Mi natoa ONYO: Kuna Member wa Humu JF ana mahusiano na mchumba wangu. Tusije Kulaumiana Bure

13 mega pixel mbona unataka kuniuzia kesi ndugu yangu? humu ndani kuna wakware wengi sana mi ni mtu mpole sina makuu na watu.... ila jamaa anaye akamfunge kufuli huyo mchumba wake. nimesoma kwa umakini sana hii thread. ujumbe umefika... nadhan "mhusika " atajirekebisha.

ha ha siyo GuDume kweli anayemlowanisha mchumba wako?
 
Mkuu, kama ni kweli uyasemayo naomba nikushauri jambo kitaalamu, huyu mwanamke sio mke na nikwambie tu mshukuru Mungu wako, ujue watu wengi huumia kwa kutokukubaliana na hali, hii imegawanyika sehemu nyingi, kuna watu the way walivyo ni kutokana na ubishi wa kutokukubali hata kama akiambiwa ukweli, kwa jumla huyo unaedai mchumba wako ni malaya wa kutupwa, tena muogope kama ukoma. Maana ikiwa hutakubali kuwa umeshapoteza mapema basi jiandae kujinyonga kama sio kufa kwa pressure, pesa inatafutwa, ila furaha ya moyo haiuzwi popote, ni kweli ulimhudumia lkn waweza pia kumlisha mbwa wako mwenyewe na siku akakudhuru pia, haya yapo, mapenzi ndivyo yalivyo wala usione kama ni jipya kwako. Ikiwa mwanamke wako ana udhubutu wa kumwambia mtu eti nimeloa, dah. Halafu wanawake kuweni makini, huu mtindo wa watu kujifanya wanajua mapenzi ni storry tu kama za kina shigongo, wengi mnapotea na kuvunja ndoa zenu pasipo kujielewa, iweni na maarifa ili msiangamie.
 
nashukuru ndugu yangu wewe mwenzangu kitandani upo vizuri. sisi ambao hatupo vizuri huwa hatuna maneno mengi na ndo maana nasema kwa mhusika mimi simkatazi.ila natoa hili kwake kama onyo.... ili siku akija kupatwa na lolote asije sema hakuambiwa. mwaka jana kuna threads ilianzishwa humu kuzungumzia tukio ambalo nililifanya kwa mtu mwaka 2015. sisi wanaume wapole mara nyingi wanawake hutuona kama mazoba . mimi sina nguvu za kupigana. lakini najua tu kuwa siwezi shindwa kabisa kumpa adhabu mtu ambaye amenitesa moyo wangu. inawezekana nikawa napiga biti na hamna madhara ila mhusika nadhan atakuwa amesoma huu ujumbe. anaweza kuendelea au kuacha.
biti kali kumbe kitandani zero
acha wajanja wakutafunie
 
Oa chapu chapu ukichelewa wenzio watachukua jumla.
 
ningeshangaa kama hukutajwa maana badala ya general galadudu wewe ndiye matata humu jukwaani.
 
kama mchumba wako alishaloweshwa kwa kuchat tu basi huenda haumgegedi vizuri mwache tu jamaa akampige dudu kikubwa atumie ndom la sivyo utaanza kuhudumia na mimba isiyo yako
 
mi nipo tayari kuachana naye ... na gharama zangu ningependa zirudishwe...najua hazitarudishwa direct ila zitarudishwa kwa njia nyingine....kabisa hata kama si mimi nitakayepokea hizo pesa....ila zitarudishwa tu. wanawake nao sometime wengine wana udhaifu wao ambao wanaume kadhaa huutumia kwa faida yao. mi nasikitikia tu gharama zangu sababu kabis anlimwambia huyo dada kama hana nia ya kuwa nami aseme ili nisipoteze muda ...akanambia ananipenda na yupo tayari kuishi nami.kazi zangu ni za kusafiri safiri sana sometime nakuwa mbali hata kwa miezi miwili au zaidi lakini ni katika kutafuta pesa. so nitamwacha ila nitakayemwachia atalipa muda na pesa zangu.... sitomwacha salama.

 
Yani upo nae yapata miezi mitano sasa, afu unadai umemsomesha chuo, chuo kipi au short course za computer, au wakati unamsomesha alikuwa dada ako sio mchumba. Najaribu kutafakar tu hapa si kwa ubaya, inaweza ikawa ukweli usemacho lakini presentation yako ni nonsense na haina mantiki.

Wanawake acheni usenge mjue tukiwapa hela wakati mwingine twalala njaa ili uridhike then mnatuyumbisha kiakili hadi tunakuja JF kuanzisha thread. Acheni ujinga
 
mkuu kama K inakuja haijabaandikwa label kuwa inamilikiwa na mtu flan mi ntajuaje? mke au mchumba wa mtu anajijua yeye..... mi ntajuaje? maisha ya kutishana ya zamani sana. yeye a deal na huyo mchumbawe... kama mchumba anapenda mastory ya mtu ya kitaani sioni kosa.... na kuloweshana ni jambo jema tu maybe watu wanamsaidia kumwandalia halafu ye ale tu???????????? ila msiniuzie mimi kesi labda huyo galadudu.... mi nina marafiki wengi wa kike humu ndani na tunajichanganya kwa stories mbalimbali wanaweza nao kuja kuweka ushahidi wao... mimi ntampasua mtu ooohhhooooh.... mambo ya kigagula siwezi.
ningeshangaa kama hukutajwa maana badala ya general galadudu wewe ndiye matata humu jukwaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…