Mi natoa ONYO: Kuna Member wa Humu JF ana mahusiano na mchumba wangu. Tusije Kulaumiana Bure

Mi natoa ONYO: Kuna Member wa Humu JF ana mahusiano na mchumba wangu. Tusije Kulaumiana Bure

KUMBE we nae mbea ivi mweeeeee....monicca fala sana
Ndugu mi mbea,yaani kama umbea taasisi basi mi ndio mwenyekiti,kama shule basi mi headmistress. kulowa kwa thread za uongo jf ni ushamba kiwango cha SGR,kama barabara kiwango cha lami.
Halafu katufanya watu tumjue,ningekuwa mimi ningekausha tu. Nikampotezea chalii nikaomba msamaha kambini nikarudisha majeshi. Sasa umesaidiwa miaka yote halafu unaleta ujinga kwa thread za jf...smelling kabitch
 
Ndugu mi mbea,yaani kama umbea taasisimi ndio mwenyekiti,kama shule basi mi headmistresskulowa kwa thread za uongo jf ni ushamba kiwango cha SGR,kama barabara kiwango cha lami.
Halafu katufanya watu tumjue,ningekuwa mimi ningekausha tu. Nikampotezea chalii nikaomba msamaha kambini nikarudisha majeshi. Sasa umesaidiwa miaka yote halafu unaleta ujinga kwa thread za jf...smelling kabitch
hahahahaha
 
kiukweli kuna thread ukisoma una ishia kucheka ni ushamba sana uki kaa chini kufikilia.....kama una jua yupo humu mcheki inbox au una hitaji achambwe......hahahaha😀
 
Ndugu mi mbea,yaani kama umbea taasisimi ndio mwenyekiti,kama shule basi mi headmistresskulowa kwa thread za uongo jf ni ushamba kiwango cha SGR,kama barabara kiwango cha lami.
Halafu katufanya watu tumjue,ningekuwa mimi ningekausha tu. Nikampotezea chalii nikaomba msamaha kambini nikarudisha majeshi. Sasa umesaidiwa miaka yote halafu unaleta ujinga kwa thread za jf...smelling kabitch
inabidi tumchambe tu monnicca aache umalaya halafu ana umalaya wa kifala sana maandishi tu anakojoa
 
inabidi tumchambe tu monnicca aache umalaya halafu ana umalaya wa kifala sana maandishi tu anakojoa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] namsubiria kule,ashaanza kuquote post zangu namsubiri aingie 18 ajute na umalaya wake wakingese.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] namsubiria kule,ashaanza kuquote post zangu namsubiri aingie 18 ajute na umalaya wake wakingese.
halafu jamaa alipanga kuoa hahahaha bora kajua mapema anaoa BICHWA BOGA
 
Hii yote ni kwa sababu unamchukulia huyo demu kama property.

Nadhani badala ya huyo member wa humu, ungeanza na demu wako. Maana amempenda mchizi mwenyewe. Biti lako halisaidii. Mtoto keshatekwa. Jifunzeni kuelewa mapenzi.
 
Duh..Pole sana mkuu. Inaonekana huyo mchumba wako anakupeleka mpute mpute sana na hilo Gubegube.
 
wadau mbona mnaniharibia status yangu sana.... kila sehemu nanyooshewa vidole kuwa ni gudume.. kwa nini mnanisimanga na kunifadhaisha hivi. kiukweli nimefadhaishwa sana, nimesikitishwa sana, nimenyanyasika sana. hii ni kampeni ya watu flani kutaka kunichafulia jina langu baada ya kuona nimekuwa mfano mwema wa kuigwa katika jamii. leo mtu from nowhere anani unganishia na mambo ya kipuuzi. nami nasema kutawaka moto..kweli nawaambia kutawaka moto. huyo chizi kama ananilenga mimi nshamwambia NMESHAVUKA MAJI YA SHINGO BILA PU**U KULOA. lakini pia wadau acheni kuniharibia kuninyooshea mimi vidole.mimi sina makuu na mtu.
Mkuu ulitwambia moto utawaka mbona hatuoni hata moshi.
 
Pole sana, tatizo ndo hilo unayempenda hana mda na wewe, fikiria kwa makini na uongee naye huyo mpz wako.
 
Mwanaume analialia hapa sababu ya papuchi???? Nenda kafanye kazi nyambaf
 
Back
Top Bottom