Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,604
- 20,085
Ndugu mi mbea,yaani kama umbea taasisi basi mi ndio mwenyekiti,kama shule basi mi headmistress. kulowa kwa thread za uongo jf ni ushamba kiwango cha SGR,kama barabara kiwango cha lami.KUMBE we nae mbea ivi mweeeeee....monicca fala sana
Halafu katufanya watu tumjue,ningekuwa mimi ningekausha tu. Nikampotezea chalii nikaomba msamaha kambini nikarudisha majeshi. Sasa umesaidiwa miaka yote halafu unaleta ujinga kwa thread za jf...smelling kabitch