Mi sio mwenzenu tena kwaherini wote

Wamekufukuza Milembe au Umetoroka?
 

Ukila vya watu na wewe subiri kuliwa
 
Maombi ya Pamoja kama taifa yanahitajika. Watu tunazidi kudata humu mitaani. Muda utaongea
Naiombea nchi yangu rehema kwako Mungu.nikweli hatukulea vizuri watoto wetu,tumeweka tamaa mbele tumekukosea wewe peke yako,tumezini tumeiba,tumeua ndiyo maana naomba ufute maovu yetu uturehemu baba.huenda tukabadirika bwana,nakusihi usikiangamize kizazi chetu kwa ukame na magonjwa.bali ukumbuke rehema zako....aaamen.[emoji113]
 
Kweli hali mtaani ngumu yani 50,000 tshs imekufanya uchanganyikiwe.
Nimerudia kusoma mara 3 nikahisi labda ulipewa 50,000,000 tshs.
Aisee nakuombea kwa Mola huyo dada asije kukupatia milioni moja unaweza gongwa na gari kwa kihoro utakachopata.
Hiyo jamaa yuko sehemu sahihi maana kutoka hapo anapokaa hadi mirembe hawezi maliza 50k kwa taxi.
 
Sasa baada ya kuamka ukikumbuka hii ndoto wajisikiaje?
 
Acha uwongo hakuna mfanyakazi wa bunge anaeendesha VX coz nawajua wote pale....labda kwa mademu ungesema aneendesha prado tx au bmw ndio wapo....
 
hakunaga maisha marahisi marahisi duniani iko cku vitakuja kukutokea puani afu unazingua yani mtoto wa kiume unajisifu vitu kama ivi hadharani unazingua bhana.
 
Mkuu awali ya yote nitoe shukrani na pongezi za dhati kutoka ndani ya moyo wangu, kwa siku za karibuni sio rahisi kukutana na mwamba wa dhahabu kama huo, hivi kijijini kwenu uliaga unaenda wapi?
 
Mbona hautumi izo picha jombaa, tusio na bahati tufaidi hata kwa macho tu
 
anapokea mshahara mzuri? hahaha pole sana, ana waume wenzio rundo, wabunge, madereva wa wabunge, kila takataka ni za kwake, jiandae kugawana ngoma manake huko serikalini usijeona watu wameulamba, vidudu vimewajaa mwilini. mmepima?mtapima?
Hapana usiwe na hayo mawazo ukiwaza hivyo utaumia bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…