chapu chapu ukichelewa wenzio watachukua jumla.
 
13 mega pixel mbona unataka kuniuzia kesi ndugu yangu? humu ndani kuna wakware wengi sana mi ni mtu mpole sina makuu na watu.... ila jamaa anaye akamfunge kufuli huyo mchumba wake. nimesoma kwa umakini sana hii thread. ujumbe umefika... nadhan "mhusika " atajirekebisha.
ningeshangaa kama hukutajwa maana badala ya general galadudu wewe ndiye matata humu jukwaani.
 
kama mchumba wako alishaloweshwa kwa kuchat tu basi huenda haumgegedi vizuri mwache tu jamaa akampige dudu kikubwa atumie ndom la sivyo utaanza kuhudumia na mimba isiyo yako
 
mi nipo tayari kuachana naye ... na gharama zangu ningependa zirudishwe...najua hazitarudishwa direct ila zitarudishwa kwa njia nyingine....kabisa hata kama si mimi nitakayepokea hizo pesa....ila zitarudishwa tu. wanawake nao sometime wengine wana udhaifu wao ambao wanaume kadhaa huutumia kwa faida yao. mi nasikitikia tu gharama zangu sababu kabis anlimwambia huyo dada kama hana nia ya kuwa nami aseme ili nisipoteze muda ...akanambia ananipenda na yupo tayari kuishi nami.kazi zangu ni za kusafiri safiri sana sometime nakuwa mbali hata kwa miezi miwili au zaidi lakini ni katika kutafuta pesa. so nitamwacha ila nitakayemwachia atalipa muda na pesa zangu.... sitomwacha salama.

Mkuu, kama ni kweli uyasemayo naomba nikushauri jambo kitaalamu, huyu mwanamke sio mke na nikwambie tu mshukuru Mungu wako, ujue watu wengi huumia kwa kutokukubaliana na hali, hii imegawanyika sehemu nyingi, kuna watu the way walivyo ni kutokana na ubishi wa kutokukubali hata kama akiambiwa ukweli, kwa jumla huyo unaedai mchumba wako ni malaya wa kutupwa, tena muogope kama ukoma. Maana ikiwa hutakubali kuwa umeshapoteza mapema basi jiandae kujinyonga kama sio kufa kwa pressure, pesa inatafutwa, ila furaha ya moyo haiuzwi popote, ni kweli ulimhudumia lkn waweza pia kumlisha mbwa wako mwenyewe na siku akakudhuru pia, haya yapo, mapenzi ndivyo yalivyo wala usione kama ni jipya kwako. Ikiwa mwanamke wako ana udhubutu wa kumwambia mtu eti nimeloa, dah. Halafu wanawake kuweni makini, huu mtindo wa watu kujifanya wanajua mapenzi ni storry tu kama za kina shigongo, wengi mnapotea na kuvunja ndoa zenu pasipo kujielewa, iweni na maarifa ili msiangamie.
 
nimelazimika kusema hili ingawa najua wengine mnaweza kukebehi na kunidhihaki. haina shida. nimeamua kuseam iwe kama angalizo maana kuna siku nitakuja tu kufanya reference. sisi wengine hatujui sana kuzungumza au kurushiana maneno. hii naweka tu kama ushahidi ili nikimfanya mtu kama ambacho nlimfanya shababy mmoja mwaka 2015 tusilaumiane.

mimi nina mchumba ambaye kwa sasa ni mwezi wa 5 nipo naye. kazi zangu ni za safari safari sana.so kila wakati nakuwa safarini ili niandae mazingira mazuri ya maisha yetu ya ndo hasa ukichukulia ye mchumba wangu amemaliza chuo mwaka wa 2 sasa hana kazi. yeye ana muda mwingi sana so anakuwa home na sometime mishe mishe zake. ila ni muda sasa naona amezoeana na member mmoja humu ndani ambaye amekuwa mara nyingi akiuza sana chai na habari zake za ajabu ajabu. ni mhuni na baradhuli tu huyo member wala si mtu wa staha hata kidogo. mimi ni mtu mstaraabu sana na mpole.

nilianza kuona kila mara huyo member akianzisha thread huyu mchumba wangu analike na anachangia sana. na huwa akisoma anasoma anacheka mpaka machozi yanamtoka.muda wote akiwa nami anajisahau anaaanza kusoma threads za huyo jamaa.baadaye nikamwambia mi sipendi anavyokuwa occupied sana na huyo jamaa mpaka anajisahau anasema "ila wanaume wengine bwana yaani ukikaa na huyu kaka itakuwa mtu hata stress huana unacheka tu" hilo liliniudhi maana asili yangu mimi ni mtu ambaye nipo serious na sina sana stories hasa za kipuuzi puuzi kama za huyo member humu ndani za ngono na jinsi wanavyotendana na wanawake.

siku moja kweli ananambia hebu siku moja nasi tujaribu hii style ya .... nikashangaa katamka jina.nikamwambia kwa upole kuwa kwa nini anakuwa obsessed na huyo jamaa mhuni na malaya?" akanambia "aaah.. nawe baby una mind vitu vidogo tu mtu mwenyewe hata simjui" juzi juzi hapa akawa ananambia unajua good girls wanapenda sana bad boys..sikutilia maanani. lakini nlianza kuona mashaka pale nlipoona anasema anataka aonane na huyo mtu.nliingia kwenye inbox texts zake jamiiforums nikakuta anawasiliana naye sana. wanacheka wanataniana na sometime wanachat maneno mpaka huyu mchumba anasema ameloana. hili lilinikwaza.hasa anaposema "wee..naomba nikuone live maana una vituko sana"

nimeamua kuwa hili suala niliweke wazi.huyu dada mimi nlishamhudumia sana. chuo mpaka amemaliza ni mimi nlikuwa natoa ada kumwonesha tu kuwa nipo serious pesa za kutoka kwa wazaz wake alikuwa anatumia kufanyia mambo yake na nilimruhusu nikamwambia basi aangalie kama anaweza zifanyia kazi flan ya kuzalisha.she didnt do anything progressive with the money.

leo hii mwendawazimu mmoja humu ndani anataka kuja kufanya masikhara na mchumba wangu.its ok..mi naweza kumwachia ila afaham atarudisha pesa zangu zote nlizotumia kama si direct bas itakuwa indirect. najua kwa nini nasema hivi. na simtishii...ye si mwanaume?ajaribu tu kumgusa huyu mchumba wangu kimapenzi. atanifaham. kuna post iliwekwa humu kama sikosei mwaka jana....kuna mtu alifanywa kitu kibaya sana kudandia wake za watu. gharama aliyolipa ilikuwa kubwa na mpaka sasa anaendeleakulipa toka mwaka 2015. nimetoa tu hili kama angalizo.
Yani upo nae yapata miezi mitano sasa, afu unadai umemsomesha chuo, chuo kipi au short course za computer, au wakati unamsomesha alikuwa dada ako sio mchumba. Najaribu kutafakar tu hapa si kwa ubaya, inaweza ikawa ukweli usemacho lakini presentation yako ni nonsense na haina mantiki.

Wanawake acheni usenge mjue tukiwapa hela wakati mwingine twalala njaa ili uridhike then mnatuyumbisha kiakili hadi tunakuja JF kuanzisha thread. Acheni ujinga
 
mkuu kama K inakuja haijabaandikwa label kuwa inamilikiwa na mtu flan mi ntajuaje? mke au mchumba wa mtu anajijua yeye..... mi ntajuaje? maisha ya kutishana ya zamani sana. yeye a deal na huyo mchumbawe... kama mchumba anapenda mastory ya mtu ya kitaani sioni kosa.... na kuloweshana ni jambo jema tu maybe watu wanamsaidia kumwandalia halafu ye ale tu???????????? ila msiniuzie mimi kesi labda huyo galadudu.... mi nina marafiki wengi wa kike humu ndani na tunajichanganya kwa stories mbalimbali wanaweza nao kuja kuweka ushahidi wao... mimi ntampasua mtu ooohhhooooh.... mambo ya kigagula siwezi.
ningeshangaa kama hukutajwa maana badala ya general galadudu wewe ndiye matata humu jukwaani.
 
Back
Top Bottom